Uchaguzi 2020 Lissu Maarufu, Nyalandu ana hela, kazi kwa wajumbe

Uchaguzi 2020 Lissu Maarufu, Nyalandu ana hela, kazi kwa wajumbe

Kiafya Nyalandu Ni presidential material pia imagine Ikulu imevamiwa .Wanajeshi wanamwambia Lisu Amiri jeshi mkuu kimbia na sisi kuokoa maisha yako anabaki kuvuta miguu!!

Chadema msirudie ya Lowasa pitisheni mtu ambaye ni physcally fit .Mjue mnapitisha mgombea ambaye anaweza kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi akitokea kupata kura

Chadema chagueni my ambaye Ni physically fit, financially fit mwenye siasa Safi msimamia sera za chadema Sio Kujitangaza kibinafsi

Tundu Lisu akiongea kila muda kidogo utamsikia Mimi Mimi Mimi ooh Mimi kilienda kinarudi.Lisu speech has so many mimis Hadi inakera.Hakijengi na kukiongelea Chama anajinadi individually as Mimi Mimi mimi . Nyalandu hajikiti kwenye u Mimi anajikita zaidi kwenye kuelezea chama.Kujikita zaidi kwenye sera za Chadema Sio ohh Mimi Mimi mimi
Kwani wewe ni mjumbe?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Masoud Kipanya katika kipindi cha Cloud Plus wakati wa kura za maoni za CCM nilimnukuu akisema Wajumbe wa CCM huenda hawakupewa rushwa kabisa lakini walikuwa wanajua Mgombea yupi ana hela kwamba wakimpitisha anaweza kujawashukuru kwa namna yoyote siku za baadae kwa hiyo yeye Masoud aliwapa nafasi kubwa Wagombea Matajiri kuwa watashinda. Na kweli 90% ya walioshinda ni Matajiri na wenye nafasi kubwa serikalini.

Pia walijua Matajiri hawatakuwa na kampeni za kufunga mkanda bali kampeni za kula bata tofauti na maskini ambaye anawaahidi akipata mtakula wote matokeo yake wanawaacha solemba!

Sasa wajumbe wa CHADEMA nao wana mtihani siku chache zijazo! Je wamchague Lissu kupeperusha bendera yao au wamchague Nyalandu?

Lissu ni maarufu sana na mzalendo wa nchi yake. Pamoja na marisasi bado hajakimbilia uhamishoni amerudi nyumbani kama ni kufa afie Tanzania ila hana hela ya kampeni kabisa! Kampeni yake ni wananchi wamchangie. Lakini Chama na viongozi wake hawaaminiki tena kwenye michango. Lissu aunde timu yake ya kampeni haraka yenye watu wanaoaminika kwenye masuala ya fedha sio Mbowe, Mrema na Reggy hawa hawaaminiki na wakiwepo nitaongoza kampeni ya kuzuia michango maana tunawajua.

Changamoto nyingine ya Lissu inaweza kuwa afya. Je ana nguvu na uimara wa kukimbia na magari kwa siku hizi 90+ za kampeni na kutafuta wadhamini? Au atahitaji chopa ambayo ni very expensive na hela hana na Chama pia hakina hela?

Afadhali nyingine ya Lissu ni kuwa Wabunge wanataka kumtumia jina lake kurudi kwenye nafasi zao kwa maslahi yao japo hawamwamini na huenda hata hawampendi ila Baniani mbaya sasa watafanyaje?maana Mbowe na Chama wameshapoteza moral authority kwenye jamii yetu kwa ufisadi na udikteta wao.

Nyalandu nae ni mwana mageuzi aliyeamua kuacha ubunge kwa ajili ya ndoto ya Urais ili awatumikie watanzania. Nyalandu ina aminika ana hela nyingi, za kwake na za wazungu wake huko Marekani na Ulaya. Nyalandu ana mtaji wa kampeni ndivyo wajumbe wanavyoaminishwa.

Sasa je Wajumbe watakwenda na Lissu waendelee na kampeni za kujitoa Mali zao na muda wao? Lissu mwenyewe ana sifa ya Uchoyo na Ubahili kama Mnyika. Apate asipate hakumbuki wenzie.

Au wampe Nyalandu anayeonekana Mlokole Fulani na aliyekulia CCM kwenye siasa za Ukarimu na Takrima? Pia kwa Nyalandu matumaini ya kampeni zenye afueni ni makubwa sana maana inaaminika ana hela na mtandao mkubwa.

Tunawasubiri wajumbe kesho kutwa.
Wewe ni mke au mchepuko wa Nyarandu ?
 
mkuu ni kweli hua sipendi matusi but wenda ukawa umempa jibu sahii , naona jukwaa kwa sasa limeanza kuingiliwa hivi ajui kuwa zipo nchi zimewai ongozwa na rais ambaye yupo kwenye wheel chair so anapata wapi nguvu za kumsema lissu ni kirema hata mimi binafsi ni kirema mtarajiwa maana mungu ndo hupanga haya yote
Mkuu jamaa kaniudhi nikajikuta Sina neno jingine gum!
Anajiona yeye hawezi kufa wala kuwa kilema!
Jamaa jinga Sana!
 
