Uchaguzi 2020 Lissu Maarufu, Nyalandu ana hela, kazi kwa wajumbe

Uchaguzi 2020 Lissu Maarufu, Nyalandu ana hela, kazi kwa wajumbe

Kiafya Nyalandu Ni presidential material pia imagine Ikulu imevamiwa .Wanajeshi wanamwambia Lisu Amiri jeshi mkuu kimbia na sisi kuokoa maisha yako anabaki kuvuta miguu!!

Chadema msirudie ya Lowasa pitisheni mtu ambaye ni physcally fit .Mjue mnapitisha mgombea ambaye anaweza kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi akitokea kupata kura

Chadema chagueni my ambaye Ni physically fit, financially fit mwenye siasa Safi msimamia sera za chadema Sio Kujitangaza kibinafsi

Tundu Lisu akiongea kila muda kidogo utamsikia Mimi Mimi Mimi ooh Mimi kilienda kinarudi.Lisu speech has so many mimis Hadi inakera.Hakijengi na kukiongelea Chama anajinadi individually as Mimi Mimi mimi . Nyalandu hajikiti kwenye u Mimi anajikita zaidi kwenye kuelezea chama.Kujikita zaidi kwenye sera za Chadema Sio ohh Mimi Mimi mimi
 
Are you kidding us Mr Loser? Magufuli na Lissu ni nani yuko fit? Laiti viongozi wetu wangekuwa wawazi juu ya afya zao usingeandika chochote juu ya afya ungebaki mdomo wazi
Lisu anawaza piga push up? Au kukimbia ikitokea hatari ?
 
Mmoja mzima mwingine mlemavu.
Kazi kwa wajumbe
Hiyo si hoja kampeini ni tiba ya kuaminika sote tuliona na kupata wasiwasi mgombea kupiga push-up jukwaani na kushinda Uchaguzi kwa kishindo. Mwaka huu tena tutaona mgombea yuleyule kwenye kampeini akifanya push-up ya mkono mmoja lakini kama atashinda kwa kishindo na kupata nafasi ya kupiga push-up ya mkono mmoja na mguu mmoja mwaka 2025 matokeo tusubiri. Kuchechemea na push-up ni ushindani bora kwa wananchi kuliko kuiga utamaduni wa CCM wa kutembeza mabulungutu ya fedha kuwagawia wapiga kura. Lissu is as fit as a fiddle!
 
Kuwa na afya nzuri ni zaidi ya kukimbia inapotokea hatari au kupiga push-up.
Amiri jeshi mkuu anatakiwa na afya.nzuri ya kuweza kukimbia

Kukimbia Ni sifa nambo moja ya afya ya amiri jeshi mkuu
 
Kwa siasa za wastani Nyarandu ni bora kuliko Lissu, pia naamini kiushindani na CCM, Nyarandu ni bora kuliko Lissu!
 
TunduLissu ni mtaji kwa chama chochote cha siasa. Kama Chadema hawatalielewa hilo watapoteana baada ya uchaguzi wa mwaka huu.

Hilo ndio Chaguo la CCM, hatujui kuna nini wameona ambacho Chadema hawajakiona. Tundu Lissu Oyeeeeeeeeeeeeeee.
 
Mnaosema nyalandu anahela hamsemi utajiri wake ni kiasi gani na umetokana na nn?

Wengi watetezi wa hoja hii ni ccm ambao wanataka kuchochea kuni ili moto uwake.

Wapuuzwe.
 
Masoud Kipanya katika kipindi cha Cloud Plus wakati wa kura za maoni za CCM nilimnukuu akisema Wajumbe wa CCM huenda hawakupewa rushwa kabisa lakini walikuwa wanajua Mgombea yupi ana hela kwamba wakimpitisha anaweza kujawashukuru kwa namna yoyote siku za baadae kwa hiyo yeye Masoud aliwapa nafasi kubwa Wagombea Matajiri kuwa watashinda. Na kweli 90% ya walioshinda ni Matajiri na wenye nafasi kubwa serikalini.

Pia walijua Matajiri hawatakuwa na kampeni za kufunga mkanda bali kampeni za kula bata tofauti na maskini ambaye anawaahidi akipata mtakula wote matokeo yake wanawaacha solemba!

Sasa wajumbe wa CHADEMA nao wana mtihani siku chache zijazo! Je wamchague Lissu kupeperusha bendera yao au wamchague Nyalandu?

Lissu ni maarufu sana na mzalendo wa nchi yake. Pamoja na marisasi bado hajakimbilia uhamishoni amerudi nyumbani kama ni kufa afie Tanzania ila hana hela ya kampeni kabisa! Kampeni yake ni wananchi wamchangie. Lakini Chama na viongozi wake hawaaminiki tena kwenye michango. Lissu aunde timu yake ya kampeni haraka yenye watu wanaoaminika kwenye masuala ya fedha sio Mbowe, Mrema na Reggy hawa hawaaminiki na wakiwepo nitaongoza kampeni ya kuzuia michango maana tunawajua.

Changamoto nyingine ya Lissu inaweza kuwa afya. Je ana nguvu na uimara wa kukimbia na magari kwa siku hizi 90+ za kampeni na kutafuta wadhamini? Au atahitaji chopa ambayo ni very expensive na hela hana na Chama pia hakina hela?

Afadhali nyingine ya Lissu ni kuwa Wabunge wanataka kumtumia jina lake kurudi kwenye nafasi zao kwa maslahi yao japo hawamwamini na huenda hata hawampendi ila Baniani mbaya sasa watafanyaje?maana Mbowe na Chama wameshapoteza moral authority kwenye jamii yetu kwa ufisadi na udikteta wao.

Nyalandu nae ni mwana mageuzi aliyeamua kuacha ubunge kwa ajili ya ndoto ya Urais ili awatumikie watanzania. Nyalandu ina aminika ana hela nyingi, za kwake na za wazungu wake huko Marekani na Ulaya. Nyalandu ana mtaji wa kampeni ndivyo wajumbe wanavyoaminishwa.

Sasa je Wajumbe watakwenda na Lissu waendelee na kampeni za kujitoa Mali zao na muda wao? Lissu mwenyewe ana sifa ya Uchoyo na Ubahili kama Mnyika. Apate asipate hakumbuki wenzie.

Au wampe Nyalandu anayeonekana Mlokole Fulani na aliyekulia CCM kwenye siasa za Ukarimu na Takrima? Pia kwa Nyalandu matumaini ya kampeni zenye afueni ni makubwa sana maana inaaminika ana hela na mtandao mkubwa.

Tunawasubiri wajumbe kesho kutwa.
[/QUOTE HUWA mnawapakazia chadema tu ,but nimekifuatilia hichi chama mfumo wake si wa kawaida thats niliwai sikia kwamba chama hichi
kina roho saba japo sijawai jua maana yake , chadema kama chama kwanza kwa kugombea hawaangalii una pesa au la wao la msingi huangalia jinsi unavyo kitumikia chama aijalishi we ni mshona viatu ,ili naliongea maana nimeshuhudia chaguzi nyingi za marudio wa madiwani n.k ,pili umaarufu wa mtu unamata pia .
mfano wakati slaa anagombea urais 2010 alikua Tajiri?
tatu nyarandu na lissu hawa ni ndugu hata lissu akipita usitegemee kama nyarandu hawezi mpigania kamwe ayo ni maneno tu kwa sisi tusiyo yajua ya ndani kwa chama husika.
tatu chadema hakuna alie juu ya chama kisa pesa zako that's angalia hata mfumo wao wa kuwapata viongozi kuanzia kule kwenye uongozi wa kanda si mchezo that's binafsi naamini chadema kwa sasa ni chama bora afrika na hakuna wa kubadilisha mawazo yangu hayo
 
Huo ndiyo ukweli watatukera sana mamilioni ya Watanzania ambao tunataka Lissu tu ndiye apeperushe bendera ya Chadema na kama kura zitahesabiwa hadharani yesu wa ligola ni lazima alambe mchanga.

Waislamu nao wameshaanza kudai kura za uchaguzi huu ujao ZIHESABIWE HADHARANI na wakristo wakitoa kauli hiyo mbona patakuwa patamu!!

Nyie mkifanya makosa hapa basi tena.. hakuna tena Chadema kama si Lissu.
 
Jambo LA msingi haki itendeke, nawashauri chadema waige toka ccm, kila mgombea ahesabu kura zake mwenyewe, atakayeshinda aungwe mkono na wote, kwangu binafsi asipopitishwa lissu sipigi kura kamwe.Anayepaswa kumkabili Jpm Ni lissu pekee
Lissu asipopita nitaendelea kuchangia campaign yake kwa safari yake ya kisiasa. Uchaguzi nitaufuatilia kama taarifa ya habari.
 
