Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Huyu siyo mganga ni mzee wa hovyo wa CCM kuwahi kutokea katika history anaitwa Yusuph Makamba.
CCM wajinga kama huyu mzee wa hovyo hawawezi kumpenda Lissu wanamtaka Mbowe ambaye wanamgeuza kama samaki katulia tuli na siku zinaenda.

Shangaa mzee wa hovyo wa CCM anampenda Mbowe na kumchukia Lissu kwa sababu gani.
gentleman,
umeamua kumpotosha mwenzio wazi wazi tena siku ya siku kuu kabisa, dah! waoneeni huruma wenzenu jamani,

Jambo la muhimu zaidi,
ni kuepuka kuwahusisha wasio husika na masuala ya chadema kwa kuwataja majina,

huo ni ukiukaji wa vigezo na masharti ya JF, ni vema ukaacha tabia hiyo la sivyo unaweza kubanwa na masharti ya jukwaa hili huru halafu ukakosa mambo muhimu na ya maana sana.
kua na staha tafadhali dhidi ya upotoshaji.

Hata hivyo,
ni muhimu sana kufuatilia chambuzi za kitaalamu ili kuongeza Ufahamu na uelewa juu ya masuala mbalimbali ya kisiasa yanayo endelea kuelekea uchaguzi wa chadema Taifa kwa ungwana 🐒
 
Wenye akili tunataka TAKUKURU wamkamate Abdul wanfunuliebmashtaka ushahidi upo wazi

Alafu Wajinga mnaleta siasa kwenye jinai

We kwa akili yako ndogo unadhani unakipambania chama chako na mabwana zako, kumbe mnaliangamiza taifa na set precedence ya kutoheshimu utawala wa sheria
Gentleman,
hakuna haja hata kidogo ya kubababika na mipasho ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi dhidi ya wanamonekana kumshinda katika kila nafasi ambayo anatamani kua nayo ndani ya chadema Taifa.

,
Ni kupoteza muda na pengine rasilimali kuhangaika na watu waliotumwa kupenyeza ukoloni mambo leo kupitia siasa za vyama Tanzania 🐒
 
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
Wewe ni mjinga, kumbe ndoto ya kimweri yenyewe hulijui, Kimweri ndoto aliyoota kila kitu kilikuja kuwa kweli!!!

Kwahiyo inakataana kichwa Cha Uzi na maadhui uliyoandika ndani.
Ulitakiwa uhusianishe ndoto na kutwaa umwenyekiti.

Kwakukusaidia waombe mods wabadili heading iwe "NDOTO ZA ALINACHA " ambazo hazikutimia, ila NDOTO ZA KIMWERI zilitimia.

Next time unapoandika jaribu kuhusisha UBONGO WAKO, sawa gentleman 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🚴🚴🤸🤸🤸🤸

Karibu kwa povu gentleman🙏🙏
 
Jinga wewe, ngoja tuweke mgombea binafsi alafu uje tuandike upuuzi wako
Gentleman,
kwahiyo katiba ya Chadema ina ruhusu mgombea binafsi kwa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Taifa, right?🤣

au sijaelewa,
kwababu umekuja kwa mihemko ya kiwango cha juu mno mwanangu dah 🐒
 
Wewe ni mjinga, kumbe ndoto ya kimweri yenyewe hulijui, Kimweri ndoto aliyoota kila kitu kilikuja kuwa kweli!!!

Kwahiyo inakataana kichwa Cha Uzi na maadhui uliyoandika ndani.
Ulitakiwa uhusianishe ndoto na kutwaa umwenyekiti.

Kwakukusaidia waombe mods wabadili heading iwe "NDOTO ZA ALINACHA " ambazo hazikutimia, ila NDOTO ZA KIMWERI zilitimia.

Next time unapoandika jaribu kuhusisha UBONGO WAKO, sawa gentleman 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🚴🚴🤸🤸🤸🤸

Karibu kwa povu gentleman🙏🙏
Gentleman,
naona umejaa mazima kwa miguu yote miwili 🤣

hatimae ukasongo yeye mobali na ngai umetimia,
soma vizur na kuelewa kwa usahihi bandiko gentleman 🐒
 
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
Wewe kuumaliza mwaka huu ni ndoto za chupi yako
 
Gentleman,
naona umejaa mazima kwa miguu yote miwili 🤣

hatimae ukasongo yeye mobali na ngai umetimia,
soma vizur na kuelewa kwa usahihi bandiko gentleman 🐒
Narudia caption ndoto ya kimweri inakataa Maudhui ya ndani, caption ilitakiwa iwe NDOTO ya ALINACHA, Jifunze kukubali kitu, kusahihishwa hasa unapokosea!!!
 
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
Again ume committ grammatical error ,yaani kosa la kisarufi, sio Mary....ni Merry Christmas 🤣🤣😅😅🤣

Gentleman unakwama wapi???🤣😅🤣😅🤣 Nakuja Lumumba nikupe mapindi ya syntax, Morphology na semantics 🤣😅🤣😅🤣
 
Narudia caption ndoto ya kimweri inakataa Maudhui ya ndani, caption ilitakiwa iwe NDOTO ya ALINACHA, Jifunze kukubali kitu, kusahihishwa hasa unapokosea!!!
Gentleman,
ukizingatia aya ya kabla ya ukimweri inasemaje? Kisha unganisha na maana uliyoieleza kabla ya kuhamia ndoto nyingine .

pupa kama za kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi itakukosesha mengi sana, mdomo tu, alaaa!🐒
 
Gentleman,
ukizingatia aya ya kabla ya ukimweri inasemaje? Kisha unganisha na maana uliyoieleza kabla ya kuhamia ndoto nyingine .

pupa kama za kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi itakukosesha mengi sana, mdomo tu, alaaa!🐒
Kimweri aliota ndoto ,watu weupe, watakuja, na watawatawala, watatwaa Ardhi bikawa kweli.