Tunajaribu kuchor bila kaboni
Tingira Bro, naona mtu fulani toka mahali fulani anajaribu kutengeneza formular Au theory fulani ili atutoe kwenye reli!!
Namwambia mleta mada atulie mradi Lissu karudi, wajumbe watatupa mgombea!!
Hizo mbinu za kampeini CDM ina wadau hadi nje watasuport hizo shughuli!!
Acha kutuyumbisha ndg safari ndo imeanza!!
 
Wewe unajuaje maswala ya mtu kwamba ana hela au hana wakati wewe sio cashier wake wala sio mke wake.

Acheni uongo kwani Magufuli ni tajiri mbona yeye hujamwambia aache kugombea kwa sababu sio tajiri.

Kugombea urais mpaka uwe tajiri, mbona Obama alishinda awamu mbili na hakuwa tajiri. Huna hoja wewe, subirini tume yenu iwabebe.
Mueleze mueleze mueleze huyo mnyima Uhuru wa watu kuishi.
In Pompi's voice.
 
You’re not alone and I’ll stop talking about politics once and for all. It won’t be easy but I have to force myself to stop and return my membership card ASAP. After all I am not a politician and I have no intention to become one but I am not satisfied at all on what is going on in our beloved country and that’s the main reason of my participation.

Lissu asipopita nitaendelea kuchangia campaign yake kwa safari yake ya kisiasa. Uchaguzi nitaufuatilia kama taarifa ya habari.
 
Ukisoma mada bila mihemko unaokota kitu hata kama hutaki. Tatizo kuna watu washaset akili zao hawasikii kinyume na wanavyotaka. Kazi zenu hizo za kisiasa mimi sihusiki.
Siasa sio akili ndugu,siasa ni ushabiki tu,na mtu mwenye washabiki wengi hushinda.
Hela Ni kwa ajili ya kuhonga.
Na mpinzani akihonga TAKUKURU hawamwachi.
 
Kwa hilo umekosea, ukisema Lissu hana sifa nitakuelewa.
Frank D. Roosevelt : US President 1933. - 1945.
The longest serving US president. Alikuwa mlemavu kwenye wheelchair.
Anajua nini Kilaza huyo
Anajiita IFRS wakati mweupe tu kichwani.

International Financial Reporting STD mzima hajui hayo,hii Ni hatari kwa nchi.
 
Kiafya Nyalandu Ni presidential material pia imagine Ikulu imevamiwa .Wanajeshi wanamwambia Lisu Amiri jeshi mkuu kimbia na sisi kuokoa maisha yako anabaki kuvuta miguu!!

Chadema msirudie ya Lowasa pitisheni mtu ambaye ni physcally fit .Mjue mnapitisha mgombea ambaye anaweza kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi akitokea kupata kura

Chadema chagueni my ambaye Ni physically fit, financially fit mwenye siasa Safi msimamia sera za chadema Sio Kujitangaza kibinafsi

Tundu Lisu akiongea kila muda kidogo utamsikia Mimi Mimi Mimi ooh Mimi kilienda kinarudi.Lisu speech has so many mimis Hadi inakera.Hakijengi na kukiongelea Chama anajinadi individually as Mimi Mimi mimi . Nyalandu hajikiti kwenye u Mimi anajikita zaidi kwenye kuelezea chama.Kujikita zaidi kwenye sera za Chadema Sio ohh Mimi Mimi mimi
Kwa afya ya akili TL Ni Bora kuliko wote.

Wewe CCM unapendekezaje CDM waweke mgombe Mzuri NYalandu ili awashinde,kwa Nini usiwaache wakamchagua Lisu dhaifu ili iwe rahisi kwenu kuishinda?
 
Kuna wakubwa wanamwogopa LISSU kila uchao wanatunga na kutuma vijana kuja na viji-thread vya kumuondoa LISSU kwenye track ya Urais, wasijidanganye wanatakiwa kujua ya kwamba Kwa sasa TUNDU LISSU ndiye mtanzania pekee anaependwa na watz wengi kuliko mtu yeyote.
Hakuna cha makomeo wala ma bawaba Lissu ndiyo habari ya mjini.
 
Kwa siasa za wastani Nyarandu ni bora kuliko Lissu, pia naamini kiushindani na CCM, Nyarandu ni bora kuliko Lissu!
Mbinu zenu zote zimefeli, mlimpiga marisasi Mungu amemponya huyo kaja!!
SaSa mnakuja na swala la afya, hakuna atakaye wasikilza, Lissu for Prezidence period!!
 
Back
Top Bottom