Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

Nchi imekuwa ya hovyo kabisa hii!!
Ondoka utuachie nchi hovyo wewe uende huko kuzuri. Mtu halazimishwi kuishi mahali, ndiyo maana kuna international immigration. tutafutane nikuelekeze namna ya kupata legal immigration kwenda popote unapotaka, hata ukitaka Burundi au DRC utakwenda! Hata kwa Kagame napo inwezakana. Kama unatamani Juba, njia ipo.
 
Hao walompigia sim kama sio watu wake aweke mawasliano hapa. Hakuna anayetaka kumuua aache kujitisha

Ila kama anapenda kuishi ubalozini vile
Mwanzoni mliongea hup upumbavu lakini mwishowe ukaenda Dodoma na Bashite na akina cyprian Musiba mkaenda kumpiga risasi na sasa katoa tahadhari lazima watu wawe makini na yeye binafsi ajihami
 
Wewe ni mnufaika wa bajeti kubwa ya blackmail uonevu unyanyasaji uovu mateso kwa wapinzani
 
Sawa, hata kama serikali ya sasa hivi haitoi uhuru huo uliosema, je ni busara kwenda kusemea nchi za nje kuhusu mapungufu ya nchi yako??

Unategemea hao wazungu watamsaidia Lissu kutatua hayo mapungufu ya serikali ya Tanzania bila malipo yoyote??
Mkoloni kaburu mweusi hatou uhuru wa kuongea ukiwa Tanzania lakini wapinzani wakaongee popote Duniani
 
Alikuwa na Tiketi ya kurudi tayari kwahiyo hakuna jipya hapo ni kick kwa Pikipiki
Huu upumbavu ndiyo umeikosesha CCM kura mpaka NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm wakaamua kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani maana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM kutokana na kusheheni watu wapumbavu kama wewe
 
Busy ipi hiyo? Kuwabambikia kesi wapinzani ni kuwa busy? Uharamia unao wewe shetani unayepanga kumuua Lisu akafu kwa ufala wako unataka akae kimya kwa vigezo vyako vya kishamba na kipumbavu,
 
CCM ndiyo yenye lengo la kuanzisha vurugu kwa kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani, hakuna kilichobuma kwa Lisu kwa maandamano yalikuwa tarehe 2 lakini nyinyi wapumbavu tarehe 1 mkawakamata viongozi wa ACT na chadema siku moja kabla
 
Hivi wewe una uhakika gani huyo Lisu anayoyasema ni ya ukweli au ni firigisu ili kuleta mkangany’iko kwenye jamii yetu??
Mara ya kwanza aliposema anataka kushambuliwa mlikuja na maneno ya kibwege kama haya matokeo yake akina cyprian Musiba wakatekeleza shambulio
 
Tanzania hakuna Amani bali kuna uvumilivu tu, Tanzania ni kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani, mara ya kwanza alitoa tahadhari kama hizo wapenda ushetani mkaja na maneno ya kipumbavu kama haya matokeo yake cyprian Musiba na wenzake wakamshambulia kwa risasi, sasa kaja na tuhuma kama za awali mnakuja na maneno yale yale ya kubeza kienyeji kipumbavu wakati kuna Hatari mbele, acheni ushetani wenu huko Belgium bila wewe kumpiga risasi angefikaje?
 
Lisu katoa tahadhari ile ile kama aliyoitoa awali kabla ya shambulio la kwanza kule Dodoma, Wenye Akili timamu watamwelewa vizuri lakini wenye ushetani mwingi watakuja na maneno ya kipumbavu zaidi na kutomuogopa mungu
 
Lisu anakimbia kivuli chake, dhamiri yake ndio inamsuta kwa maneno na matendo yake juu ya nchi yake.
 
Wenye 'Maono' yetu 'makubwa' tena 'yaliyobarikiwa' kabisa 'tulionya' hapa hapa JF kuwa TL asirejee 'Mkatudharau' na 'Kutupuuza' acha yamtokee.

Yes, kwa sababu anayemtafuta sio ccm wala serikali

He is out there for other reasons
 
Nchi imekuwa ya hovyo kabisa hii!!
Ninyi ndiyo mmemkosesha ndugu Lissu kuaminika mbali na mwendenendo wake juu nia yake isiyo eleweka kuhusu kuendelea kuwepo kwa nchi yetu Tanzania.Maana amewahi kunukuliwa akisema jambo la ovyo na la kushangaza juu ya kuendelea kuwepo nchi ya Tanzania hapa Duniani
 
Alipigwa risasi na mpka leo hakuna aliyekamatwa lissu ana haki ya kuogopa kila kitisho juu ya maisha yake yeyote anayekebehi hili ndo nyie mshazoea kumwaga damu...
 
Hivi mtu mwenye njia ya kukudhuru anakuambia kabisa jiandae nakuja kukumaliza/kukudhuru kama unaweza jiokoe

Acheni usanii

Sehemu ya genge ambao hawakukubaliana na hicho kitendo ndoa walitoa taarifa kama wasamalia wema tu
 
Ili iwe fundushisho kwa wavurugaji wote wa nyakati za sasa na zijao, moja: wahakikishe nchini hachomoki, mbili: anashitakiwa na kutiwa hatiani, na tatu: hukumu atakayopata iwe ni ya kifungo cha jela tena cha muda mrefu miaka 30.
Ungezijua sheria za kimataifa ,MTU akishakimbilia ubalozi wowote tayari yuko chini ya taifa lingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…