Kwahiyo logically,Lissu Nia ya kuwa Mwenyekiti nkama ni ndoto ya kimweri lazima iwe hivyo.

Kama hapati ilitakiwa uweke caption ya ndoto bza ALINACHA ambazo zote zilifeli.

Jifunze kukubali, kukiri ukiwa mahali umekosea.
Ni hivyo tu gentleman 🤣😅🤣🚴🚴😅
 
Again ume committ grammatical error ,yaani kosa la kisarufi, sio Mary....ni Merry Christmas 🤣🤣😅😅🤣

Gentleman unakwama wapi???🤣😅🤣😅🤣 Nakuja Lumumba nikupe mapindi ya syntax, Morphology na semantics 🤣😅🤣😅🤣
hiyo ni kazi yenu walimu kurekebisha,
wabobevu tunaweka hoja za maana kisha walimu mnabainisha dosari na kasoro ndogo ndogo za kisarufi na mambo yanakwenda,

lakini hiyo ya kubabaika na kuvamia ati kuna makosa ya kimaudhui kwenye masuala ya kiuchambuzi hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema, hiyo hamuwezi rekebisha, na hamna sababu ya kuleta viherehere,
hiyo ni taaluma nyingine,

sawa walimu?🐒
 
Kimweri aliota ndoto ,watu weupe, watakuja, na watawatawala, watatwaa Ardhi bikawa kweli.

Kwahiyo logically,Lissu Nia ya kuwa Mwenyekiti nkama ni ndoto ya kimweri lazima iwe hivyo.

Kama hapati ilitakiwa uweke caption ya ndoto bza ALINACHA ambazo zote zilifeli.

Jifunze kukubali, kukiri ukiwa mahali umekosea.
Ni hivyo tu gentleman 🤣😅🤣🚴🚴😅
umakamu mwenyekiti umetoa damu, anautaka uenyekiti kamili huku tayari akiwa ameshindwa mapema sana kwa kukataliwa na wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala chadema,

hiyo sio ndoto ya kimweri gentleman 🐒
 
umakamu mwenyekiti umetoa damu, anautaka uenyekiti kamili huku tayari akiwa ameshindwa mapema sana kwa kukataliwa na wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala chadema,

hiyo sio ndoto ya kimweri gentleman 🐒
Mimi nipo kwenye logic , ya ndoto ya kimweri uliyotumia kuonesha atashindwa, hiyo ndoto , ndoto ya kimweri ulifaulu.

Sing'ang'anii kuwa Lissu ashinde.


Nakusahihisha matumizi ya ndoto ya kimweri na kushindwa kwa Lissu, NDOTO YA KIMWERI ILIFAULU, Tumia ndoto ya ALINACHA
 
hiyo ni kazi yenu walimu kurekebisha,
wabobevu tunaweka hoja za maana kisha walimu mnabainisha dosari na kasoro ndogo ndogo za kisarufi na mambo yanakwenda,

lakini hiyo ya kubabaika na kuvamia ati kuna makosa ya kimaudhui kwenye masuala ya kiuchambuzi hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema, hiyo hamuwezi rekebisha, na hamna sababu ya kuleta viherehere,
hiyo ni taaluma nyingine,

sawa walimu?🐒
Lazima unapoleta andiko kama mtu mzima, liwe andiko lililoshiba linalojitisheleza kimantiki.
 
Wanaharakati ambao hawajawahi kujua namna vyama vya siasa hasa vya upinzani vinavyoongozwa ndiyo wamemuharibia.
 
Kwa sisi tulio kulia uswahilini kuna maisha flani ambyo mama zetu wanatulea mfano wa hayo malezi ni kuficha kopo la asali na huku ukiamini ndani kuna asali. Sasa basi huyohuyo mama akitaka wewe usicheze mbali asali uwa hafichi kwa maana anajua utakua unaenda kucheza na baadae unaenda kuiba asali kwa siri na kulamba,kwa mfano huo ndio maana huyu mama wa kiafrica ambaye Lucas Mwashambwa akimuona anabubujikwa na machozi ya furaha tele ndio amemfanyia Mbowe & co na hawachezi mbali maana asali ipo kwenye mezani ni mwendo wa kulamba kwa siri ili kamanda LISSU asiskie.

Chukia na huo ujinga ulionao kichwani
Na walaani waliokuleta duniani ukiwa uchi kichwani!
 
Mimi nipo kwenye logic , ya ndoto ya kimweri uliyotumia kuonesha atashindwa, hiyo ndoto , ndoto ya kimweri ulifaulu.

Sing'ang'anii kuwa Lissu ashinde.


Nakusahihisha matumizi ya ndoto ya kimweri na kushindwa kwa Lissu, NDOTO YA KIMWERI ILIFAULU, Tumia ndoto ya ALINACHA
logic is very simple gentleman,

kibaraka wa mabwenye ya magharibi kushinda nafasi ya uenyekiti chadema ni ndoto za alinacha,

na kwakweli hawezi kushinda kwasababu itakua ni ndoto za kimweri :pedroP:
 
logic is very simple gentleman,

kibaraka wa mabwenye ya magharibi kushinda nafasi ya uenyekiti chadema ni ndoto za alinacha,

na kwakweli hawezi kushinda kwasababu itakua ni ndoto za kimweri :pedroP:
Nimeamini wewe ni box tupu, huna akili Kabisa
 
Back
Top Bottom