Uchaguzi 2020 Lissu mnyang'anye Magufuli advantage ya vyombo vya habari vya umma na wasanii

Lisu ni galasa tu.......anapoteza muda kutimiza matakwa ya mabwana zake wa ulaya. Watanzania hawajawa wajinga kiasi hicho kukubali kuongozwa na beberu jeusi
Wewe ni nani unamuita mfadhili beberu? Ukweli unajua kuwa mwenyekiti ni jiwe na mtu kujifananisha na kitu kisichokua na uhai maana hakina utashi.
 
Pia apige spana ya jiwe kuongeza mishahara ktk kipindi hili cha kampeni maana ni sawa na rushwa...alikuwa wapi zamani?
 
Media za Tanzania nyingi zinakosa weledi kutokana na mbinyo was kisiasa na zile Sheria za hati za dharura,Ila kwa zile zinazoendeshwa kwa Kodi za watanzania hazina kisindizio zaidi ya kufanya makusudi kwa kuegemea upande was watawala,Lakini yote ya yote wanaojihusisha na media Kama biashara wanashuhudia hasara kutokana na sera mbaya ,kanuni na Sheria za habari.
 
Kwa maoni yangu TBC inatakiwa ifanyiwe mabadiliko makubwa Sana ya kimfumo na kiutendani
 
🤣😂🤣😂🤣 IVI NYIE BAVICHA MKISHAANDIKA UZI HUWA MBARUDIA KUUSOMA AU??? BADALA UMSHAWISHI KIBARAKA MZEE WA FARAGHA AMWAGE SERA WEWE UNAMWAMBIA APONDE WASANII NA VYOMBO VYA HABARI HAYA YATAWASAIDIA NINI WANANCHI WA NDOTONI ANAKOFIKIRIA ATAKUWA RAISI🤣😂🤣😂
 
Mnaangaika na Taasisi ya burudan ya Ccm (TBc)
 
hizo ni propaganda kijana wa lumumba elewa....
 
 

Attachments

  • IMG-20201010-WA0017.jpg
    65.3 KB · Views: 2
Walichitakiwa kufanya watanzania ni kuwasusia wasanii wote. Watanzania wanatakiwa kuwasusia hata baada ya uchaguzi ili waache kutumika kwenye kampeni za kulinda utawala ulioshindwa. Hili najua ni gumu sana hasa kwa nchi yenye wafuata mkumbo kama Tanzania lakini nakupia ingekuwa kwa nchi yenye watu wanaojitambua hao wasanii baada ya mwaka ungekuta wote wanafanya kazi ya umachinga.
 
Lisu ni galasa tu.......anapoteza muda kutimiza matakwa ya mabwana zake wa ulaya. Watanzania hawajawa wajinga kiasi hicho kukubali kuongozwa na beberu jeusi
******** na genge lake ndo mi beberu tena mibeberu ya hovyo kabisa.
 
Msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
 
TBCCCM Polisiccm na NECCCM Tumeccm sasa ni vyombo binafsi vya CCM kibaya kuliko vyote wanalipwa mishahara kutokana na kodi za watanzania wote ambao wengi walipa kodi siyo wapenzi wala wanachama wa CCM, iweje pesa za walipa kodi ikalipe mishahara watumishi binafsi wa CCM?
 
Msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Msaliti ni yule hutumia vyombo vya umma vinavyolipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi kufanya kazi binafsi za CCM kwa njia haramu za kishetani
 
Mnasahau Lissu anashindana na CCM sio Magufuli pekee. Mfano mzuri ni Membe alipokua Ccm alionekana na nguvu kubwa kuliko Membe wa zitto
 
******** na genge lake ndo mi beberu tena mibeberu ya hovyo kabisa.
CCM wakienda ulaya kuomba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu ushetani wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Kwamba TBC ndo waliomfata Mbowe kutafuta suluhu🤔? Kwa kipi ambacho ingepoteza, mpaka wamfuate, wakati yeye ndo aliwafukuza?
 
CCM wakienda ulaya kuomba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu ushetani wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
Hawa wadudu hovyo kabisa
 
CCM wakienda ulaya kuomba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu ushetani wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
Unakosea kusema kwamba, wakikataa ushetani wa CCM ndio hugeuka kuwa mabeberu. Wanakuwa mabeberu pale wanapoleta sera ambazo kwa namna fulani zinaleta athari hasi kwa taifa letu, vinginevyo wao sio mabeberu.
 
Mnasahau Lissu anashindana na CCM sio Magufuli pekee. Mfano mzuri ni Membe alipokua Ccm alionekana na nguvu kubwa kuliko Membe wa zitto
CCM hutumia mbinu za kishamba kishetani kuwanyong’onyesha wapinzani,’Mfano sasa membe kafungiwa A/C zake zote kaporwa pesa zake ndugu zake rafiki zake wengi nao wamewachukulia pesa zao ni uonevu ulioje na endapo mtukufu magufuli atakuwa nje ya ikulu lazima avuliwe kinga apate kujibu tuhuma zake kama Jacob zuma wa South Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…