Usituchanyie mafaili hapo."LISSU: Tuombe Mungu atupe uzima tujue miaka inayokuja itatuweka vipi lakini nachoweza kusema waziwazi ni kwamba harakati ni maisha yangu."
Hii ina maana ni kusema ni mwanaharakati na siyo mwanasiasa?
Mungu wangu[emoji85], naomba Mungu akusaidie ili uone hawa wazungu walichokifanya na wanachokifanya hapa Africa ili upate kufunuliwa na kuelewa kuwa hao wazungu ni majasusi wakubwa na sio watu wazuri. Nenda ukapitie historia tena.
Jamani, mzungu hafanyi kazi ya bure bila kunufaika, naomba muelewe hilo.
Wazungu wana matatizo chungu nzima huko nchini mwao , kwann wasiyatatue matatizo yao kwanza badala yake wakuletee ww misaada!!?? Pia hawa si baba, mama au wajomba zetu watupe vitu vya bure. Jamani, mzungu hafanyi kazi ya bure bila kunufaika.
Naomba upitie utafiti wako kwa kina kisha uufanyie tathmini. Ukimaliza naomba unijibu mmiliki wa migodi ya South Africa ni muafrika au mzungu!?
..uliniuliza kama Wazungu wamewahi kusaidia nchi za Kiafrika kutatua matatizo ya ndani.
..Jibu langu ni kwamba zipo nchi za Ulaya zilitoa misaada ya kibinadamu kwa vyama vya ukombozi vya kusini mwa Afrika.
..Zipo nchi za Ulaya na Marekani, hao unaowaita Wazungu, ambazo ziliweka mashinikizo ya kidiplomasia kama sehemu ya harakati za ukombozi wa Afrika.
..Pia siyo kweli kwamba ili nchi moja iisaidie nchi nyingine ni lazima nchi hiyo iwe imemaliza matatizo yote ya wananchi wake. Tulipokuwa tukisaidia harakati za ukombozi, je tulikuwa hatuna changamoto mbalimbali nchini kwetu?
..Mwisho, Wazungu wanaonyonya rasilimali za Afrika hufanya hivyo kwa kushirikiana na viongozi Madikteta na Mafisadi wa Kiafrika. Katika nchi ambayo kuna demokrasia, kuna uwazi, na utawala bora, Wazungu hawawezi kuingia na kuiba kama inavyofanyika ktk nchi zinazoongozwa na Madikteta waliowafunga midomo wananchi wao.
Hii ni awamu ya tano sio ya sitaHili halijakaaa vizuri inabidi mamlaka lizitolee ufafanuzi watu waelewe, wakikaa kimya itachafua taswira ya nchi hatujafikia hatua ya kuanza kuzalisha wakimbizi wa kisiasa!
Chochonde tusianze awamu hii ya 6 vibaya kwa kuchafua diplomasia yetu.
Wewe utafanyaje?Utamwua?Mwizi akija nyumbani kwako akataka au akahatarisha usalama wa maisha yako na watu wengine utamuangalia tu na kumchekea??
Kwenye hicho kipengele cha mwisho ninafurahi kuona una ule uelewa kuwa uongozi mbovu hupelekea wakoloni kuiba madini yetu. Sasa huoni Rais mteule amepigania unyonyaji wa rasilimali zetu??..uliniuliza kama Wazungu wamewahi kusaidia nchi za Kiafrika kutatua matatizo ya ndani.
..Jibu langu ni kwamba zipo nchi za Ulaya zilitoa misaada ya kibinadamu kwa vyama vya ukombozi vya kusini mwa Afrika.
..Zipo nchi za Ulaya na Marekani, hao unaowaita Wazungu, ambazo ziliweka mashinikizo ya kidiplomasia kama sehemu ya harakati za ukombozi wa Afrika.
..Pia siyo kweli kwamba ili nchi moja iisaidie nchi nyingine ni lazima nchi hiyo iwe imemaliza matatizo yote ya wananchi wake. Tulipokuwa tukisaidia harakati za ukombozi, je tulikuwa hatuna changamoto mbalimbali nchini kwetu?
..Mwisho, Wazungu wanaonyonya rasilimali za Afrika hufanya hivyo kwa kushirikiana na viongozi Madikteta na Mafisadi wa Kiafrika. Katika nchi ambayo kuna demokrasia, kuna uwazi, na utawala bora, Wazungu hawawezi kuingia na kuiba kama inavyofanyika ktk nchi zinazoongozwa na Madikteta waliowafunga midomo wananchi wao.
