Kuna shida gani akilala saa kumi usiku na kuamke saa 4 asubuhi?Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.
Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.
Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?
Tafakari kabla ya kupiga kura.
Ni vzr Sana ila penda kuamka alfjoriHata mimi napenda kuamka saa nne. Ila maendeleo yanaonekana. Be your own boss.
Mrema wa Impala, mwamba alitafuna watoto saba aisee ila hata kama kafariki stil kaifaidi Dunia
..kuna tajiri mmiliki wa hoteli ya ngurdoto yeye alikuwa na tabia ya kulala asubuhi na mchano kazi zote alikuwa akifanya usiku.
Kuamka saa nne ni dharau kubwa sana kimaisha. Iwe mwanaume iwe mwanamke, uwe tajiri uwe masikini unaamkaje saa nne kwa mfano. Imechelewa sana ni saa mbili.
Saa nne kwa raha gani ulale hivyo.
Huyu amejiajiri mwenyewe, kazi zake huzifanya usiku kukiwa kumetulia na mchana hufanya siasa.Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.
Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.
Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?
Tafakari kabla ya kupiga kura.
Kakudanganya Nani.Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.
Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.
Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?
Tafakari kabla ya kupiga kura.
Unadhani kazi zake huzifanya saa ngapi, usilazimishe aonekane mzembe wakati kila siku huingiza mamilioni bila kiibia serikali, pambana na wezi wa pesa zetu ili tuendelee.Unajitoa akili
Putin anaamka saa sita mchana Je Tz na Urusi ipi ina Maendeleo?Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.
Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.
Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?
Tafakari kabla ya kupiga kura.
Kazi kweli kweliTundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.
Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.
Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?
Tafakari kabla ya kupiga kura.
wewe ulikuwa unawahi kuamka kabla hujaanza darasa la kwanza?Huyu Yuko katika usaili wa nafasi ya Urais, siongelei genge la mangi hapa
Hujui kwamba ana Nia ya kuwa Rais wa nchi hii?