Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020.

Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini.

Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017. Ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake.

Amewaambia Wananchi wa Lindi kuwa, kwanza alipigwa kwa amri ya Rais na kama kukimbia angekimbia alipopigwa risasi hawezi kukimbia wakati huu.

 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
 
Kila mgombea ana ugonjwa wake. Nani ni mzima 100% tumia akili jombaa usikae na kichwa.!
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Na huyu kila mikutano mitatu anakwenda gereji kumwaga oili na kusafisha kabureta! Ahadi za mgombea Urais zinatolewa na mtu ambaye Urais wake ulipita! Na jinsi alivyo akifanikiwa atakuja kusema ahadi zile ni za yule anayewashwawashwa siyo zake nendeni mkamuulize yeye.
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Unadhani Magu mzima? unajidanganya, ukiambiwa ugonjwa wake utakimbia
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Huyo unayemshabikia anaishi kwa Pacemaker na msaada ya feni kila aendako. Unakejeli ugonjwa una ahadi gani na Mungu?
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Kuna mgombea anatembea na Dr toka JK institute of cardiac
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Mshenzi huyo amekuja kuvuruga taifa

Abakizwe hapa hapa apewe fundisho la uzalendo
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Unajua kinachomtesa Magufuli hadi saivi? Batani ikibonyezwa tu pale hayuko tena
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Ni kweli lakini hatuwezi kuchagua yule mwenye ugonjwa wa akili
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa watanzania hawawezi kumchagua mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa rais. Jukumu la urais linahitaji mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.

Mmh usiseme hivyo ndugu
Kuna mtu hapa ni bora hata ya Lissu
 
Back
Top Bottom