Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

Bora misisiemu,mbowe ataiba sana wakishika madaraka,pia sionii safu ya kutuvusha upande wa ✌️wengi matapeli Sanaa. TL hawezi simama yeye kama yeye nchi ikaenda! Fikilia Mbowe ndo PM wizi mtupuuu.

Pana mambo umeandika hapa ukiambiwa uthibitisho utakuwa huna.

Kusema ukweli sasahivi Tz inauhaba wa viongozi makini na wenye Nia njema na Taifa,wengi wahuni na wezi.Kimsingi Kila mtu apambane na maisha yake binafsi..........kikubwa nchi Ina Amani.

IMG_20231219_132037.jpg


Habari ndiyo hiyo.
 
Chadema ni mbumbumbu


Lizu akaongoze wavaa pampas wenzake


Malofa nyie
Malofa yanaongozwa na samia ukiwemo wewe bwabwa linalotegemea buku saba kwa kila thread, kwa taarifa 2025 mabwabwa kama wewe mtafute kaz za kufanya tofauti na hapo mtaendelea kukalia mishedede hapo kwenye makorido ya lumumba mpaka muwe sugu wajinga nyinyi.
 
Sikutaka kuchangia chochote lkn imenibidi niseme tu kwamba wewe una roho ya kishenzi na kichawi kabisa Tena kichwa chako kimejaa makamasi ovaaaa
 
Nimeanza nae tangu jana, akaja na hoja yake kuhusu imani na misimamo, akidai kina Lissu wanatakiwa kuwafunda wanachama, nenda katazame ule uzi wake utaelewa nachozungumzia.

Kuna vitu vingi vya msingi aliviacha pale, lakini kila nikijaribu kumuelewesha jamaa yako ni dikteta much know asiyetaka kuelewa chochote, bahati nzuri akaja Nowonmai kuongezea pale alipopungukiwa.

Ukitoka huko njoo hapa, nenda pale anapolazimisha kudai kauli ya Lissu ni kauli ya chama, comment #31, nikamjibu pale juu kwa kumuelekeza alivyopotoka..

Jamaa yako ukimbana kwenye hoja ukaenda kinyume na kile anachoamini yeye, anachofanya ni kukufukuza chamani na kukuita majina ya ajabu, hajioni alivyo dikteta, nashangaa hata nawe unaponiuliza tatizo lake kama vile huoni makosa yake mengi yaliyojaa humu!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Nowonmai, Economist, Alen Kilewela, PakiJinja, Proved, imhotep, na wale wengine hivi ndivyo pimbi alivyoendelea kulelewa kama hatuna akili nzuri.
 
Back
Top Bottom