Wewe na huyo mtu mnaweza mkawa ni mazezeta hamjielewiKuna mtu humu alitoa onyo kuwa siku 60 ni nyingi sana kumpa mtu kama Lissu ila hawakumsikiliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na huyo mtu mnaweza mkawa ni mazezeta hamjielewiKuna mtu humu alitoa onyo kuwa siku 60 ni nyingi sana kumpa mtu kama Lissu ila hawakumsikiliza.
Magufuli akiacha wazimu na uchizi tu na yeye ataachaHuyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Tena uchwaraJiwe inabidi atajwe mara milioni na zaidi ktk kampeni hizi. Ni dikteta mshamba sana
Duh naona huyu punguani anazidi tu kuvuka mstari mwekundu, haya yetu macho huyu kibwengo atakapoishia maana 28.10.2020 lazima atoswe. Suala la vitambulisho na kukopa ni initiatives za CRDB na Kigamboni na watu wamekopeshwa kwa kutumia hivyo vitambulisho na ushahidi upo, sasa huyu punguani anayeanguka kifafa anataka kudanganya watu kuwa haiwezekani wakati waliokopa wapo na wanaendelea wengine kukopa, mwambieni watu wake kuwa kachemsha!Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Kumtaja sio kosa, ila ukweli vitambulisho hivyo havina maana na vinapingana na sheria kwa wale wenye mzunguko chini ya 4m, hawalipi mapato!Hakuna hoja yoyote hapo.Jamaa hana sera,kazi kumpakazia Magu.
Kaukweli kanauma kweli kweli vumilia tu ndugu yangu Alichokisema ndio ukweli.Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Muulize aliyemfyatulia hizo risasi.Acheni kukurupuka! Hivi huyo mungu wenu ilikuwaje akapigwa risasi mkono wa kulia wakati alikuwa amekaa kushoto kwa dereva? Hamuoni huyo anawalisha matango pori tu. Acheni kumshabikia maana 28/10 mtapata BP atakavyogaragazwa
UmemalizaMpumbavu ni yule anayedanganya wapumbavu wenzie kuwa kitambulisho kisicho na jina kinaweza kutumika kuombea mkopo benki.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hapa inaongelewa kukopa benki.Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
[emoji16]Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Mwambieni ajitahidi.asipakaziweHakuna hoja yoyote hapo.Jamaa hana sera,kazi kumpakazia Magu.
Hivi uelewi kuwa angle ya mtutu wa bunduki ndio ina-determine sehemu gani ya mwili itaumia?Acheni kukurupuka! Hivi huyo mungu wenu ilikuwaje akapigwa risasi mkono wa kulia wakati alikuwa amekaa kushoto kwa dereva? Hamuoni huyo anawalisha matango pori tu. Acheni kumshabikia maana 28/10 mtapata BP atakavyogaragazwa
Huyo ni mpuuzi na mjinga grade ya Lumumba ni wa kupuuzwa sana... Ndio maana umeona hata watu hawana time nae sabu kaonyesha IQ yake ni ndogo kiwango cha flayiova za baba ake..Hivi uelewi kuwa angle ya mtutu wa bunduki ndio ina-determine sehemu gani ya mwili itaumia?
Mafiningo
Meko aache kuongopa ili asitajwe. Hivi ni nani anaweza kuamini hiyo kauli yake ya uongo.Huyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?