We ng'o,mbe acha uzwazwa basi kua na akili angalau kidogo....hakuna barabara alizojenga magufuli....wamejenga watz kwa kodi zao. Hata kipindi cha ukoloni barabara zilikuwepoKapita na gari kwenye barabara nzuri alizojennga Magufuli hajaingia vijijii kwenye barabara za vumbi
Ni lami na yeye ,yeye na lami
Yaani huyu nilikuwa namuona anajitambua lakini ni zwazwa la kutupaWe ng'o,mbe acha uzwazwa basi kua na akili angalau kidogo....hakuna barabara alizojenga magufuli....wamejenga watz kwa kodi zao. Hata kipindi cha ukoloni barabara zilikuwepo
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!View attachment 1580430CCM inakubalika sana vijijini
Achana nayo misukule ya lumumba hiyoYaani huyu nilikuwa namuona anajitambua lakini ni zwazwa la kutupa
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Hya leo hiyo..... Hapa ni mjini pia?
Mkuu uko pessimistic sana.... Irrespective ya matokeo lakini chama kimejitahidi sana katika mazingira ya siasa miaka hii 5 kupambana na popular president ambaye kila siku yupo kwenye TV it's not an easy thing.Maneno ya dhihaka na siasa mara nyingi huenda pamoja. Tusubiri matokeo ya uchaguzi tuone mustakabali wa chama, hata hivyo tayari vijijini chama kimeimarika. Sura mpya.
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Mkuu uko pessimistic sana.... Irrespective ya matokeo lakini chama kimejitahidi sana katika mazingira ya siasa miaka hii 5 kupambana na popular president ambaye kila siku yupo kwenye TV it's not an easy thing.
Lissu kajitahidi sana kuneutralize nguvu ya Magufuli mpaka imeonakana kuwa inawezekana kabisa kumuangusha. Kwa hilo tu tuwape hongera mkuu otherwise wangetimkia CCM wote hao kuokoa vyeo vyao
Bado huyu ni mgombea was mjini au msimamo na mtazamo wako umebadilika Hadi wakati huu.Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Naelewa madhaifu yapo hasa kwenye organization lakini kila learning is a process. Nafahamu ww ni msomi haswaa kuna nadharia inaitwa Continous Learning Process Model ndio inatumika na makampuni kubuni bidhaa mpya.Mimi siku zote nipo optimistic taabu hupata kuhusu ground organisation. Jaribu kufikiria hali hii ingekutana na well prepared ground what the results would be? , pia najitahidi sana kuchangia hata kama kwa wakati ni mgumu.
Lets wait and see, tunaomba mema lakini lazima tubadilike, Big brains zinahama kwa kuwa hatubaliki. Timu za ushindi inaendelea zinapungua. Tarehe 29/10, chama kitakuwa tayari kimeimarika.Naelewa madhaifu yapo hasa kwenye organization lakini kila learning is a process. Nafahamu ww ni msomi haswaa kuna nadharia inaitwa Continous Learning Process Model ndio inatumika na makampuni kubuni bidhaa mpya.
Unaambiwa bidhaa mpya zote 70% hufeli lakini kupitia failure hizo ndio zinaleta successful products huko mbele. Hata ukiona i phone ina trend sokoni ni matokeo ya kujifunza kutoka na kufeli kupata soko ya device za apple toka miaka ya 90!!
Nachosema ni kwamba kila uchaguzi CHADEMA wanazidi kujifunza na kupata uzoefu mpya. Kwahiyo kuliko kukatishana tamaa walau tu appreciate hatua walizopiga, hvi kuna chama cha upinzani kimepita majimbo mengi kuliko CHADEMA? Kusimamisha wagombea?
Mkuu Mbowe kapiga sana kazi, hata kma sio mtu wa jukwaani ila background huko kafight sana kuanzia kutafuta pesa mpaka kujenga mfumo wa chama hadi majimboni. Kwa hayo madogo tupongeze na kuwa wamoja mengine yanajirekebisha taratibu.
Yangu ni hayo tu
CCM tumeweza vyote na tuna matawi ya CCM vijiji vyote hata asipikanyaga Raisi tuna vi cover vyote hapo hapo.kupitia viongozi wa chama wa matawiHivi unajua Tz inavijiji vingapi? Hata kama ni wewe unaweza tembelea vijiji vingapi hapa Tz kwa siku 60?
Tanga ameingia vijijin akamalizia mjin..ameeanza lushoto,korogwe,muheza akamalizia tanga mjin..na bado atarudi kumalizia pangani,mkinga..mtoa post unajifariji tu lisu anapiga mjin na vijijinMsimamo wangu uko pale pale Lisu mgombea wa mijini mzurura mijini kuomba kura