Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gender haikuwa respected. Kama wakili na mama msomi anadhihakiwa mbele ya kamera kiasi kile, watu wa kawaida itakuwaje sasaSijui kwa nini vilaza wale hawakupeleka maWP kumshikashika mama mwenzao? mbali na kumshikashika na ''kumtengua bega'', kumtoa ''afisa wa mahakama'' kwenye eneo lake la kazi na ''kumzuia kutimiza wajibu wake'' kwa style ile ni kosa la jinai🙂
Wamemfedhehesha mno.Sijui kwa nini vilaza wale hawakupeleka maWP kumshikashika mama mwenzao? mbali na kumshikashika na ''kumtengua bega'', kumtoa ''afisa wa mahakama'' kwenye eneo lake la kazi na ''kumzuia kutimiza wajibu wake'' kwa style ile ni kosa la jinai🙂
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hehe mawakili 29 ndio nasikia leo kuwa kwenye kesi moja tena ya kesi ya kizushi,tii amri ya polisi usibughuziwe ,sasa atageuziwa kibao kwa kuzuia askari asifanye kazi yakeRais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
Ndio kazi yake mkuu.Yeye ni wakili hivyo muda wake mwingi ni kushughilika na kesi tena mahakamani.Bilioni duu,halafu tokea namjua Lissu yeye ni Kesi tu.
Kesi si ndiyo kazi yao. Sasa kwa kufanya kesi wanapotezaje muda bure? Au hujui kwamba kuna msemo wa Kiingereza usemao "Help your Lawyer, sue somebody"?Hawa ndio wanasheria wa kitanzania hopeless kabisa, Kupoteza muda bure wa kufanya mambo ya maana
Maagizo toka juu shida sana wanajikuta hawana namna kutetea serikali ya makinikiaHapakuwa na sababu polisi kuhamaki na kumshika mtu ambaye hafanyi kosa kisheria.Pamoja na kuwa hawezi kulipa ,ila kuna funzo tutapata.Kila la kheri Fatma
Wengine ni wabunge hapoKesi si ndiyo kazi yao? Sasa kufanya kesi wanapotezaje muda bure? Au hujui kwamba kuna msemo wa Kiingereza usemao "Help your Lawyer, sue somebody"?
Shangaa na wewe mkuuMtoto wa kike kuzungukwa na njemba nne kumzonga asiongeee.....huo nni kama sio fedheha
Mwanamke, anapaswa kuguswa na askari mwanamke, ikiwa ni pamoja na kukaguliwa mwilini, sio polisi mwanaume. Hiyo ni sawa na kumchungulia bafuni. Amwombe tu msamaha nje ya Mahakama yule mama atamsamehe ni muungwana sana Mama yule.Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Afande tumbo jotoKesi mbaya kwa wanaopenda kushikashoka maungo ya watu aka dungadunga au polisi ccm wanapenda udhalilishaji wa kijinsia unashika mwanamke utafikiri maimuna wa kimboka lazima ukutane na gharika
Mbona wengine tupo tunasubiri kuingizwa kwenye list??? Hata mia tutafika na tutafanya probono yani hatutaki kulipwaYaani polisi kukushika bega unaandaa mawakili 29? Ni upumbavu na ulofa ulopitiliza
Lakini wewe umewataja kwa sifa (capacity) yao ya uwakili. Ndiyo maana nimeshangaa maana mawakili Kesi ndiyo kazi yenyewe na wala hawapotezi muda!Wengine ni wabunge hapo
hao polisi wanakamata watu bila makosaAbuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?