Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura.
Kuna shida gani akilala saa kumi usiku na kuamke saa 4 asubuhi?
 
Mrema wa Impala, mwamba alitafuna watoto saba aisee ila hata kama kafariki stil kaifaidi Dunia


Mkuu jokakuu akawa anaona ni uchapakazi wakati Mrema alikuwa kushinda ofisi za hoteli anakesha usiku ndio zile za wafanyakazi wa kike na ma bosi
 
Kuamka saa nne ni dharau kubwa sana kimaisha. Iwe mwanaume iwe mwanamke, uwe tajiri uwe masikini unaamkaje saa nne kwa mfano. Imechelewa sana ni saa mbili.

Saa nne kwa raha gani ulale hivyo.
 
Kuamka saa nne ni dharau kubwa sana kimaisha. Iwe mwanaume iwe mwanamke, uwe tajiri uwe masikini unaamkaje saa nne kwa mfano. Imechelewa sana ni saa mbili.

Saa nne kwa raha gani ulale hivyo.

..inategemea umelala saa ngapi.

..pia ukisikiliza hoja zake anaonekana yuko vizuri kuliko wengi wanaoamka alfajiri.
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura.
Huyu amejiajiri mwenyewe, kazi zake huzifanya usiku kukiwa kumetulia na mchana hufanya siasa.
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura.
Kakudanganya Nani.
Kamuulize P Kagame kabla na Baada ya kupata kiti kubwa.
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura.
Putin anaamka saa sita mchana Je Tz na Urusi ipi ina Maendeleo?
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura.
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom