Lissu ni Magufuli mwingine ajaye

Lissu ni Magufuli mwingine ajaye

Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Lissu anamzidi Magu kitu kimoja tu.... Ni mwanasheria, msomi wa kweli na so fake lakini Ni mpenda haki. Magu hakuwa na sifa hizo.

So Lissu is far better.
 
Lisu alimtukana magufuli , msitusahaulishe

Ukimwambia Tundu Lisu kuwa Tunataka kumuua Fulani kwa sababu ni tishio kwa usalama wa 'chi ; Tundu Lisu atakufukuza kazi na kutoa amri ukalatwa kwa sababu wewe ndio tishio la uhai wa watu na mtuhumiwa namba moja wa uhalifu dhidi ya binadamu.

Warioba alisema Tundu Lisu akiwa Rais tujiandae kufuata sheria .

Hata Mungu alitoa amri na sheria ili zifuatwe kwa haki na haki itendeke kwa usawa.

Lisu ametufikia wote Chadema na CCM na nchi imezizima .

Lisu ndiye Kiongozi sahihi aliyebakia Tanzania .
Watu wengi tusio na vyama tunamuunga mkono . Na akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA tutajiunga na CHADEMA kwa wingi kabisa .
 
Lissu anamzidi Magu kitu kimoja tu.... Ni mwanasheria, msomi wa kweli na so fake lakini Ni mpenda haki. Magu hakuwa na sifa hizo.

So Lissu is far better.

Eti umfuate Lisu kuwa tumkamate Zuzu tumbambikie kesi ya Ugaidi au tumuue 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza atakufukuza kazi siku hiyo hiyo na atatangaza wazi.
Atasema kama mtu ana makosa akamatwe apelekwe mahakamani .

Ni kazi ya uchunguzi kufanyika na kumkamata mtuhumiwa bila kumbambikia kesi .
Hapo Lisu ataleta mabadiliko ya kweli na sheria itakua ya haki kweli kweli .

Haki huinua Taifa .
 
Udikiteta wa mtu, huonekana toka mwanzo, kwa dalili na viashiria, ila hudhihirika wakati huyo would be dikiteta is in power,

Sina uhakika kama kuna mtu humu ameandika kuhusu udikiteta kama mimi,
Pitia mabandiko haya, nimesema nini kuhusu udikiteta
P
Sawa mkuu kila mtu na mtazamo wake
 
Ukimwambia Tundu Lisu kuwa Tunataka kumuua Fulani kwa sababu ni tishio kwa usalama wa 'chi ; Tundu Lisu atakufukuza kazi na kutoa amri ukalatwa kwa sababu wewe ndio tishio la uhai wa watu na mtuhumiwa namba moja wa uhalifu dhidi ya binadamu.

Warioba alisema Tundu Lisu akiwa Rais tujiandae kufuata sheria .

Hata Mungu alitoa amri na sheria ili zifuatwe kwa haki na haki itendeke kwa usawa.

Lisu ametufikia wote Chadema na CCM na nchi imezizima .

Lisu ndiye Kiongozi sahihi aliyebakia Tanzania .
Watu wengi tusio na vyama tunamuunga mkono . Na akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA tutajiunga na CHADEMA kwa wingi kabisa .
Na kyra tutampigia ila sasa mafisi wataziiba
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Usifananishe uchafu na hii taka taka na Mzalendo Dkt Magufuli. Lisu ni mjinga fulani, ni kichaa fulani ambaye kichwani mwake akili zimefyatuka fyatu. Haiwezekani miaka ile enzi za Dkt Kikwete apiganie haki za madini kuibiwa then aje Dkt Magufuli aseme tunataka haki yetu ya kufaidika na madini then Lisu anageuka na kuungana na wamiliki wa migodi anachukua mpaka hela toka kwa wazungu ili amyumbishe Dkt Magufuli. Yaani alikuwa yupo mbele sana kuwatetea wezi wa madini kuliko nchi. Hivyo huyu ni kichaa kabisa hafai hata kwa uongozi.
 
tujiandae watanzania kuletewa katiba majumbani mwetu au tununue wenyewe na kusoma tuielewe pasipo kukupesa macho na kama huo utaitwa udictator acha uitwe ,pia tujiandae kubadilishiwa mitaala...kila mwanafunzi lazima asome Sheria kwaniaba ya civics
 
Usifananishe uchafu na hii taka taka na Mzalendo Dkt Magufuli. Lisu ni mjinga fulani, ni kichaa fulani ambaye kichwani mwake akili zimefyatuka fyatu. Haiwezekani miaka ile enzi za Dkt Kikwete apiganie haki za madini kuibiwa then aje Dkt Magufuli aseme tunataka haki yetu ya kufaidika na madini then Lisu anageuka na kuungana na wamiliki wa migodi anachukua mpaka hela toka kwa wazungu ili amyumbishe Dkt Magufuli. Yaani alikuwa yupo mbele sana kuwatetea wezi wa madini kuliko nchi. Hivyo huyu ni kichaa kabisa hafai hata kwa uongozi.
Naona bado unatembelea nyota ya Kalamagamba.

