Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ina miaka zaidi ya 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani lakini CCM wanachukua pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi wanazitumia kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani badala ya maendeleo, hata huto tumaendeleo kiduchu twa kujenga flyover SGR bwawa la umeme na miradi yote mikubwa kuna ufisadi wa kutisha sana ndiyo maana wanakosa nguvu kuitumia kama njenzo ya kuomba kura, mda huu kama ingekuwa siyo CCM pengine Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko kuliko America German China India Canada oman na mataifa mengi Duniani na pengine ingeweza kuwa na kura ya vetoNyie watu siasa zimewaharibu..UCCM na UCHADEMA umewafanya vijana kutojua nin tunahtaji nchi hii..yaan mgombea asimame kijijini huko hakuna maji,hospital wala umeme aanze kuwaelezea wananchi swala la TBC na USANII??ahahaha tuna safari ndefu saana
Kiwe nacho na kisiwe nacho mwisho wa siku ataendelea kua rais wa wewe unaejiona una utashiWewe ni nani unamuita mfadhili beberu? Ukweli unajua kuwa mwenyekiti ni jiwe na mtu kujifananisha na kitu kisichokua na uhai maana hakina utashi.
Akibahatisha Division Five mniuekuwa mkweli japo ndani ya nafsi yako...hv chukulia kwa mfano umewapa mtihani unaofanana kati ya Jiwe na TL halafu matokeo yake TL akapata division III unadhani Jiwe yeye atakuwa kapata matokeo gani hapo?!?!.
keep left kingehusika hapo!!.
Ndiyo maana akawa Rais wako. Unakula, unaenda chooni kwasababu ya Magufuli.Jiwe je, anazo hizo akili?
Sio ujuha utakua utopolo mtupuInamaana hao watu ni misikule hawaoni wanasubiri Lissu aache kunadi Sera za mkoa husika aje awanange tbc? Basi huo utakuwa ujuha.
Mtalia sana na TBC, mara wasanii mara NEC, mara Police, mara viongozi wa dini, mara vyombo vya habari, mara kile. Kinachombeba Mhe Magufuli ni kazi, kazi, kazi alizowafanyia watanzania. Ni hospitali, shule, maji, Barabara, Treni, mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu, ni ndege alizonunua,meli, ni maslahi ya wafanyakazi wa umma aliyoboresha. Ni kujali Kwake wakulima, wafanyabiashara wakiwemo wamachinga ni kupaisha diplomasia ya Tanzania. Ni kupiga vita rushwa na ufisadi na kusimamia utawala wa sheria, haki na kujali wanyonge.Ni mambo kama hayo na mengine mengi ndiyo yanawaleta watu kwa wingi katika mikutano yake na ndiyo sababu atachaguliwa kwa kura za mafuriko. Kimbia ukajiunge na kundi hili kubwa la watanzania umpigie kura Rais Magufuli kwa ajili ya maendeleo yako na vizazi vinavyokuja.Kiukweli kabisa bila wasanii wakubwa na vyombo vya habari vya umma leo kampeni za Magufuli zingekuwa nusu kaputi.
Kiufupi kampeni za Magufuli za mwaka 2020 ni sawasawa na kampeni za Magufuli za mwaka 2015, hotuba ni zilezile yaani hakuna jipya.
Ila Magufuli ameifanya TBC kama TV yake binafsi, inamrusha yeye tu, wala haina mpango wa kurusha wagomnea wengine wa upinzani tishio kwake kama Lissu mwenyewe.
Pamoja na TBC kumsaidia Magufuli kusikika zaidi kuliko wagombea wengine kinyume cha sheria za Uchaguzi, upendeleo huo wa kupita kiasi kwa Magufuli dhidi ya wagombea wengine pia unawafanya wananchi Waikinai hiyo TV na hivyo indirectly kuanza Kumkinai Mgombea wa CCM.
Sasa Lissu anatakiwa afanye yafuatayo ili kumuondolea Magufuli advantage ya vyombo vya umma kwake
1. Discredit TBC, ichongee sana kwa umma kwenye kila mkutano wa kampeni, yaani ishushe thamani mpaka watu waidharau
Kila chombo cha habari kinapenda kukubalika, kuheshimika na kupata watazamaji au wasikilizaji. Kwa hiyo Lissu hapa anatakiwa aishushue, ailaani TBC TV na redio yake, aichongee mbele ya wananchi, aiite haifanyi kazi kwa weledi, aeleze jinsi inavyovunja sheria za uchaguzi, aeleze jinsi ilivyo na upendeleo na awatake wananchi Waipuuze mpaka wajirekebishe. Akifanya hivi Wananchi hawatoichukulia TBC serious na kwa hivyo ile advantage ambayo Magufuli anaipata kwenye hiyo TV na redio itapunguzwa sana. Lissu kuna haja ya kuiattack TBC verbally tena kwa nguvu nyingi sana mbele ya wananchi. Wakijiona wanapoteza mtaji wa watu kwa watu kuwapuuza watajirekebisha.
