Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
 
Ukiwa Mkweli utachukiwa na kila mtu katika Dunia ya Sasa!

Dunia ya Sasa iliyojaa ghiliba,uongo,Rushwa,Ubinafsi na ulaghai utaonekana mwema endapo utafanya hayo yote na utapigiwa Makofi kama shujaa!
 
Ukiwa Mkweli utachukiwa na kila mtu katika Dunia ya Sasa!

Dunia ya Sasa iliyojaa ghiliba,uongo,Rushwa,Ubinafsi na ulaghai utaonekana mwema endapo utafanya hayo yote na utapigiwa Makofi kama shujaa!
ukiwa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi nadhani utachukiwa zaidi na utadhibitiwa kisayansi sana ndani na nje ya chama chako.

ukoloni mambo leo ni kitu mbaya sana aise 🐒

Mary Christmas 🎄
 
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄

Mungu hazaliwi wala hazai


View: https://youtu.be/pMECi3OLac0
 
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
Bado tu kuvua nguo..huu sasa sio u great thinker bali ni u great sinker
 
Bado tu kuvua nguo..huu sasa sio u great thinker bali ni u great sinker
Sure,
Before Easter ya 2025 kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, Tundu Lisu will be great sinker of the Year, with no position within the party 🤣

Mary Christmas 🎄 gentleman
 
Nani alisema ni lazima iwe? Keshasema akikosa atabaki kama mwanachama mwingine we shida yako nini? Kwani alizaliwa awe rais au mwenyekiti? Anagombea na kuna kushinda na kushindwa, endelea na povu upate posho yako lumumba
 
Nani alisema ni lazima iwe? Keshasema akikosa atabaki kama mwanachama mwingine we shida yako nini? Kwani alizaliwa awe rais au mwenyekiti? Anagombea na kuna kushinda na kushindwa, endelea na povu upate posho yako lumumba
hebu relax kwanza gentleman 🤣

Mary Christmas kwanza 🎄 🤣

mambo haya ni ya kibobevu sana gentleman, yanahitaji ustahimilivu sana..

Ni imani yangu wajumbe watafanya kazi yao kwa haki 🐒
 
hebu relax kwanza gentleman 🤣

Mary Christmas kwanza 🎄 🤣

mambo haya ni ya kibobevu sana gentleman, yanahitaji ustahimilivu sana..

Ni imani yangu wajumbe watafanya kazi yao kwa haki 🐒
Hahaah kweli mkuu ya kibobevu, mtag na mwashamba aje kuongeza ubobevu!
 
Back
Top Bottom