Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Naombea John Heche naye awe mmoja wa wanaogombea hiyo nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA.

Analeta matumaini matumaini makubwa sana katika siasa za upinzani Tanzania.
Angekuwa mh Heche wal anisingekuwa na hofu kabisa
 
Kama ameamua kuleta challenge aka chemsha bongo Kwa dhamira ya dhati hakuna shida ni sehemu ya maisha.

Kama anaagenda ya kwenda CCM pia hamna shida ni uamuzi wake na hatma yake, wapo wengi waliokwenda CCM akiwemo Dr Slaa, Dr Warid Aman Kabourou nk.

Upinzani dhidi ya CCM inaendelea hata bila vyama vya upinzani.
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Chawa wa Mbowe leo mtalala na viatu kudadeki.
 
Shida ninini??? Tundu lissu ndiye mpinzani wa kweli! Nyie machawa wa mbowe naona mnaanza kuleta chokochoko ni wakati sasa tundu lissu kuwa mwenyekiti wa chama tupate upinzani wa kweli! Mbowe toka nasoma primary school yeye ni mwenyekiti wa chama! Nimesoma mpaka chuokikuu mpaka nimeajiriwa na nimeoa sasa ni watoto wawili bado mbowe ni mwenyekiti! Hapana imetosha sasa! Huko juu kuna nini hataki kuachia wengine??? Tundu lissu wengi tupo upande wake maana yeye amejitanabisha kama mpinzani wa kweli kwa maneno na kwa vitendo
Mkuu una miaka mingapi? 😀
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Kunguni wa Mwenyekiti washaingia kazini.

Nyinyi CDM Hamuwezi pewa hii nchi ***** mnaudikteta sugu.
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa Mbowe kaka sana kwenye hiyo nafasi lkn pia jiulize ni mangapi kayafanyia CDM ?
Kwamba asipishe mwingine sababu ya aliyoyafanya? Wengine si watafanya pia? Au hawawezi ni Mbowe tu ndo anayeweza kukitumikia chama kama mwenyekiti?
 
Mnakula nyie na kundi lenu Kila mwezi desemba mnaenda Moshi nyumbani kwa mwenyekiti mnachoma nyama bia na konyagi kwa ruzuku ya Chama.sasa basi mbowe amefika mwisho aondoke.
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Msije mkatuulia Tundu Lissu wetu.
 
Hizo ni hisia zako! Lissu angetaka kuhamia CCM angekuwa ameshafanya hivyo!
Lissu ametangaza nia ya kugombea Uenyekiti.
Ila wale waliokuwa wananufaika na Mbowe kuwa Mwenyekiti ndiyo wanaopata taabu.
Wanachadema mkubali mabadiliko kwa maslahi mapana ya Chama chenu.
 
Back
Top Bottom