2. Kwa upande wa wasanii, endelea kumpiga vijembe Magufuli kwa kuwaletea watu disko badala ya kunadi sera za kusaidia kuboresha maslahi ya wafanyakazi, kuondoa kitambulisho cha wamachinga, kuleta katiba mpya, etc.
Wasanii wana nguvu, kuna haja ya kutengeneza Meseji ya Kuponda performance za wasanii zilizopitiliza kwenye kampeni za Magufuli. Hapa meseji iwe ni kuwa uchaguzi huu ni uchaguzi wa masuala yanayogusa maisha ya wananchi, elimu yao, afya yao, ugali wao mezani, pensheni zao, siyo kuletewa watu wa kukatakata viuno majukwaani eti iwe ndiyo sera ya kuombea kura.
Wakumbushe wananchi kisa cha mwanamuziki mkubwa Bob Marley aliyekataa katakata kumuendorse mgombea yeyote wa siasa huko Jamaica miaka ya 70 kitendo kilichomjengea heshima zaidi kwa watu wa Jamaica, Sembuse hawa akina Diamond? - Ni nani kati ya hao kafikia star power ya Bob?
Elezea kwa wananchi jinsi Wasanii hawa wasivyo na maono ya kuwasaidia wao wenyewe au kuwasaidia wenzao, Eleza jinsi BASATA ilivyowatesa wasanii kwa kufungia kazi zao mbalimbali lakini leo wako busy kuitetea CCM.
Kuna haja kubwa ya kuwadiscredit hawa wasanii mbele ya umma, lengo la kuwadiscredit siyo kwamba wananchi wasiwapende la hasha, Lengo ni wananchi wasilink performance zao majukwaani na kumpigia kura Magufuli. Lengo hapa ni kudiscredit political undertone katika performance za hao wasanii majukwaani.
Naamini ikiandaliwa meseji nzuri ya kuwakaanga TBC na wasanii mbele ya wananchi mpaka wananchi wakawaona kuwa ni adui wa mabadiriko wanayoyataka, Wasanii wakishaanza kuona wananchi hawana time nao kwenye ushawishi wa kisiasa isipokuwa burudani tu, Tutakuwa tumemnyang'anya Magufuli kete mbili anazodhani zinamsaidia kisiasa!
Lissu piga spana kisawasawa hivi vitu viwili kwenye kila mkutano, Hii itasaidia sana wapiga kura kufuta ushawishi wowote waliokwishajengewa na hivi vitu viwili, lakini pia itaweka kigingi kusaidia vitu hivi visiwe effective katika siku zifuatazo za kampeni.
Hivi na wewe ni mwanamke kweli unaeilea familia?Kiwe nacho na kisiwe nacho mwisho wa siku ataendelea kua rais wa wewe unaejiona una utashi
Hivi hii online tv sijui inaitwa Dar live sijui Dar leo ambayo naona inajitahidi sana kurusha matukio ya Tundu ni ya nani?Kiukweli kabisa bila wasanii wakubwa na vyombo vya habari vya umma leo kampeni za Magufuli zingekuwa nusu kaputi.
Kiufupi kampeni za Magufuli za mwaka 2020 ni sawasawa na kampeni za Magufuli za mwaka 2015, hotuba ni zilezile yaani hakuna jipya.
Ila Magufuli ameifanya TBC kama TV yake binafsi, inamrusha yeye tu, wala haina mpango wa kurusha wagomnea wengine wa upinzani tishio kwake kama Lissu mwenyewe.
Pamoja na TBC kumsaidia Magufuli kusikika zaidi kuliko wagombea wengine kinyume cha sheria za Uchaguzi, upendeleo huo wa kupita kiasi kwa Magufuli dhidi ya wagombea wengine pia unawafanya wananchi Waikinai hiyo TV na hivyo indirectly kuanza Kumkinai Mgombea wa CCM.
Sasa Lissu anatakiwa afanye yafuatayo ili kumuondolea Magufuli advantage ya vyombo vya umma kwake
1. Discredit TBC, ichongee sana kwa umma kwenye kila mkutano wa kampeni, yaani ishushe thamani mpaka watu waidharau
Kila chombo cha habari kinapenda kukubalika, kuheshimika na kupata watazamaji au wasikilizaji. Kwa hiyo Lissu hapa anatakiwa aishushue, ailaani TBC TV na redio yake, aichongee mbele ya wananchi, aiite haifanyi kazi kwa weledi, aeleze jinsi inavyovunja sheria za uchaguzi, aeleze jinsi ilivyo na upendeleo na awatake wananchi Waipuuze mpaka wajirekebishe. Akifanya hivi Wananchi hawatoichukulia TBC serious na kwa hivyo ile advantage ambayo Magufuli anaipata kwenye hiyo TV na redio itapunguzwa sana. Lissu kuna haja ya kuiattack TBC verbally tena kwa nguvu nyingi sana mbele ya wananchi. Wakijiona wanapoteza mtaji wa watu kwa watu kuwapuuza watajirekebisha.
2. Kwa upande wa wasanii, endelea kumpiga vijembe Magufuli kwa kuwaletea watu disko badala ya kunadi sera za kusaidia kuboresha maslahi ya wafanyakazi, kuondoa kitambulisho cha wamachinga, kuleta katiba mpya, etc.
Wasanii wana nguvu, kuna haja ya kutengeneza Meseji ya Kuponda performance za wasanii zilizopitiliza kwenye kampeni za Magufuli. Hapa meseji iwe ni kuwa uchaguzi huu ni uchaguzi wa masuala yanayogusa maisha ya wananchi, elimu yao, afya yao, ugali wao mezani, pensheni zao, siyo kuletewa watu wa kukatakata viuno majukwaani eti iwe ndiyo sera ya kuombea kura.
Wakumbushe wananchi kisa cha mwanamuziki mkubwa Bob Marley aliyekataa katakata kumuendorse mgombea yeyote wa siasa huko Jamaica miaka ya 70 kitendo kilichomjengea heshima zaidi kwa watu wa Jamaica, Sembuse hawa akina Diamond? - Ni nani kati ya hao kafikia star power ya Bob?
Elezea kwa wananchi jinsi Wasanii hawa wasivyo na maono ya kuwasaidia wao wenyewe au kuwasaidia wenzao, Eleza jinsi BASATA ilivyowatesa wasanii kwa kufungia kazi zao mbalimbali lakini leo wako busy kuitetea CCM.
Kuna haja kubwa ya kuwadiscredit hawa wasanii mbele ya umma, lengo la kuwadiscredit siyo kwamba wananchi wasiwapende la hasha, Lengo ni wananchi wasilink performance zao majukwaani na kumpigia kura Magufuli. Lengo hapa ni kudiscredit political undertone katika performance za hao wasanii majukwaani.
Naamini ikiandaliwa meseji nzuri ya kuwakaanga TBC na wasanii mbele ya wananchi mpaka wananchi wakawaona kuwa ni adui wa mabadiriko wanayoyataka, Wasanii wakishaanza kuona wananchi hawana time nao kwenye ushawishi wa kisiasa isipokuwa burudani tu, Tutakuwa tumemnyang'anya Magufuli kete mbili anazodhani zinamsaidia kisiasa!
Lissu piga spana kisawasawa hivi vitu viwili kwenye kila mkutano, Hii itasaidia sana wapiga kura kufuta ushawishi wowote waliokwishajengewa na hivi vitu viwili, lakini pia itaweka kigingi kusaidia vitu hivi visiwe effective katika siku zifuatazo za kampeni.
Sawa mke wangu ninakazi sana hasa wakati ule ukizungusha huku natoa wabeligijiHivi na wewe ni mwanamke kweli unaeilea familia?
Mumeo ana kazi sana
Sawa mke wangu ninakazi sana hasa wakati ule ukizungusha huku natoa wabeligiji
Unataka nikuongezee mke mwenzio? Naona unawasilisha ya moyoni mwako kwa fasihi kigeugeu version 2.05Sawa Huenda bado upo saloon unasuguliwa Kucha
Dada uwahi kurudi ukampikie Mumeo,JF haitakusaidia kipindi unapigwa na mumeo
Mpe heshima Mumeo acha kujizungusha humu jf kutafuta vidume magonjwa ni mengi dada yangu,vumilia si uliamua mwenyewe kuolewa nanda kalale uchi
Kumbe na wewe ni wakiume unajiita sio basi mwanaume tunapungua kwa kasi sanaUnataka nikuongezee mke mwenzio? Naona unawasilisha ya moyoni mwako kwa fasihi kigeugeu version 2.05
TBC ina weledi wa hali ya juu ndiyo maana hairushi MATUSI NA MATUKANO ya Lissu! TBC inaangaliwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na watoto (unataka wajifunze matusi?) kutoka kwa Lissu"Kiukweli kabisa bila wasanii wakubwa na vyombo vya habari vya umma leo kampeni za Magufuli zingekuwa nusu kaputi.
Kiufupi kampeni za Magufuli za mwaka 2020 ni sawasawa na kampeni za Magufuli za mwaka 2015, hotuba ni zilezile yaani hakuna jipya.
Ila Magufuli ameifanya TBC kama TV yake binafsi, inamrusha yeye tu, wala haina mpango wa kurusha wagomnea wengine wa upinzani tishio kwake kama Lissu mwenyewe.
Pamoja na TBC kumsaidia Magufuli kusikika zaidi kuliko wagombea wengine kinyume cha sheria za Uchaguzi, upendeleo huo wa kupita kiasi kwa Magufuli dhidi ya wagombea wengine pia unawafanya wananchi Waikinai hiyo TV na hivyo indirectly kuanza Kumkinai Mgombea wa CCM.
Sasa Lissu anatakiwa afanye yafuatayo ili kumuondolea Magufuli advantage ya vyombo vya umma kwake
1. Discredit TBC, ichongee sana kwa umma kwenye kila mkutano wa kampeni, yaani ishushe thamani mpaka watu waidharau
Kila chombo cha habari kinapenda kukubalika, kuheshimika na kupata watazamaji au wasikilizaji. Kwa hiyo Lissu hapa anatakiwa aishushue, ailaani TBC TV na redio yake, aichongee mbele ya wananchi, aiite haifanyi kazi kwa weledi, aeleze jinsi inavyovunja sheria za uchaguzi, aeleze jinsi ilivyo na upendeleo na awatake wananchi Waipuuze mpaka wajirekebishe. Akifanya hivi Wananchi hawatoichukulia TBC serious na kwa hivyo ile advantage ambayo Magufuli anaipata kwenye hiyo TV na redio itapunguzwa sana. Lissu kuna haja ya kuiattack TBC verbally tena kwa nguvu nyingi sana mbele ya wananchi. Wakijiona wanapoteza mtaji wa watu kwa watu kuwapuuza watajirekebisha.
2. Kwa upande wa wasanii, endelea kumpiga vijembe Magufuli kwa kuwaletea watu disko badala ya kunadi sera za kusaidia kuboresha maslahi ya wafanyakazi, kuondoa kitambulisho cha wamachinga, kuleta katiba mpya, etc.
Wasanii wana nguvu, kuna haja ya kutengeneza Meseji ya Kuponda performance za wasanii zilizopitiliza kwenye kampeni za Magufuli. Hapa meseji iwe ni kuwa uchaguzi huu ni uchaguzi wa masuala yanayogusa maisha ya wananchi, elimu yao, afya yao, ugali wao mezani, pensheni zao, siyo kuletewa watu wa kukatakata viuno majukwaani eti iwe ndiyo sera ya kuombea kura.
Wakumbushe wananchi kisa cha mwanamuziki mkubwa Bob Marley aliyekataa katakata kumuendorse mgombea yeyote wa siasa huko Jamaica miaka ya 70 kitendo kilichomjengea heshima zaidi kwa watu wa Jamaica, Sembuse hawa akina Diamond? - Ni nani kati ya hao kafikia star power ya Bob?
Elezea kwa wananchi jinsi Wasanii hawa wasivyo na maono ya kuwasaidia wao wenyewe au kuwasaidia wenzao, Eleza jinsi BASATA ilivyowatesa wasanii kwa kufungia kazi zao mbalimbali lakini leo wako busy kuitetea CCM.
Kuna haja kubwa ya kuwadiscredit hawa wasanii mbele ya umma, lengo la kuwadiscredit siyo kwamba wananchi wasiwapende la hasha, Lengo ni wananchi wasilink performance zao majukwaani na kumpigia kura Magufuli. Lengo hapa ni kudiscredit political undertone katika performance za hao wasanii majukwaani.
Naamini ikiandaliwa meseji nzuri ya kuwakaanga TBC na wasanii mbele ya wananchi mpaka wananchi wakawaona kuwa ni adui wa mabadiriko wanayoyataka, Wasanii wakishaanza kuona wananchi hawana time nao kwenye ushawishi wa kisiasa isipokuwa burudani tu, Tutakuwa tumemnyang'anya Magufuli kete mbili anazodhani zinamsaidia kisiasa!
Lissu piga spana kisawasawa hivi vitu viwili kwenye kila mkutano, Hii itasaidia sana wapiga kura kufuta ushawishi wowote waliokwishajengewa na hivi vitu viwili, lakini pia itaweka kigingi kusaidia vitu hivi visiwe effective katika siku zifuatazo za kampeni.
Wewe huoni Jiwe anatukana na kudhalilisha wanawake kila kukicha mbele ya Camera?TBC ina weledi wa hali ya juu ndiyo maana hairushi MATUSI NA MATUKANO ya Lissu! TBC inaangaliwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na watoto (unataka wajifunze matusi?) kutoka kwa Lissu"
I can't reach you ndio ana akili?Hawa Wahutu sasa baasiii...Lissu hana hizo akili unazompa. Yeye anachojua ni kubwabwaja tu jukwaani