Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Nipo na Kina Chiembe hapa tunatunga Uongo wa kumchafua Lissu.
Gentleman,
hivi ulisema shisha ukimix na ugoro ndiyo huwa inakupa energy sanaee ya kurepy comments kipotoshaji, right? :pedroP:
 
Huyo jamaa alipaswa kusema mambo hayo kabla ya uchaguzi kuanza. Kusubiria muda huu ni kutaka fadhila...
Japo ana ujasiri ila ataporomoka naana siasa sio kusema kila kilicho mbele yako.
Pia alipata umaarufu kwa kumsema mwendazake kwakuwa kuna watu waliumia. . SIASA ZINABADILIKA KILA WAKATI.
SASA SIO 2015 AU 2020..
 
calm down and relax gentleman:pedroP:

ni muhimu ukiwa na mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya mwingine ukajieleza,

sasa hii ya kushow mihemko na dhihaka si maana yake haman kitu kabisa gentleman?:pedroP:
Kusema ukweli kuwa kichwani kumejaa hewa ni mihemko!🤓🤠
 
SIDHANI KWA SASA. ...
Angekuwa kama asingewazulia wenzake mizengwe. Lissu sio malaika, ni binadamu kama wengine mwenye makosa pia.
TABU NI WATU KUMUONA LISSU NI MAALUMU!!..
Hakuna binadamu malaika lakini wana vipaji tofauti!
 
Back
Top Bottom