Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Lissu hawezi kuwa chawa wa CCM na nakuhakikishia kuwa endepo Chadema itapata mwenyekiti mpya aisha Lissu ama Heche basi watapata uungwaji mkubwa wa mkono kutokana na mazingira yaliyopo kisiasa ndani ya nchi kwa sasa. Hivi nyie team Mbowe mbona hamtaki kukubali kuwa kunahitajika nguvu mpya? Kama mnanufaika na mfumo ulipo sasa basi jiandaeni kubadilika. Mbowe astaafu abaki kama kiongozi mashuhuri ndani ya chama. Hayo mengine mnajiliza tu kwa sasa.
 
Kwa maslahi ya demokrasia ndani ya chama na taifa kwa ujumla ni vyema mbowe akapumzika kwa heshima! Unaanzaje kulilia demokrasia upewe na CCM wakati wewe mwenyewe una miaka 20+ kwenye cheo kimoja na hatutaki kutoka??
Ukweli wa mungu mbowe inatosha, hayo mengine tutajua mbele ya safari
 
Mkuu tujipe muda kuna siku utayakumbukq maneno yangu haya
Hakuna shida hata akienda kesho. Sumaye na Lowassa walitoka CCM kwenda Chadema na wakarejea CCM.

Binafsi sioni shida kwa yeyote kuamua kubadili chama. Suala je imani yake itabdilika kwendana na matendo ya huko?
 
Kwahiyo tutegemee nini, endapo mhe, suli hatapata ushindi wa nafasi aliyoitaja .
kwasababu unaonekana uhitaji sio dukuduku shitukizi .
Nawaza itakuaje.
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Acha uchawa, kusema ukweli kwako ndo kutoa siri
 
Nafasi ya uenyekiti taifa ni kuramba sumu.
Ni Mbowe tu.

Chama cha demokrasia na maendeleo.
Ikiwa hivyo endapo ndani ya chama hakuna wengine wenye vision na chama.
Kwa sababu vision hutofatiana.
Mwingine anaweza kuona kuchelewa kufikisha chama mahala pale.
Mwingine akaona haraka haraka haina Baraka.
Kwa sababu watu Wana vision tofauti ndiyo maana ilipatikana dhana ya demokrasia.
Waswahili husema Ibada Njema inaanzia Nyumbani.
Mimi Nasema, kama Huwezi kutembea pia Huwezi kukimbia.
 
Siyo kila anaetaka nafasi ya uenyekiti CDM akawa mbaya au msaliti
 
Tuna akili sana kuliko wewe na huna haja ya kitufundisha chochote kuhusu Tundu Lissu maana tunamjua na kumwekewa vizuri...

Kutaka kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, nafasi iliyoko kikatiba na muda wa uchaguzi ukiwa umefika ndiyo na yeye kujiona anafaa kujaza nafasi iweje awe kirusi..?

Siri gani hizo za chama anazozitoa?

Hivi imekuaje wana CHADEMA wa siku hizi kama wewe Mmawia mnakuwa kama ma CCM kwa kutaka na kupenda kufanyia mambo yenu gizani..?

Chama kinatuhumiwa kwa baadhi ya viongozi wake kupokea rushwa za ma CCM Ili wapate uongozi, hili lisisemwe hadharani? Siri gani hapo..?

Baadhi ya viongozi wanatuhumiwa kutumia madaraka yao vibaya kwa kutumia rasrimali fedha na mali kibinafsi, hiyo ni siri isisemwe hadharani..?

Yaani nyie mnaolea ujinga na uchafu kama huu ndio hasa virusi mnaopaswa kuondolewa chamani maana hamfai...!!
Na mazwazwa sampuli ya mmawia yamejazana mengi Sana pale CHADEMA
 
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Yaani, mtu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti tayari anageuka na kuwa kirusi?!!!
 
Lissu aliyepewa nafasi ya kugombea Urais kupitia Chadema leo anaonekana kirusi kwasababu wanajua akiwa forward ni hatari sana kwao, kuanzia machawa wa ndani ya CDM, na nje ya chama.
 
Huenda ametumwa na mwenyekiti afanye hivyo.

Inawezekana mwenyekiti hagombei tena anataka atulie alee wajukuu na kuumaliza uzee vema
Itakuwa vizuri zaidi
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.

LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.

Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.

Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.

Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .

Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .

Unaumia ukiwa wapi kijana? Hizi ni zama mpya acha kukariri mabadiliko ni inevitable hayapogwi ngumi! Tulimiss siasa za amshaamsha watu tuamke sasa! Nchi imepoa km uji wa mgonjwa watu wanatekwa ndani ya mabasi kama simba anavyojichukulia nyumbu ndani ya kundi la nyumbu 10000 na yanaisha tu kama nchi ya mazombi uongozi umebaki na matamko tu ya maazimio ya mijikamati butu! Lissu anakuja kuunda taasisi sasa sio ibaki km kijimradi miaka na miaka, tumpe nafasi sasa
 
..Mbowe amekitoa chama mbali.

..lakini huenda naye amechoka na hizi harakati.

..umri na uchovu ndio sababu zinazonifanya niamini ni vizuri Chadema wakapata Mwenyekiti mpya.
Tunashukuru sana kwa kukitoa mbali ni jambo jema sana ila kwa sasa apumzike chama kiundwe kuwa taasisi
 
Back
Top Bottom