Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwa tunaojua kusoma lugha ya usoni, unaona kabisa DJ anayoyaongea yanatoka usoni hayatoki moyoni, binafsi huwa siwezi kuidanganya nafsi kama anavyofanya yule jamaa. you can fool people for sometime but will never full them forever, watanzania waliokunja ngumi kwa miaka mingi, sio wajinga, wana akili na kisomo kuliko yeye aliyeishia uDJ bilicanas. watu wamepoteza maisha, wamepoteza kazi, wamekuwa vilema, wamedhalilishwa, wamefilisika afu unakuja kuleta utoto kwenye mambo ya msingi? kweli?
 
Kama ni hivyo, kwa nini Mbowe hataki kugombea?

Amandla...

..labda ni biashara kwa maana wenye pesa zao wanafika dau?

..kwamba wanachadema wanateseka kupigania na kujenga chama halafu analetwa mtu mwenye dau kubwa ananunua nafasi ya kugombea Uraisi?
 

lkn raisi Samia hatogombea 2025 …
 
Nafasi ya mgombea uRais pale Chadema ni biashara

Kwa Sasa wanawavizia February na Dr Naniliu PhD 😂😂😂
Naam Jamaa ana mkataza lissu asigombee ili Aje apige hela kama alivyo Fanya Kwa Lowasa , Yule macho kumchuzi mjanja mjanja sana
 
 

Attachments

  • VID-20250106-WA0032.mp4
    6.3 MB
Hamna kitu kibaya hapa duniani kama kuwa upande wa pili wa Lissu( Na uzuri wa Lissu huwa hana konakona, hata ukimwambia hii ni siri kuna siku utaikuta gazetini)

..somo hapa ni kwamba usijaribu kumshirikisha dili chafu. Lissu atakulipua.

..usiingie mapatano naye halafu ukatoka nje ukajaribu kupotosha ukitegemea " atamezea. "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…