Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

Kwenye Ukweli lazima tuseme mwaka huu mgombea Wangu hashindi ila 2025 Njia nyeupe kabisa
Lisu anasaka kura kwenye 20 percent ya wapiga wa mjini

Wapambe wake waotaji hewa wanasema atapata asilimia 80 ya kura!!!

Kimahesabu ukichukua asilimia 80 ya kura asilimia 20 za mijini jibu ni kiwa atapata asilimia 16 tu ya kura zote zotakazopigwa nchi nzima
 
Lisu anasaka kura kwenye 20 percent ya wapiga wa mjini

Wapambe wake waotaji hewa wanasema atapata asilimia 80 ya kura!!!

Kimahesabu ukichukua asilimia 80 ya kura asilimia 20 za mijini jibu ni kiwa atapata asilimia 16 tu ya kura zote zotakazopigwa nchi nzima
Unajua kunakitu hamfahamu nikua watu wanataka mbadiliko ya uongozi ata ungegombea ww ingebidi upite ili mabadiliko yatokee hakuna haja ya kampeni kila mtu amechoka anataka mabadiliko
 
Unajua kunakitu hamfahamu nikua watu wanataka mbadiliko ya uongozi ata ungegombea ww ingebidi upite ili mabadiliko yatokee hakuna haja ya kampeni kila mtu amechoka anataka mabadiliko
Mabadiliko Lowasa, Lowasa mabadiliko aliyoimba hadi Lisu tena kwa hamasa kubwa hadi anaweweseka 2015 iliishia wapi?
 
Ila kwa utandawazi wa saiv hakuna habari za kijijin Tena , maana upatkanaj wa taarifa umeongezeka, shule watu wengi wamesoma
 
Kiongozi wa ibada ameanzisha uzi ili kwenye dini yake apate faraja.
Sasa subiri wafuasi waje waanze ibada zao ndio utajua katika awamu zote zimizotangulia hakuna awamu yenye kundi la wajinga ndani ya chama kama awamu hii.
 
Halafu
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Halafu anazidi kujiaminisha kuwa atashinda uchaguzi huu. Akamuulize John John kwa nini kaachia kiti cha pale kwenye ma- interchange? Anadhani hii ni ngoma ya watoto, wakati wowote ataacha kufanya kampeni kwa sababu ya "UKATA" lakini atasingizia kuumwa mguu na eti anarudi Ubelgiji kwa matibabu. Ngojeni mtaona!
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.

usituongopee, Urbanization TZ ni zaidi ya 20%
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Wewe dada mjinga sana uliona ile ya Katoro? Ukiona kile Kyerwa? Huko ni mjini? Uliona kule Nyehunge? Kule ni mjini? Safari hii tunawagegeda wakavuwakavu pumbavu nyie! Na mkijidai ujinga wa kuiba kura tunaingiza raia mtaani!
 
Wewe dada mjinga sana uliona ile ya Katoro? Ukiona kile Kyerwa? Huko ni mjini? Uliona kule Nyehunge? Kule ni mjini? Safari hii tunawagegeda wakavuwakavu pumbavu nyie! Na mkijidai ujinga wa kuiba kura tunaingiza raia mtaani!
Katoro na kyerwa ni vijijini? Ni miji
Nyehunge ni makao makuu ya wilaya mpya ni mji
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.

Acha uongo na kujipa moyo. Mimi nimezumguka naye Geita na Bukoba. Jamaa anasimama kila kituo kwenye center ya kila Kijiji. Hayo ni maeneo very deep rural. Anasimamisha kila mahali.

Kwani Jiwe kaenda wapi vijijini zaidi ya alikopita Lissu.

Tafute hoja nyingine. Msitengeneze precedence ya kuiba mkisingizia kura vijijini. This time mnapigwa potepote, mijini na vijijini.
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Bora yeye wengine hamjulikana ata mliko
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Na katoro ni mjini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie Jiwe Kuna hoja huku bado hazijajibiwa
IMG_20200926_014948.jpg
IMG_20200926_014945.jpg
IMG_20200926_014939.jpg
IMG_20200926_014934.jpg
 
Mgombea wako kaita wakurugenzi wanini dodoma?
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Mnahangaika sana kumbe sindano zinaingia
 
Mijini anakozurura vyama vyote tupo hiyo asilimia 20 haituumizi vichwa humo tuna asilimia kubwa tu na vijijini tuna competitive advantage ambayo Tanzania hakuna chama cha siasa chaweza tufikia tuko kila mahali hata uende porini vipi CCM tupo tuwaonyeshe kipigo cha mbwa koko October 28
Hii ndio ccm inayokubalika vijijini
tapatalk_1601122712765.jpeg
 
Back
Top Bottom