Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Hawezi shinda kabisa. Watz siyo wajinga kiasi hicho.
 
Wala ha
Wala haikusaidii chochote,kuandika uzushi,uzandiki,uongo.watu wamejaa pomoni.na roho imekuuma sana.mchawi tu wewe.katafute kingine.
 
Ajielekeze kwenye kutatua kero za wananchi, kwani kampeni zimeanza? Subiri kampeni ndiyo uje utoe uharo wako hapa!
Sasa kama kampeni hazijaanza Rallies za nini anafanya? Eti tusubur kampeni, ko kwenye kampeni atabadilisha KICHWA hiki alichonacho akiache?

Ama kweli #NIYEYE YULEYULE. Hana lolote tu kama zamani. Kuropoka tu! Swain....
 

 
mkuu achana na lissu kwanza nafasi aliofikia lissu wenada mpaka uwe mzee utokuja kuipata wakati unaona moja wengine wanaona mbili ,hivyo sisi kama sisi hatuwezi jua mikakati ya chama usika maana ipo mingi inayo onekana na isio onekana tulia kampeni zianze kwanza , kumbuka mpaka sasa lissu anaongozwa na washauri so wenda ukaona mapokezi ni madogo but pia yakawa yamezuiliwa kimkakati kuhusu usalama zaidi
 
Lissu anaulemavu wa akili
Lissu akili mingi sn ndio maana maccm yamepagawa..... Mzee wa Phd feki hawezi hata kuongea sentensi moja ya kiingereza kazi yake kupiga makelele, kufokafoka na kuropoka bila mpangilio
 
Arusha hawana taimu na mpiga kelele na mropokaji. Wana Arusha wako bize kutumia fursa ya kusafirisha mizigo yao kwa gharama nafuu kwa kutumia treni!

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…