Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Hamna mawenge, nipo kwenye kosa la mfano wa NDOTO ya kimweri, Logic yake na maudhui uloandika vinapingana!!andiko hili limekupa mawenge e gentleman![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mawenge, nipo kwenye kosa la mfano wa NDOTO ya kimweri, Logic yake na maudhui uloandika vinapingana!!andiko hili limekupa mawenge e gentleman![]()
Safi mnatusaidia sana kumsafishia njia kamanda Mbowe na yeye ndiye atakayeimarisha CDM, Lissu ataibomoa CDM mara moja.Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
tatizo ujuaji mwingi, anhisi kujua na kufahamu kila kitu na ushauri wa wengine inaonekana si muhimu kwake,Wanaharakati ambao hawajawahi kujua namna vyama vya siasa hasa vya upinzani vinavyoongozwa ndiyo wamemuharibia.

Waenguaji wenyewe si mmejipanga kuhakikisha hilo halitokeiNi wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.🐒
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen 🎄
calm down and relax gentlemanNa walaani waliokuleta duniani ukiwa uchi kichwani!


Wewe unaelewa au kuukubali ushauri gani kutoka jukwaa hili pendwa,kila kitu wajua wewe kila kitu waweza wewe.Ama nasema uongo ngugu zangu,hata Choice unaruhusiwa kusema nenotatizo ujuaji mwingi, anhisi kujua na kufahamu kila kitu na ushauri wa wengine inaonekana si muhimu kwake,
wanasiasa hasa vijana wana somo muhimu la kujifunza hapo![]()
Ukweli upi wa kutibuana na walio wako kila kukicha?Ukiwa Mkweli utachukiwa na kila mtu katika Dunia ya Sasa!
Dunia ya Sasa iliyojaa ghiliba,uongo,Rushwa,Ubinafsi na ulaghai utaonekana mwema endapo utafanya hayo yote na utapigiwa Makofi kama shujaa!
namna ya kuwadhibiti akina kasongo yeye mobali na ngai ni rahisi sana gentleman,Wewe unaelewa au kuukubali ushauri gani kutoka jukwaa hili pendwa,kila kitu wajua wewe kila kitu waweza wewe.Ama nasema uongo ngugu zangu,hata Choice unaruhusiwa kusema neno

Hayo ndio mawazo ya wanachukua chako mapema wanafananisha mbongo na ngiri sionamna ya kuwadhibiti akina kasongo yeye mobali na ngai ni rahisi sana gentleman,
kwa sababu wanakuja na mihemko ya kiwango cha juu na jibu moja tu mfukoni, ukimuyumbisha kidogo tu anajaa mazima![]()
Nampelekea Mwenyekiti Mbowe.DR.slaa hebu tulia kidogo kwanza, ntakupigia kisha unipe miter number nikununulie umeme maana nikikupa cash nakujua utaelekea wapi![]()
Nipo na Kina Chiembe hapa tunatunga Uongo wa kumchafua Lissu.ushauri wa bure kwa wadau wote JF,
usichati ukiwa kwenye sherehe unakunywa vinywaji vya kuchangamsha akili![]()
Nimekupa facts wewe BWABWAsasa mwenye akili badala ya kutoa mawazo mapya na fikra mbadala, unaonyesha mihemko tu![]()
SIDHANI KWA SASA. ...Lissu ndiye fimbo sahihi ya kuwatandika CCM na vikaragosi vyake!