Lissu: Mabadiliko hayatatokana na Steven Wasira, Wasira ni debe tupu.

Lissu: Mabadiliko hayatatokana na Steven Wasira, Wasira ni debe tupu.

Wamechokoza mbeyaaa..

Intro

Tumekumiss romaa....rudi nyumbani romaa.. uwatetee ndugu zakoo....///

Verse

Sijui nianzie wap kichwa kimebeba mengii...

Lissu kafanya dharau kubwa ni jibu tosha kwa WASSIRA na Wana CCM wapiga mapambio na kujiziba fikra / upofu wa fikra ZAO...
😔😔😔😔
☺️😊☺️😊
 
..nadhani alihoji timing, na faida, za Mbowe kwenda Ikulu.

..utakumbuka hata wakati wa JK Chadema walikwenda Ikulu, na matokeo yake tukapata Tume ya Warioba, na bunge maalum la katiba.
Hapana, hakuna cha timing, yeye hataki mtu kwenda kufanya majadiliano, amsema wazi kuwa ni mshike mshike mwaka huu

 
Back
Top Bottom