Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Mbona fresh tu hata akienda ccm, and then akagombee jimbo lolote kwa tiketi ya ccm halafu mama ana m pick kuwa waziri kwenye serikali yake wajenge nchi. CHADEMA haitatereka akiondoka
 
Mtu yeyote atakayetaka kuipasua CDM atapasuka yeye, na yeyote anayetaka kuiua CDM atakufa yeye!
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Sasa lile basi alilozawadiwa ubelgiji ndio itakuweje tena?😁
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Lissu akienda CCM me naacha kufatilia siasa ya Tanzania
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Kwani wee chadema nimamaako?
 
..Mbowe amekitoa chama mbali.

..lakini huenda naye amechoka na hizi harakati.

..umri na uchovu ndio sababu zinazonifanya niamini ni vizuri Chadema wakapata Mwenyekiti mpya.
Tatizo Lissu hana utulivu.
 
Shida ninini??? Tundu lissu ndiye mpinzani wa kweli! Nyie machawa wa mbowe naona mnaanza kuleta chokochoko ni wakati sasa tundu lissu kuwa mwenyekiti wa chama tupate upinzani wa kweli! Mbowe toka nasoma primary school yeye ni mwenyekiti wa chama! Nimesoma mpaka chuokikuu mpaka nimeajiriwa na nimeoa sasa ni watoto wawili bado mbowe ni mwenyekiti! Hapana imetosha sasa! Huko juu kuna nini hataki kuachia wengine??? Tundu lissu wengi tupo upande wake maana yeye amejitanabisha kama mpinzani wa kweli kwa maneno na kwa vitendo
M.kiti sioni akituvusha salama enzi hizi za chafuzi,tupate nguvu mpya,ni bora hata kujaribukuliko uhuni unaokosa dawa.
 
Muda ukifika ataenda anakotaka wacha apambane afikie anapotaka, slaa, lowasa, sumaye walirudi huko.

Wamefanya miujiza gani?

CDM still inataka mtu ambaye sio mkurupukaji na huku nje kuna kelele nyingi lkn ndani ya chama yote yanajulikana.

Huku nje utasikia nyimbo nyingi ila mwisho wa siku wenyewe wanatulia kulingana na mambo yanavyoenda.
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Tuna akili sana kuliko wewe na huna haja ya kitufundisha chochote kuhusu Tundu Lissu maana tunamjua na kumwelewa vizuri kuliko mnavyomwelewa Chawa....

Kutaka kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, nafasi iliyoko kikatiba na muda wa uchaguzi ukiwa umefika ndiyo na yeye kujiona anafaa kujaza nafasi iweje awe kirusi..?

Siri gani hizo za chama anazozitoa?

Hivi imekuaje wana CHADEMA wa siku hizi kama wewe Mmawia mnakuwa kama ma CCM kwa kutaka na kupenda kufanyia mambo yenu gizani..?

Chama kinatuhumiwa kwa baadhi ya viongozi wake kupokea rushwa za ma CCM Ili wapate uongozi, hili lisisemwe hadharani? Siri gani hapo..?

Baadhi ya viongozi wanatuhumiwa kutumia madaraka yao vibaya kwa kutumia rasrimali fedha na mali kibinafsi, hiyo ni siri isisemwe hadharani..?

Yaani nyie mnaolea ujinga na uchafu kama huu ndio hasa virusi mnaopaswa kuondolewa chamani maana hamfai...!!
 
Wewe unawashwa sana ee,,kaa kimyaaa dawa ikuingie wewe ni sumu ndani ya chama
 
Tuna akili sana kuliko wewe na huna haja ya kitufundisha chochote kuhusu Tundu Lissu maana tunamjua na kumwekewa vizuri...

Kutaka kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, nafasi iliyoko kikatiba na muda wa uchaguzi ukiwa umefika ndiyo na yeye kujiona anafaa kujaza nafasi iweje awe kirusi..?

Siri gani hizo za chama anazozitoa?

Hivi imekuaje wana CHADEMA wa siku hizi kama wewe Mmawia mnakuwa kama ma CCM kwa kutaka na kupenda kufanyia mambo yenu gizani..?

Chama kinatuhumiwa kwa baadhi ya viongozi wake kupokea rushwa za ma CCM Ili wapate uongozi, hili lisisemwe hadharani? Siri gani hapo..?

Baadhi ya viongozi wanatuhumiwa kutumia madaraka yao vibaya kwa kutumia rasrimali fedha na mali kibinafsi, hiyo ni siri isisemwe hadharani..?

Yaani nyie mnaolea ujinga na uchafu kama huu ndio hasa virusi mnaopaswa kuondolewa chamani maana hamfai...!!
Shida nyingine ya M.kiti naona vipo vifungo huenda vinamfunga mikono katika kinachoitwa maridhiano ambayo siamini kama yalikuwa shirikishikiasi gani kwa chama na wanachama.Hivyo kupokezana kijiti kitavunja kifungo alichofungwa hata kuwa na upole usio wa kawaida.
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Hapana mmawia ,mbona una hofu ambayo haina sababu??
 
Jana Mbowe alisema msiwe na haraka kuna mambo yanapikwa,maoni yangu ni kwamba Lisu ana baraka za Mbowe kwenye kugombea Uwenyekiti na Mbowe hatagombea tena
 
Back
Top Bottom