Lissu aliwaambia kwa mikataba mibovu mliyoingia mkiivunja hakika mtashitakiwa, mliposhitakiwa MIGA mkataka kumuua aliyewaambia ukweli.

Kabudi si yupo muulize makinikia yalienda wapi.
 
Put respect on the name ‘Magufuli’.

Huwezi mfananisha na taahira kama Lissu.

Magufuli alikuwa anaipenda nchi yake na wananchi wake.

Sio sawa kabisa na sakapoko waliopo leo, hasa mtu wa hovyo kama Lissu.

Magufuli hata hiyo ulaya alikuwa haitaki. Sio huyu anaelipwa na wazungu.

Hizi dharau zenu yaani Lissu umuweke sawa na great Magufuli.
Naipendaje nchi yako wakati huwapendi watu wa nchi hiyo,taahira ni yule mtu asiyejitambua yeye ni nani na haki yake ni ipi. Ukiwa mkweli kwa kila jambo utaitwa kila jina,ila itabaki kuwa mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi pia
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Huyo ni Dikteta kama wengine tuu na lazima atakuja Kuharibu Uchumi na maisha ya watu ikitokea bahati mbaya akawa Rais maana si unajua wale watu wa Lile Kanisa?

Mwisho natoa tahadhari msipotafuta maisha ambapo yupo Samia watakuja wale wa kanisa.lile jingine Kuharibu na kuanza kujisifu Kwa propaganda.
 
Huyo ni Dikteta kama wengine tuu na lazima atakuja Kuharibu Uchumi na maisha ya watu ikitokea bahati mbaya akawa Rais maana si unajua wale watu wa Lile Kanisa?

Mwisho natoa tahadhari msipotafuta maisha ambapo yupo Samia watakuja wale wa kanisa.lile jingine Kuharibu na kuanza kujisifu Kwa propaganda.
Kanisa lipi weka hoja yako wazi ujibiwe.
 
Put respect on the name ‘Magufuli’.

Huwezi mfananisha na taahira kama Lissu.

Magufuli alikuwa anaipenda nchi yake na wananchi wake.

Sio sawa kabisa na sakapoko waliopo leo, hasa mtu wa hovyo kama Lissu.

Magufuli hata hiyo ulaya alikuwa haitaki. Sio huyu anaelipwa na wazungu.

Hizi dharau zenu yaani Lissu umuweke sawa na great Magufuli.
Wewe punguani hao wanafanana Kwa vitu vyote kuanzia uwezo wa kukariri vitu Hadi uropokaji.

On top of that ni watu wenye misimamo mikali ambao hawataki wengine wapate.

Binafsi watu wa dizaini hiyo nilishawajataa miaka yote ,usimuone Lisu anajifanya kutetea Haki sijui za nani hizo njia ya madikteta kujitafutia uhalali wa kuua wengine.
 
RC,, viongozi wote wa Kanisa Hilo ni makatili tuu na waharibifu wa Maisha ya watu.
Katoliki ndio waliouza bandari, ndio waliouza Loliondo, ndio wanaosomba twiga kuwapeleka Vatican.

Kwahiyo unataka kutuambia BAKWATA wamefanikiwa kupandisha maisha ya watanzania kwamba akiingia Lissu ambaye ni mkatoliki maisha yao yataharibika.
 
Katoliki ndio waliouza bandari, ndio waliouza Loliondo, ndio wanaosomba twiga kuwapeleka Vatican.
Hizo ni Lugha za wapumbavu na wasio na maana,kinachoitwa kuuza ni upotoshaji wenye lengo la Kukamatwa wajinga Ili wao wahalalishe kushika madaraka.

Tangu lini uwekezaji ukawa uuzaji? Mbona hamjadiki matokeo ya hicho mnachoita kuuza yalivyo Sasa na kabla havijauzwa?

Kawaambie punguani wenzio wajamaa na makatili na sio Mimi.

Ukiona mtu anahusudu siasa/madaraka kuliko ustawi wa Umma ni mpumbavu na Dikteta.

Si ajabu lile Kanisa lenu linamhangaikia huyo mtu wenu aje kuwa katili.
 
Back
Top Bottom