imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Lissu hawezi kuwa Chawa wa CCM kwasababu Lissu sio Zezeta.Lissu hawezi kuwa chawa wa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hawezi kuwa Chawa wa CCM kwasababu Lissu sio Zezeta.Lissu hawezi kuwa chawa wa CCM
CHADEMA haikujimaliza kwa kumpokea Eddo. Umesema kinyume na hali halisi - na reality!Atakuwa amejimaliza kama CDM ilivyojimaliza kwa kumpokea Eddo.
Hakuna anayejiliza bali huo ndiyo ukweli kuwa Lisu anamfuata Msigwa ccmLissu hawezi kuwa chawa wa CCM na nakuhakikishia kuwa endepo Chadema itapata mwenyekiti mpya aisha Lissu ama Heche basi watapata uungwaji mkubwa wa mkono kutokana na mazingira yaliyopo kisiasa ndani ya nchi kwa sasa. Hivi nyie team Mbowe mbona hamtaki kukubali kuwa kunahitajika nguvu mpya? Kama mnanufaika na mfumo ulipo sasa basi jiandaeni kubadilika. Mbowe astaafu abaki kama kiongozi mashuhuri ndani ya chama. Hayo mengine mnajiliza tu kwa sasa.
Mkuu huu ni uwongo 200% hata shetani anashangaa, lissu ni mwanamageuzi, huwezi kumfananisha lissu na msigwaHakuna anayejiliza bali huo ndiyo ukweli kuwa Lisu anamfuata Msigwa ccm
Kabisa, lissu ni mwanamageuziLissu kamwe hawezi kwenda CCM, labda ungesema anaenda ACT
Katika watu wenye msimamo ni huyo Lissu, ingekuwa hivyo angeenda tangu enzi za Magufuli
Pamoja na mengine yote, kwa nini Mbowe nae asiache mtu mwingine akawa Mwenyekiti wa chama? Nadhani na yeye afike sehemu akubali kuwa kafanya mazuri lakini hebu atoe nafasi kwa watu walio na mawazo tofauti nao wajaribu kivyao.Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.
LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.
Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.
Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.
Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .
Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Mkuu usiwe unakula ugali na njugumawe usiku.Unakuwa na hallucinations sana.Wana CDM wenzangu najua hamtanielewa kabisa kwa Uzi wangu ila ukweli ndiyo huo.
LISU tangu ametoka ughaibuni amekuwa na matamshi yasiyo ya uzalendo dhidi ya CDM kwa kutoa Siri za chama hadharani.
Amina nawaambieni kuwa yaliyo tokea kwa Msigwa sasa yanaenda kutokea kwa Lissu.
Wana CHADEMA tujiandae kabisa kisaikolojia maana hapa kuna mpasuko mkubwa utatokea NDANI ya chama kwa ateam LISU na team Mbowe.
Naamini wana CHADEMA tutakuwa na mwenyekiti wetu aliyetutoa mbali .
Najua kuna wana CDM mtanitukana sana na kunikejeri sana ila ukweli utabakiqa pale pale .
Heche ashauriwe atie Nia agombee umakamu mwenyekiti....Naombea John Heche naye awe mmoja wa wanaogombea hiyo nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA.
Analeta matumaini makubwa sana katika siasa za upinzani Tanzania.
Hata akienda ni sawa tu kuliko kuwa na mwenyekiti kwa muda mrefu hivi. Kwa sasa Mbowe ni kiongozi asiyeaminika tena, miaka 20 aliyokaa kwenye nafasi hiyo inatosha, kwani ni lazima yeye tu aendelee kuwa mwenyekiti?Mkuu tujipe muda kuna siku utayakumbukq maneno yangu haya
Haahaa huenda yeye Hana shida, tatizo machawa ndo wanampa kichwaPamoja na mengine yote, kwa nini Mbowe nae asiache mtu mwingine akawa Mwenyekiti wa chama? Nadhani na yeye afike sehemu akubali kuwa kafanya mazuri lakini hebu atoe nafasi kwa watu walio na mawazo tofauti nao wajaribu kivyao.
Hakuna anayekataa baadhi ya mazuri aliyofanya, ila hiyo sio kinga ya kufia kwenye nafasi hiyo.Nakubaliana na wewe kabisa kuwa Mbowe kaka sana kwenye hiyo nafasi lkn pia jiulize ni mangapi kayafanyia CDM ?
Mkuu acha kumkosea Lissu kwa kumfananisha na Msigwa, ni lavel 2 tofauti kabisa!.Kwa comment hii unataka kusema kuwa Msigwa alikuwa Zezeta?
Chawa wa Mbowe wamelala na viatu janaHayo ni mawazo yako na yana haki kusikikilizwa na kuheshimiwa pia
Hakika, amewahi kuhojiwa mara nyingi kuhusu hilo amekuwa akikataa japo anasema Kaka yake wa damu ni CCM ila hajawahi kushawishika kwenda hukoKabisa, lissu ni mwanamageuzi