Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Kifurukutu,kwani wamekuambia kama ombi lao maalumu walisha jibiwa(kukukumbisha TU waliomba hakikisho juu ya usalama wao)Igweeeeee
Itakumbukwa mwishoni mwa 2021 ndugu Lissu aliyeko huko Belgium na Lema aliyeko huko Canada waliutangazia umma wa watanzania na wafuasi wa CHADEMA kuwa watarudi nchini mwezi March au April kwa kigezo cha kufanya maandalizi
Leo ni May 1st, wananchi na wanachadema tunataka kujua ni nini kimewakuta hawa viongozi wetu mpaka sasa wameshindwa kurejea nchini ili waje kuunganisha nguvu kuipambania katiba mpya na Tanzania kwa ujumla?
NB
ukitukana nakutukana pia
Wewe mwana Sgang unaichukia chadema kiasi ya kuichafua Kwa uongo wako.Pia wanaogopa kuuwawa na Chadema, si mlisikia kauli ya Dk Slaa, Mbowe hataki mtu yeyote amzidi umaarufu
Lema alishawahi kusema wammemiss JK enzi za Magufuli. Hako kautaratibu ka kumiss wanaume amekaanzisha lema bwashee.Hivi unawezaje kumiss wanaume wenzio?
Lema mpaka anamaliza ubunge alikuwa amelipa crdb milioni 250 kati ya mill 600 alizokopa. Tuseme hata marupurupu yake yalipoingizwa tu kwenye akaunti yakamezwa na crdb. Kwake ilikuwa bora ajitundike lebo ya ukimbizi kuliko kuishi TZ. Asingetoboa.Bila mbowe chadema ni CHAUMA ....
Wanachama wengi wa chadema wandai haki ya kutoa maoni... Ila ukitoa maoni tofauti na wao... Wanaanza matusi na kukejeli...
Mtu kama Lema hana sababu ya msingi kukimbilia nje ya nchi... Hakuna mtu anashida na lema kiserikali labda kama kakimbia kwa sabbu zake binafs..
Lissu nae ni janja janja tu.... Ni mpenda fursa.. Ndio maana mpka leo bado yupo huko wakati mtesi wake hayupo duniani tena..
Umoja part ije tu.. Ichukue chama kikuu ya upinzani na wakikaza wanaweza kuchukua nchi japo itaiyajika mda wa kujipanga zaidi kwa maana CCM wananchi wengi hatuitaki. .
wao ni akina nani hasa?Ndugu Kifurukutu,kwani wamekuambia kama ombi lao maalumu walisha jibiwa(kukukumbisha TU waliomba hakikisho juu ya usalama wao)
Kwani unawajua walipo waliommiminia mvua ya masasi,au ndio weye🤔wao ni akina nani hasa?
awamu ya sita imejaa amani tele, kwa kigezo kipi na usalama upi wanaoutaka?
Igweeeeee
Itakumbukwa mwishoni mwa 2021 ndugu Lissu aliyeko huko Belgium na Lema aliyeko huko Canada waliutangazia umma wa watanzania na wafuasi wa CHADEMA kuwa watarudi nchini mwezi March au April kwa kigezo cha kufanya maandalizi
Leo ni May 1st, wananchi na wanachadema tunataka kujua ni nini kimewakuta hawa viongozi wetu mpaka sasa wameshindwa kurejea nchini ili waje kuunganisha nguvu kuipambania katiba mpya na Tanzania kwa ujumla?
NB
ukitukana nakutukana pia
Hiyo pia ni sawa, mama yake ni mwanamke na mke wa mtu, jitafutie size yakokwahiyo unashauri nimmiss mama yako sio
Unawadai?Igweeeeee
Itakumbukwa mwishoni mwa 2021 ndugu Lissu aliyeko huko Belgium na Lema aliyeko huko Canada waliutangazia umma wa watanzania na wafuasi wa CHADEMA kuwa watarudi nchini mwezi March au April kwa kigezo cha kufanya maandalizi
Leo ni May 1st, wananchi na wanachadema tunataka kujua ni nini kimewakuta hawa viongozi wetu mpaka sasa wameshindwa kurejea nchini ili waje kuunganisha nguvu kuipambania katiba mpya na Tanzania kwa ujumla?
NB
ukitukana nakutukana pia
Atakwambia amezaliwa Buguruni na wakati kwao ni IkungiWewe miaka imepita mbona haujaenda kuwaona wazazi wako kijijini kwao? Hao kama unawadai nenda mahakamani kafungue kesi ya madai.