Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Lissu kupata uenyekiti wa chadema kumemshinda na itakua ni ndoto za kimweri kuupata, nadhani kupata urais wa Tanzania itakua ni ndoto za alinacha

Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
Safi mnatusaidia sana kumsafishia njia kamanda Mbowe na yeye ndiye atakayeimarisha CDM, Lissu ataibomoa CDM mara moja.
 
Wanaharakati ambao hawajawahi kujua namna vyama vya siasa hasa vya upinzani vinavyoongozwa ndiyo wamemuharibia.
tatizo ujuaji mwingi, anhisi kujua na kufahamu kila kitu na ushauri wa wengine inaonekana si muhimu kwake,

wanasiasa hasa vijana wana somo muhimu la kujifunza hapo :pulpTRAVOLTA:
 
Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.

Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.

Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k

Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.

Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
Waenguaji wenyewe si mmejipanga kuhakikisha hilo halitokei
 
Na walaani waliokuleta duniani ukiwa uchi kichwani!
calm down and relax gentleman:pedroP:

ni muhimu ukiwa na mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya mwingine ukajieleza,

sasa hii ya kushow mihemko na dhihaka si maana yake haman kitu kabisa gentleman?:pedroP:
 
tatizo ujuaji mwingi, anhisi kujua na kufahamu kila kitu na ushauri wa wengine inaonekana si muhimu kwake,

wanasiasa hasa vijana wana somo muhimu la kujifunza hapo :pulpTRAVOLTA:
Wewe unaelewa au kuukubali ushauri gani kutoka jukwaa hili pendwa,kila kitu wajua wewe kila kitu waweza wewe.Ama nasema uongo ngugu zangu,hata Choice unaruhusiwa kusema neno
 
Ukiwa Mkweli utachukiwa na kila mtu katika Dunia ya Sasa!

Dunia ya Sasa iliyojaa ghiliba,uongo,Rushwa,Ubinafsi na ulaghai utaonekana mwema endapo utafanya hayo yote na utapigiwa Makofi kama shujaa!
Ukweli upi wa kutibuana na walio wako kila kukicha?
 
Wewe unaelewa au kuukubali ushauri gani kutoka jukwaa hili pendwa,kila kitu wajua wewe kila kitu waweza wewe.Ama nasema uongo ngugu zangu,hata Choice unaruhusiwa kusema neno
namna ya kuwadhibiti akina kasongo yeye mobali na ngai ni rahisi sana gentleman,

kwa sababu wanakuja na mihemko ya kiwango cha juu sana, na huku wakiwa na jibu moja tu mfukoni, sasa ukimuyumbisha kidogo tu anajaa mazima:pedroP:
 
namna ya kuwadhibiti akina kasongo yeye mobali na ngai ni rahisi sana gentleman,

kwa sababu wanakuja na mihemko ya kiwango cha juu na jibu moja tu mfukoni, ukimuyumbisha kidogo tu anajaa mazima:pedroP:
Hayo ndio mawazo ya wanachukua chako mapema wanafananisha mbongo na ngiri sio
 
Lissu ndiye fimbo sahihi ya kuwatandika CCM na vikaragosi vyake!
SIDHANI KWA SASA. ...
Angekuwa kama asingewazulia wenzake mizengwe. Lissu sio malaika, ni binadamu kama wengine mwenye makosa pia.
TABU NI WATU KUMUONA LISSU NI MAALUMU!!..
 
Back
Top Bottom