lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Dhulumat FC kila mbinu ya dhulma ikifichuliwa mnakasirikaMalalamiko FC iwe isiwe lazima ashindwe huyo msaliti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhulumat FC kila mbinu ya dhulma ikifichuliwa mnakasirikaMalalamiko FC iwe isiwe lazima ashindwe huyo msaliti.
Na kila figisu au mbinu ovu inapatiwa ufumbuzi.Uchaguzi wa mwaka huu una figisu nyingi sana
Mmh[emoji848] wakala si "mwajiriwa" wa Chama haileti maana kupangiwa kituo na TUME. Kama hilo swala Ni la kweli. Haitaleta maana kabisa. Anatakiwa. Kupangiwa, ama kukubaliana na Chama Chake.
Vyama vya Siasa Kama hili Ni la kweli, walilikubali vipi
Amesema miaka yote wakala anapewa barua ya utambulisho anaenda nayo kituo cha kupigia kura. Kwenye uchaguzi huu Tume ya Uchaguzi ndio inapanga sehemu ambayo wakala atakwenda.Hawapangiwi kituo na tume bali wanapangiwa na chama husika na kuwasilisha kwa msimamizi na wata apishwa siku saba kabla ya uchaguzi hivi nyie bavicha mbona vichwa maji?
Police watafanya hiyo shughuli.Kweli kabisa.
Hatuwezi kupiga kura halafu hatujui nani atazilinda
Washughulikiwe kwa mawe?Huwa tumezoea kutoa kipigo kizito kwa wezi wa Baiskeli kwanini hawa wezi wa kura ambao ni wezi wabaya kabisa huwa tunawaacha?
Ushauri wangu Mwizi ni Mwizi tu tulielewe hilo
Unasubiri Nini kuonyesha mfano?Huwa tumezoea kutoa kipigo kizito kwa wezi wa Baiskeli kwanini hawa wezi wa kura ambao ni wezi wabaya kabisa huwa tunawaacha?
Ushauri wangu Mwizi ni Mwizi tu tulielewe hilo
Amesema miaka yote wakala anapewa barua ya utambulisho anaenda nayo kituo cha kupigia kura. Kwenye uchaguzi huu Tume ya Uchaguzi ndio inapanga sehemu ambayo wakala atakwenda.
That's copy and paste, sio Shari.
Lengo Ni kuelewa.
Shida yenu, CCM n CDM unadhani kila mchangiaji lazima awe na Chama.
Kwani watanzania woote Ni wanavyama wa vyama vya Upinzani?
Sasa nitoe mfano wakati kura bado hazijaibwaUnasubiri Nini kuonyesha mfano?
Zamu hii mtajitoa nyeMnalalamika sana Kila inachofanya NEC si Mjitoe
Hata mimi naona hamna uchaguziHapa hakuna uchaguzi. Nmeshaona dalili kwa mara ya kwanza uchaguzi mkuu kuridiwa