Ukisema JPM ni ditekta, vipi zile nchi zinazotawaliwa na wafalme na malkia?? Je watawala wa kifalme pia ni maditekta au sio madikteta?? Nasubiri jibu lako tafadhari
Basi nikupe mfano wa utawala wa UK..Unapozungumzia Ufalme unatakiwa ubainishe ni Ufalme wa aina gani.
..Na unapozungumzia demokrasia na uchaguzi unatakiwa ueleze wananchi wana uhuru na haki kiasi gani ktk nchi husika.
Kwenye hicho kipengere cha mwisho ninafurahi kuona una ule uelewa kuwa uongozi m bovu hupelekea wakoloni kuiba madini yetu. Sasa huoni raisi mteule amepigania unyonyaji wa rasilimali zetu??
Jibu kwanza nilichokuuliza, ukimaliza kunijibu ndio uniulize swali unalotaka kuniuliza.Wewe utafanyaje?Utamwua?
Halafu usifananishe nchi ya watanzania wote na familia yako,shwain kabisa!
Eti mtu akiandamana basi ni kuua!Washenzi wakubwa!
Basi nikupe mfano wa utawala wa UK
Mpumbavu huamini kila kitu,watu mnalipuka kwa habari za kupikwa. Hivi serikali ya Magufuli ilivyo busy hivi inaweza kujihangaisha na huyo Mbeligiji kweli?.Chadema kuna genge la maharamia kwelikweli ndio hao wanao mtaishia Mbeligiji. Genge lilelile lililomtoa chacha wangwe bado linarandaranda Ufipa kuona nani anataka kumchallenge mwenyekiti mpendwa.Nchi imekuwa ya hovyo kabisa hii!!
Mimi siwezi kuua,sijawahi na haitakuja kutokea nifanye hivyo! Hata nikikuta watu wanapiga mwizi,siwezi kushiriki dhakbi hiyo!Sana sana nitamsaidia kwa kutoa taarifa sehemu husika ili wawahi kabla hajafa!Jibu kwanza nilichokuuliza, ukimaliza kunijibu ndio uniulize swali unalotaka kuniuliza.
..hajapigania bali amefanya maigizo.
..kwa mfano, ripoti zilisema Barrick wameiba usd 191 billion, halafu bwana mkubwa amekubali tulipwe usd 300 million.
..hiyo ni sawa na udai usd 600+ halafu ukubali kulipwa usd 1, tena kidogo kidogo. mimi naona hapo kuna UFISADI.
..pia ametumia matrilioni ya shilingi kununua midege toka kwa haohao Wazungu tunaosema ni watu wabaya. Kwanini hakuwekeza nchi hizo kwenye miradi inayochochea ajira hapa nchini? Ukiona kiongozi ananunua madubwasha yasiyokuwa na ulazima, au yasiyo kipaumbele, ujue hapo kuna ufisadi
Mimi siwezi kuua,sijawahi na haitakuja kutokea nifanye hivyo!
Hata nikikuta watu wanapiga mwizi,siwezi kushiriki dhakbi hiyo!Sana sana nitamsaidia kwa kutoa taarifa sehemu husika ili wawahi kabla hajafa!
Uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu,mimi ni nani mpaka nijione nina haki ya kuondoa uhai wa mtu!
Siwezi kushiriki dhambi ya kuua!
Mm na ww hatuna mamlaka ya kuua. Basi tuziachie mamlaka husika zihusike kwa wale wanaohatarisha maisha ya watu wengine.Mimi siwezi kuua,sijawahi na haitakuja kutokea nifanye hivyo!
Hata nikikuta watu wanapiga mwizi,siwezi kushiriki dhakbi hiyo!Sana sana nitamsaidia kwa kutoa taarifa sehemu husika ili wawahi kabla hajafa!
Uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu,mimi ni nani mpaka nijione nina haki ya kuondoa uhai wa mtu!
Siwezi kushiriki dhambi ya kuua!
Wewe ndio hujui kuwa Julian Assange yuko gerezani nchini Uingereza karibia mwaka mzima sasa.Hawawezi,inavyoonyesha hata Sheria za kimataifa huzijui
Jaribu Ku save muda wako usijibu kitu usichokijua .
Kuna jamaa,mmiliki wa tovuti ya Wikileaks anaishi ubalozi wa Ecuador nchi Uingereza miaka mingi sasa, serikali ya Marekani wanashindwa kumtoa huko
Wamarekani wanamtaka akajibu mashtaka MarekaniView attachment 1621398