MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Hehehe...dhumuni la kitambulisho cha wajasiriamali ni lipi?Kwani cha NIDA ni kwa ajili ya biashara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe...dhumuni la kitambulisho cha wajasiriamali ni lipi?Kwani cha NIDA ni kwa ajili ya biashara?
Jinga sana hili, tapeli wa siasa.Huyo boya yeye kazi yake ni kushangilia
Sure mkuuJinga sana hili...tapeli wa siasa.
Ilikuwa ni njia ya kuongeza kipato lakini Lissu kalibumisha.Unaelewa unachoongea?
Hivyo vitambulisho vya mjasiriamali vilitengenezwa kwa ajili ya boss wako apate hela maana hazina ipo hoi.
Uliwahi kujiuliza ni kwanini kitambulisho cha NIDA tunakipata BURE lakini cha mjasiriamali kinauzwa TZS 20,000/-?.
Keyboard zinawadanganya sana kujitia mna akili, kafanyeni kazi mtabaki kulia lia tu.Ili alaaniwe kwa mauaji, udhalilishaji, utekaji, kifilisi Wafanyabiashara, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Kijijini kwake, kuteka watu, na mambo maovu mengine mengi.
Unajinyesha ulivyo mtupu.Muulize yeyeo hata kwenye daladala tu au stendi ya basiu kuwa je mtu aweza kopa kwa tigopesa,Mpesa,AIRTEL money nk akapata pesa taslimu bila dhamana wala mdhamini
Lugha anazotumia Mh. Lissu kwa mpinzani wake hazijakaa vizuri.Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Wewe mbona umekubali kulipwa buku 7? Kama unajua thamani ya kufanya kazi ungekaa korido za Lumumba?Keyboard zinawadanganya sana kujitia mna akili, kafanyeni kazi mtabaki kulia lia tu.
ha ha ha !!"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Kumsema mtu jukwaani badala ya kunadi sera kisiasa ni sawa na kumpigia kampeni mwenzako. Unajionesha isingekuwa wao huna cha kuongea, ndiyo maana kila muda unataja mgombea wao.. Ni kuharibu hadhi
Bora hata buku 7 ingeendelea. Jiwe nasikia Kisha lzipunguza mpk kufukia buku 5hivi zile buku 7 enzi za nape kuwa katibu mwenezi hadi leo inaendelea?
Huko kumtajataja ndiyo kunakompeleka garage Yohana Kila week.Huyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Hata kingekua na jina huwezi kupata mkopo kwa kutumia kitambulisho tu.Mpumbavu ni yule anayedanganya wapumbavu wenzie kuwa kitambulisho kisicho na jina kinaweza kutumika kuombea mkopo benki.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nchi hii viongozi wa awamu ya tano wanaishi kwa uongo hii ni ishara za kukosa maadili.Hata kingekua na jina huwezi kupata mkopo kwa kutumia kitambulisho tu.
Kwanini nilaimike kuwa kwenye kikundi wakati Mimi nataka kufanya biashara zangu binafsi?Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika