Pre GE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Pre GE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unamtahadharisha Rais daa
Ila siasa za Afrika huwa mnaelewana sana
 
Eti wanasema Hastings kamuzu MBOWE president GWASI OMUYAYA, yaani rais wa milele ndiyo CHADEMA. Akifa yeye ndiyo na CDM itakufa.

😛
Hicho chama wakubwa wa chama wapo kimaslahi binafsi zaidi, siyo kwa ajili ya wananchi.

Ukiona misuguano huko ujuwe zinagombaniwa ruzuku tu.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Kiongozi wa Chama anasafiri kwenda Mbeya kuwatoa waliokamatwa. Anatumia nguvu zipi? kuwatoa. Hawezi kuwatoa akiwa sehemu nyingine? Safari bado ni ndefu sana.
 
Hawa wanaovaa uniform wana agenda ya kumharibia Samia image yake kimataifa,hii ni vita ndani ya CCM kwa kutumia Bavicha.
 
Kiongozi wa Chama anasafiri kwenda Mbeya kuwatoa waliokamatwa. Anatumia nguvu zipi? kuwatoa. Hawezi kuwatoa akiwa sehemu nyingine? Safari bado ni ndefu sana.
Wewe unaweza kuwatoa ukiwa hapo
 
IMG-20240811-WA0014.jpg
 

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limewakamata watu wote waliokuwa ofisi za CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu. John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda Joseph Mbilinyi (SUGU) pamoja na viongozi wa BAVICHA.


Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani

Viongozi hao wamekamatwa mda mfupi baada ya kumaliza kikao cha ndani kwenye ofisi hizo pamoja na viongozi waandamizi wa Bavicha na waandishi wa Habari wa Jambo TV Online waliokuwa wamepiga kambi kwenye ofisi hizo nao wamekamatwa


Lissu aliongea na vyombo vya habari leo ambapo alisema;

1. Kwa vile ofisi ya Kanda ya Nyasa zimetekwa nyara basi Leo atazigeuza ofisi hizo kuwa darasa ameliita ni darasa la kufundisha juu ya ukombozi ,yaani Teach in Resistance.

Pia soma: Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani

2. Kwa vile ofisi za Kanda ya Nyasa zimetekwa nyara Mh LISSU amesema atabaki hapo na ikibidi atalala hapo na amesema na yupo tayari kulala hapo na yeye amesema atakuwa Mwl wa kufundisha Hilo darasa la teach in Resistance. Ila kaomba iwepo namna ya kupasha joto mwili kwa sababu hali ya mbeya ni baridi,amewataka watu wakeshe pale.


3. Kwa vile ofisi za Kanda ya Nyasa zimetekwa nyara basi wataanzia safari Yao kuelekea Ruanda nzovwe kwenye ofisi hizo za Kanda ya Nyasa


4. Kwa vile ofisi za Kanda ya Nyasa zipo mateka amesema wananchi na vijana wasikubali kutishika na huyu mama ambaye hata hajachaguliwa na wananchi, amesema yeye atabaki ofisini hapo kufundisha darasa la teach in Resistance waje wankamatie pale.


Kuna mabango yamejaa kila sehem mara mpatanishi mara wa woteee hahahah mpaka msemeeee.....! Kumbe n kamupeni
 
Back
Top Bottom