Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
 

Attachments

  • -1241532437.mp4
    8.4 MB
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.



LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CDM tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kw ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CDM tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .



Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
😂😂😂 Hata sijasoma
 
Shida ninini??? Tundu lissu ndiye mpinzani wa kweli! Nyie machawa wa mbowe naona mnaanza kuleta chokochoko ni wakati sasa tundu lissu kuwa mwenyekiti wa chama tupate upinzani wa kweli! Mbowe toka nasoma primary school yeye ni mwenyekiti wa chama! Nimesoma mpaka chuokikuu mpaka nimeajiriwa na nimeoa sasa ni watoto wawili bado mbowe ni mwenyekiti! Hapana imetosha sasa! Huko juu kuna nini hataki kuachia wengine??? Tundu lissu wengi tupo upande wake maana yeye amejitanabisha kama mpinzani wa kweli kwa maneno na kwa vitendo
 
Shida ninini??? Tundu lissu ndiye mpinzani wa kweli! Nyie machawa wa mbowe naona mnaanza kuleta chokochoko ni wakati sasa tundu lissu kuwa mwenyekiti wa chama tupate upinzani wa kweli! Mbowe toka nasoma primary school yeye ni mwenyekiti wa chama! Nimesoma mpaka chuokikuu mpaka nimeajiriwa na nimeoa sasa ni watoto wawili bado mbowe ni mwenyekiti! Hapana imetosha sasa! Huko juu kuna nini hataki kuachia wengine??? Tundu lissu wengi tupo upande wake maana yeye amejitanabisha kama mpinzani wa kweli kwa maneno na kwa vitendo
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa Mbowe kaka sana kwenye hiyo nafasi lkn pia jiulize ni mangapi kayafanyia CDM ?
 
Nasema katika lugha ya Mungu sisemi kana kwamba nasema Kwa habari ya lugha ya wanadamu kama wasemavyo .Tundu lisu na mbowe wanajuana , na chama kinaenda kuwa strong Sana. Shida ni ccm wamepata mtu atakayewasumbua Sana .
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.



LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CDM tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kw ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CDM tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .



Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Kwa nn unaamin Hana haki ya kugombea?
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.



LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CDM tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kw ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CDM tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .



Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
We unawashwa nini sasa
 
Back
Top Bottom