much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Hata lisu naye Yuko madarakaniAtoke kwani aliingia?
Aliyepo madarakani ndio anapaswa kutoka naye ni Sultan Freeman Aikael Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata lisu naye Yuko madarakaniAtoke kwani aliingia?
Aliyepo madarakani ndio anapaswa kutoka naye ni Sultan Freeman Aikael Mbowe
Hawezi kuwaingilia maana watakuwa maadui. Sema chadema will be dead ...kama CUF, tlp, demokrasia makini etcNakubaliana na wewe. Ila sidhani kama hali itarudi kama zamani baada ya uchaguzi. Kama Mbowe atashindwa, busara zinasema kuwa itakuwa vyema akichukua likizo na kuacha uongozi mpya utekeleze wajibu wake bila kuona kama anataka kuwaingilia.
Amandla...
Sawa, ila si MwenyekitiHata lisu naye Yuko madarakani
Sawa lakini ni madarakani tayariSawa, ila si Mwenyekiti
Freeman museven aikaeli kim mbowe🤣🤣Atoke kwani aliingia?
Aliyepo madarakani ndio anapaswa kutoka naye ni Sultan Freeman Aikael Mbowe
Hii move CCM wameicalculate vizuri mno kwanza wamemback up Mbowe akishinda ni kibaraka na akishindwa watagawana Mbao.Hawezi kuwaingilia maana watakuwa maadui. Sema chadema will be dead ...kama CUF, tlp, demokrasia makini etc
Hadi sasa sioni hoja yenye uzito kwa wanaomshambulia Mbowe: mara Kaguta, mara Nkuruzinza, mara king'ang'anizi! Mwenye hoja, hebu alete tuone kama inasimama yenyewe!Atoke anayepanda au aliye juu?
Kwanza kwa misukosuko aliyopata ni kweli ni muda muafaka kwake kupumzisha mwili, kuwa karibu na familia & matibabu. Haya mambo ya majukwaani awaachie kina Pambalu na kina Twaha bado wana nguvu & vijana.Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka
Haahaa atoke kwenye nn mkuu? HuelewekiNyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka
..weka kwanza sera za mbowe hapa Ili tuelewe, maana sioni sera zake zaidi ya kutaka kustaafu akiwa na 68Hadi sasa sioni hoja yenye uzito Kwa wanaomshambulia Mbowe: mara Kaguta, mara Nkuruzinza, mara king'ang'anizi! Mwenye hoja, hebu alete tuone kama inasimama yenyewe!
Madaraka yepi? Kwa muda ganiHata lisu naye Yuko madarakani
Freeman Al AssadAtoke kwani aliingia?
Aliyepo madarakani ndio anapaswa kutoka naye ni Sultan Freeman Aikael Mbowe
Hamna hoja yeyote walionayo.Ni kufuata mkumbo.Mbowe ana haki kikatiba kugombea.Wao wanachotaka ni Lisu aachiwe Uenyekiti kama his birth right.Hadi sasa sioni hoja yenye uzito Kwa wanaomshambulia Mbowe: mara Kaguta, mara Nkuruzinza, mara king'ang'anizi! Mwenye hoja, hebu alete tuone kama inasimama yenyewe!
Sasa kama hujui Lisu anamadaraka yepi sijui ntakusaidiaje?Madaraka yepi? Kwa muda gani
CDM itakuwa ICU, haitakufa. Mbowe ataendelea kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na bila shaka kuna watu watamwambia aache bygones be bygones na aendelee kuchangia CDM kwa mawazo na resources. Asiingie kwenye huo mtego.Hawezi kuwaingilia maana watakuwa maadui. Sema chadema will be dead ...kama CUF, tlp, demokrasia makini etc
Kweli kabisaHata lisu naye Yuko madarakani
Hawezi kufanya hivyo. Ili iweje? Atakuwa cc lakini dormant member ... Atapata.muda wa kufanya biashara zakeCDM itakuwa ICU, haitakufa. Mbowe ataendelea kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na bila shaka kuna watu watamwambia aache bygones be bygones na aendelee kuchangia CDM kwa mawazo na resources. Asiingie kwenye huo mtego.
Amandla...
Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka
🤣🤣🤣🤣Freeman Al Assad