likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
NIMEUKUMBUKA MCHEZO WA UTOTONI
TULIIMBA "PITA HUKO TUONANE, TUMWONE JOGOO"
KILA BAYA LIKUKUTE INSPEKTA
TULIIMBA "PITA HUKO TUONANE, TUMWONE JOGOO"
KILA BAYA LIKUKUTE INSPEKTA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gender abuse.Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Tatizo maji yakikufika shingoni waliotoa maagizo toka juu wanakuruka kimanga! Na hutathubutu kuwataja! Watu husema "mahakama siyo mama yako".
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
Wakati mwingine ujumbe kama huu una maana mbili au zaidi, mosi kutojiamini,Pili kufuata mkumbo,tatu kuathirika kisaikolojia na kutojitambua wewe ni nani . Mara nyingi kuichoka serikali ni kuamua kwa kuraHuo ujumbe kwa serikali kuwa watu wameamua kupambana nayo kwa njia yoyote iwayo -ukiwapeleka mahakamani na wao watakupeleka pia yaana stule ya jaza ujazwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaakili ya kikoloni kwenye zama hiziAbuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Sifa za kuonwa na mkulu zinawaumiza sana watu,Sijui kwa nini vilaza wale hawakupeleka maWP kumshikashika mama mwenzao? mbali na kumshikashika na ''kumtengua bega'', kumtoa ''afisa wa mahakama'' kwenye eneo lake la kazi na ''kumzuia kutimiza wajibu wake'' kwa style ile ni kosa la jinai🙂
....Wamekusudia kumgombania mtu kama mpira wa kono.
huu ni muda wa kukomoana tu...mawakili wanaonyesha umoja wao kuwa mahakamani ni maeneo yao ya kazi basi asibugudhiwe akiwa nje mkamateni tu ila maeneo ya mahakama yupo kaziniYaani polisi kukushika bega unaandaa mawakili 29? Ni upumbavu na ulofa ulopitiliza
huu ni muda wa kukomoana tu...mawakili wanaonyesha umoja wao kuwa mahakamani ni maeneo yao ya kazi basi asibugudhiwe akiwa nje mkamateni tu ila maeneo ya mahakama yupo kazini
sasa hawa jamaa wanaotumwa tu nakusahau kuwa kuna sheria wataishia kusema "niliagizwa nifanye vile"..mahakama haitajali maagizo hayo kama yanavunja sheria.....
Waamue tu nini kinawasubirisha??au hujayajua mapungufu yao yaliyo dhahiri kabisa,walijualo ni bado uchunguzi unaendelea..........teh,teh,teh,teh........Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Kwani ww ndo unawalipa?? acha kimbele mbele Tulia ujazweMmoja tu anatosha kwani kesi hiyo niya madai na sio jinai na haimaanishi ukiwa na lundo la mawakili ndo ushindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Utafikia mahala mtaelewa tu, hii kesi ni kama ya mbowe na MKUU wa wilaya mlikuja na matamanio mengi lakini leo mmebaki kimyaa
Nalikubali la tatu na la mwisho .ni kweli wapinzanibwa serikali wameathirika kisaikolojia na si kwa bahati mbaya bali by design wanacheza kirahisibkila mdundo wausikiao bial kujua serikali imetarget myda tu upite haraka ili halibwapinzani wao wakizijua rangi za vyimba vyote vya mahakama na mahabusu!Wakati mwingine ujumbe kama huu una maana mbili au zaidi, mosi kutojiamini,Pili kufuata mkumbo,tatu kuathirika kisaikolojia na kutojitambua wewe ni nani . Mara nyingi kuichoka serikali ni kuamua kwa kura
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawakili 29 kweli sasa tz ina mawakili wengi hawana kazi za kufanya! Kuna watu wanahitaji msaada wa kisheria wengi sana tz lakini hawapati wanajazana kwa huyo mdada wa maigizo!!Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
Ndio utajulikana huko huko mahakamani, mbona mnahaha hata mahakamani hamjaitwa nyieYaani polisi kukushika bega unaandaa mawakili 29? Ni upumbavu na ulofa ulopitiliza