Masoud Kipanya katika kipindi cha Cloud Plus wakati wa kura za maoni za CCM nilimnukuu akisema Wajumbe wa CCM huenda hawakupewa rushwa kabisa lakini walikuwa wanajua Mgombea yupi ana hela kwamba wakimpitisha anaweza kujawashukuru kwa namna yoyote siku za baadae kwa hiyo yeye Masoud aliwapa nafasi kubwa Wagombea Matajiri kuwa watashinda. Na kweli 90% ya walioshinda ni Matajiri na wenye nafasi kubwa serikalini.

Pia walijua Matajiri hawatakuwa na kampeni za kufunga mkanda bali kampeni za kula bata tofauti na maskini ambaye anawaahidi akipata mtakula wote matokeo yake wanawaacha solemba!

Sasa wajumbe wa CHADEMA nao wana mtihani siku chache zijazo! Je wamchague Lissu kupeperusha bendera yao au wamchague Nyalandu?

Lissu ni maarufu sana na mzalendo wa nchi yake. Pamoja na marisasi bado hajakimbilia uhamishoni amerudi nyumbani kama ni kufa afie Tanzania ila hana hela ya kampeni kabisa! Kampeni yake ni wananchi wamchangie. Lakini Chama na viongozi wake hawaaminiki tena kwenye michango. Lissu aunde timu yake ya kampeni haraka yenye watu wanaoaminika kwenye masuala ya fedha sio Mbowe, Mrema na Reggy hawa hawaaminiki na wakiwepo nitaongoza kampeni ya kuzuia michango maana tunawajua.

Changamoto nyingine ya Lissu inaweza kuwa afya. Je ana nguvu na uimara wa kukimbia na magari kwa siku hizi 90+ za kampeni na kutafuta wadhamini? Au atahitaji chopa ambayo ni very expensive na hela hana na Chama pia hakina hela?

Afadhali nyingine ya Lissu ni kuwa Wabunge wanataka kumtumia jina lake kurudi kwenye nafasi zao kwa maslahi yao japo hawamwamini na huenda hata hawampendi ila Baniani mbaya sasa watafanyaje?maana Mbowe na Chama wameshapoteza moral authority kwenye jamii yetu kwa ufisadi na udikteta wao.

Nyalandu nae ni mwana mageuzi aliyeamua kuacha ubunge kwa ajili ya ndoto ya Urais ili awatumikie watanzania. Nyalandu ina aminika ana hela nyingi, za kwake na za wazungu wake huko Marekani na Ulaya. Nyalandu ana mtaji wa kampeni ndivyo wajumbe wanavyoaminishwa.

Sasa je Wajumbe watakwenda na Lissu waendelee na kampeni za kujitoa Mali zao na muda wao? Lissu mwenyewe ana sifa ya Uchoyo na Ubahili kama Mnyika. Apate asipate hakumbuki wenzie.

Au wampe Nyalandu anayeonekana Mlokole Fulani na aliyekulia CCM kwenye siasa za Ukarimu na Takrima? Pia kwa Nyalandu matumaini ya kampeni zenye afueni ni makubwa sana maana inaaminika ana hela na mtandao mkubwa.

Tunawasubiri wajumbe kesho kutwa.
Katika uamuzi ambao CDM kama hawatakuwa makini, basi ni huu unaanzia siku ya kesho. Itakuja kuwaghalimu vya kutosha pale watakapokosa busara za kumpata mpeperusha bendera sahihi wa kuweza kupambana na yule wa chama tawala.

Kiu ya wana CDM na umma ya Watanzania walio kuwa wengi inafahamika juu ya yule ambaye walimsubiri kwa muda mrefu na hata kuonyesha kwa uwazi kuwa wanamuunga mkono na kumkubali. Sasa ni mbivu ama mbichi juu ya uamuzi wenu ndani ya vikao vyenu toka tarehe 02/08/2020 mpaka 04/08/2020. Any silly mistake will cost you a lot.
 
Wakati mwingine huwa mnafikiria kwa kutumia makalio!
mkuu ni kweli hua sipendi matusi but wenda ukawa umempa jibu sahii , naona jukwaa kwa sasa limeanza kuingiliwa hivi ajui kuwa zipo nchi zimewai ongozwa na rais ambaye yupo kwenye wheel chair so anapata wapi nguvu za kumsema lissu ni kirema hata mimi binafsi ni kirema mtarajiwa maana mungu ndo hupanga haya yote
 
Back
Top Bottom