Uchaguzi 2020 Lissu Maarufu, Nyalandu ana hela, kazi kwa wajumbe

Naomba kuuliza swali

Hivi USA inawezekana akaingia White house Rais masikini...!?
 
Naomba kuuliza swali

Hivi USA inawezekana akaingia White house Rais masikini...!?
Swali lako umebugi, hapa ni Tz sio USA hatuangalii utajiri wa mgombea.
Katiba yetu ya kijamaa, maraisi wote waliopita hata JPM hawakupimwa kwa utajiri wao!!
 
Kwa akila zangu kabisa timamu nilichogundua kwa dkk chache tu kupitia comment za hi habari ni kuwa ccm ndo wanamkubali nyalandu lkn chadema kamwe hawawezi mkubali nyalandu wanajua kiluchotokea 2015 vzr kbsa
 
Swali lako umebugi, hapa ni Tz sio USA hatuangalii utajiri wa mgombea.
Katiba yetu ya kijamaa, maraisi wote waliopita hata JPM hawakupimwa kwa utajiri wao!!
Usikurupuke Mzee...! Angalia swali langu limetokana na Comment gani au nime ( Quote ) kwa nani

Kua makini
 
Tundu liau anakubalika Sana na ni tumaini Sana huku mtaan kwa watu wanaoitwa wanyonge yaan walionyongwa na miaka hii 5 sio wafnyabiashara wala watumishi tupo ofisini na tunaujua ukweli
 
Naomba kuuliza swali

Hivi USA inawezekana akaingia White house Rais masikini...!?
umasikini upi unaouongelea hapa?.
WH kinachotakiwa ni utajiri wa akili sio pesa tu.
ndo maana kwenye idadi ya marais wa USA yumo hadi fundi cherehani.

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna nchi ambayo mlemavu amewahi kugombea kuwa rais
Kumbuka tunamchagua Amiri Jeshi mkuu
Mwai Kibaki wa Kenya aligombea urais akiwa amelemaa baada ya kupata ajali. Alichaguliwa vivyo hivyo. Alikuja kuimarika afya angali anaendelea kuongoza nchi.
 

we jamaa unahisi sifa sana kwa ujinga unaoandika et? au unajiona mjanja kutafuta umaarufu mtandaoni? Jitafakari we ni mtu mzima
 
Dah!!! Anaemlipa mpiga zumari ndie anayechagua wimbo najiuliza hao watakaosuport hiyo shughul watataka kufaidika na nin kwa hiyo support yao
 
Lowassa alikua na vyote na bado akatoka kapa
 
Wewe mwenyewe happy no mlemavu myarajiwa Tena utakatika miguu yote kwa ajali ya gari yako.
Yes, moja mlemavu wa kiungo lkn mwingine ni mlemavu wa akili. Yupi ana nafuu..?? Ndivyo itakavyokuwa kwenye uchaguzi wa Oktoba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…