Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu angechukua fomu ya makam, wala hizi ngonjera tusingezisikia kabisa.
Atoke kwenye uongozi kabisa, 20nyrs inatosha. Nguruwe nalisha CubaSi ndio katoka kwenye Umakamu sasa?
Bwashee ulisoma Shule kweli au uliishia kulisha nguruwe hapo Machame? 😂😂😂
Kuna watu ambao wanajua umuhimu wake kwa CDM lazima watamsihi asikae pembeni. Kwangu mimi huu uchaguzi ni win win kwa Mbowe. Akishinda ataonyesha kuwa bado anakubalika na atapata fursa ya kukisuka upya chama chake kabla ya kuondoka kwa term zake. Akishindwa, atadhihirisha ukomavu wake na wa chama chake kwa kukubali matokeo na kupisha uongozi mpya.Hawezi kufanya hivyo. Ili iweje? Atakuwa cc lakini dormant member ... Atapata.muda wa kufanya biashara zake
Lissu Hana political adviser na Kama anao wengi watakuwa mamluki.Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka
Lisu ni mwanaseheria mzuri asiyefuata sheria za chama chake,mambo yote analeta hadharani.Hapa ndipo penye shida tu.Hiki ndicho kinatisha watu wengi kama hajajua
Lissu Hana political adviser na Kama anao wengi watakuwa mamluki.
Uchaguzi wa 2020 alitakiwa kupata average ya Kura 60000 kwa kila Jimbo probably Uchaguzi ujao atahitaji anagalu wastani wa Kura 65000 kwa kila Jimbo kushinda urais.
Badala ya kupambana kuongeza kura anapambana kusambaratisha wanachama wenzake hivi Mbowe au Wenje wakigombea ataenda kuwanadi vipi huko Rorya au Mwanza na Hai wakati anwatuhumu kuchukua pesa za Mama Abdul ?
Kuna kila dalili Lissu amepoteza mwelekeo kisiasa na ameamua kufa na wenzake au urafiki wake na Msigwa umempumbaza.
CUF kilikufa tangu 2010 huyo Lipumba na Seif 2015 lilikuwa suala la muda tu.
ila wapambe wakukodisha wa CCM mumekauka kibush .....anyway Lets wait & seeNyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka
Mbowe kaanzia Uenyekiti wa Bavicha 1993 hadi Leo ana Mbunge mmoja tu kama bamia 😂😂😂😂Atoke kwenye uongozi kabisa, 20nyrs inatosha. Nguruwe nalisha Cuba
Lissu ni kijana mdogo sio sawa na Mbowe!Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka
Lete kwanza hoja (justification) ya Mbowe kutogombea...weka kwanza sera za mbowe hapa Ili tuelewe, maana sioni sera zake zaidi ya kutaka kustaafu akiwa na 68
Wewe chawa group gani, la Ntobi au lipi,?Nyani haoni..
.
Na wewe inatosha toka waingie wengine.
Isiwe kwa mwenyekiti tu hata kuwa kwenye Kamati hizi, 5 yrs inatosha.
Na wewe toka