Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe tolaaaaaaaaaaaa
Lissu angechukua fomu ya makam, wala hizi ngonjera tusingezisikia kabisa.Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe tolaaaaaaaaaaaa
Ilikuwa ngumu sana kuficha chuki yako dhidi ya Lissu wakati wote.Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe tolaaaaaaaaaaaa
Nakubaliana na wewe. Ila sidhani kama hali itarudi kama zamani baada ya uchaguzi. Kama Mbowe atashindwa, busara zinasema kuwa itakuwa vyema akichukua likizo na kuacha uongozi mpya utekeleze wajibu wake bila kuona kama anataka kuwaingilia.Mkuu jaribu muda kutumia hekima Mbowe na Lissu wote wamefanya Kazi kubwa hapo chadema.
Na hata baada ya uchaguzi wanaweza kuwa kitu kilekile so tutumie lugha nzuri
UKO SAHIHI..WHY? let me put it that way: chadema inatafutwa ifutwe na serikali/ccm as per magufuli and his successor, sasa wewe unaleta malumbano ya kuwagawa, mpasuke muwe kama CUF .....THAT IS MY CONCERN.Lissu angechukua fomu ya makam, wala hizi ngonjera tusingezisikia kabisa.
Wakina mbowe na matapeli wenzake ndani ya chadema walitaka kuget rid ya ile timu yote cream ya wakina Lema, Msigwa, na Heche wote wasipate uenyekiti wa Kanda. Hilo likafanikiwa. Mission ikawa tunamtoaje Lissu. Wakaona ingiza Wenje ambae muda wote ni "Yes Sir". Lissu nae akachapa "ambush" ya maana. Nakufuata hukohuko juu 😅😅😅Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe tolaaaaaaaaaaaa