Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Hii hoja yako, kama uliwahi kusikia wehu, ndiyo huu.

Polisi kazi yao ni kuwashika shika watu kisawasawa? Ndiyo kazi waliyoajiriwa kuifanya?

Watu waanze kuamka kutambua haki zao. Wao wanapokuwa wanazidi kujiandaa kudidimiza haki za raia, umma uongeze bidii kutetea haki zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
Tehe tehe tehe.mbwembwe zingine hata kuzisikia tu ni upuuzi.
Wingi wa mawakili sio kushinda kesi.
 
Natua tuli nangojea cross examination za Tundu Lisu kwa mshitakiwa maana hapo atabanwa hadi alazimike kumwomba hakimu dakika kidogo akachimbe dawa.
 
Tuliza mshono, acha kiherehere na taaluma za watu, huwezi futiwa uwakili unless kwa makosa yaliyoelezwa kwenye sheria, elimu elimu elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimesema tu mawazo yangu,usinichukie bure,kwani unguja hakuna kesi?mbona kina Lisu hawaendi huko?maslahi ya watawala ni kitu cha ajabu sana hiyo ni Tanganyika baba!!Ni mtazamo tu lakini..mwache atest zari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama aisee...ndo mawakili 29 kweli..mbona sasa inakuwa kama kukomoana....mawakili 29 kesi ya kushikwa kwa nguvu na ingetokea kabakwa...sii TLS yote ingeamia mahakamani.....tunapinga kiluchotokea lkn hawa mawakili nao isionekane wanatumia uwakili wao kwa personal gains

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujawahi kuona hao jamaa wanapoenda kumkamata wasiyemtaka? Si afadhali hao mawakili 29, wao huweza kutumia hata magari 10 kwaajili ya kwenda kumkamata mtu ambaye wangeweza kumwita hata kwa simu.

Watu wanashtaki kwa kutukanwa, itakuwa kwa huyu aliyezongwa na kumkamatwa mwili wake bila hiari yake? Na asifanye mchezo hii kesi. Inaweza kuonekana ndogo kwa wengi lakini mwisho wa yote mtu akajutia maisha yake yote.

Mwanasheria Mkuu wa serikali nchini Zambia aliwahi kudharau kesi, mwisho wake aliishia lupango miezi minne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mashabiki wa Tundu Lisu nawaslaimia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Kwel hii ni abuse of proffesion sabab eneo la mahakaman ni kazin kwa wakili....na polis kwa kufanya abuse alimsukuma wakili msomi fatma mtoto wa karume kutoka nje ya mahakama na kumzuia asiongee na wasikilizaji wa kazi yake.....kwa kuendelea kuabuse alidai amepewa maelekezo kutoka juu ili fatma asiongee kazn kwake....sasa tunataka huyo polis aiambie mahakama hayo maelekezo kutoka juu ni ya nan ili tumjue huyu MAMLAKA KUTOKA JUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
wanapata uzoefu wewe
 
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.

Nadhani mantiki ya hawa mawakili ni deeper kuliko wachangiaji wengi wanavyofikiri na kuhukumu! Wakiweza kujenga hoja na kushinda kesi hii tayari mahakama yenyewe itakuwa imeweka precedence/prerogative kwa matukio mengine ya polisi kutumia nguvu. Ina maana polisi watapaswa kuwa makini sana wanapotekeleza "maagizo toka juu"! Vinginevyo watashitakiwa kama "wao" na sio "jeshi la polisi"!
 
ila Fatuma katafuta kiki ,kaipata kwakweli
mibaba karibu yote ya Jf inamuongelea na kumsapoti.
niikuaga hata simjui
heshima zimfikie mshika bega[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kuwezesha kiki kwa namna moja ama nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku wananchi kwenye jimbo la Tundu Lissu wakiwa na kero za kufa mtu yeye yuko Dar akifanya mambo ya kitoto kama haya?! Ujinga na uzuzu kabisa..Yazidisha kuaminika kweli ukikosa sera na ilani matokeo yake ndiyo hayaa...
50+ ya uhuru Tz bado fukara wa kutupwa chini ya CCM
 
Kama ni kweli, basi hao mawakili watakuwa wapumbavu wa mwisho kabisa.
Ndio maana tunasema hawa Chadema wanafanya siasa za matukio na usanii,hata mashabiki wake uwezo wa kufikiri ni kuzungusha mikono,wanadhani kuwa na mawkili wengi nao ndio umaarufu,jamaa buure kabisa
 
Back
Top Bottom