Usipanic umeanza mwenyewe kusema eti viongozi wa RC ni makatili, ukatili wao ni kumwambia Samia asiuze bandari.Hizo ni Lugha za wapumbavu na wasio na maana,kinachoitwa kuuza ni upotoshaji wenye lengo la Kukamatwa wajinga Ili wao wahalalishe kushika madaraka.
Tangu lini uwekezaji ukawa uuzaji? Mbona hamjadiki matokeo ya hicho mnachoita kuuza yalivyo Sasa na kabla havijauzwa?
Kawaambie punguani wenzio wajamaa na makatili na sio Mimi.
Ukiona mtu anahusudu siasa/madaraka kuliko ustawi wa Umma ni mpumbavu na Dikteta.
Si ajabu lile Kanisa lenu linamhangaikia huyo mtu wenu aje kuwa katili.
Unapomsema Lisu Kwa sifa hizo usisahau ndio sifa za Magufuli.Magufuli ana hekima? Mtoa mada hajakosea na sie tunaojua kusoma tabia za watu tunasema wako sawa kabisa.ukiachilia utimamu wa kimwili,
Lisu ana matatizo makubwa mno, mathalani hekima na busara vimepita pembeni,
tamaa, makelele na mdomo ndio vimemzonga sana kiasi kwamba, kwenye siasa za kistaarabu za Tanzania hafai hata kidogo,
na ndiyo maana wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema zaidi ya 1000 wanamkataa🐒
Lissu na Magufuli hawafanani hata kidogo.Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.
Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.
Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.
Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.
Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.
WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Unajadili nini sasa hapo? Tena kama hajauza basi amewapaHizo ni Lugha za wapumbavu na wasio na maana,kinachoitwa kuuza ni upotoshaji wenye lengo la Kukamatwa wajinga Ili wao wahalalishe kushika madaraka.
Tangu lini uwekezaji ukawa uuzaji? Mbona hamjadiki matokeo ya hicho mnachoita kuuza yalivyo Sasa na kabla havijauzwa?
Kawaambie punguani wenzio wajamaa na makatili na sio Mimi.
Ukiona mtu anahusudu siasa/madaraka kuliko ustawi wa Umma ni mpumbavu na Dikteta.
Si ajabu lile Kanisa lenu linamhangaikia huyo mtu wenu aje kuwa katili.
Ni panic Kwa Ajili gani? Nakuekeza ubaya wa hao watu na bila shaka wanatokea kwenye Hilo Kanisa la matapeli.Usipanic umeanzisha mwenyewe kusema eti viongozi wa RC ni makatili, ukatili wao ni kumwambia Samia asiuze bandari.
Hawafanani Kwa lipi ,weka hojaLissu na Magufuli hawafanani hata kidogo.
Huwezi elewa maana una wingu na ujinga kichwani.Unajadili nini sasa hapo? Tena kama hajauza basi amewapa
Hahaa kama hauzi basi anagawa bure 😂😂😂😂Unajadili nini sasa hapo? Tena kama hajauza basi amewapa
Waarabu sio wajinga wanajua kula na kipofu, unawapa bandari wanakupa tende za kula mwezi mmoja.Huwezi elewa maana una wingu na ujinga kichwani.
Tufanye amewapa,ehee Baada kuwapa ndio Mapato yakaongezeka au siyo? 🚮🚮
Sasa wajinga ni kina nani ambao hawali na kipofu? Wazungu wa Italy ya Roma au?Waarabu sio wajinga wanajua kula na kipofu, unawapa bandari wanakupa tende za kula mwezi mmoja.
Vote for Lissu.
Mpaka leo makinikia hayaendi nje. Tulichotaka sisi ni uthubutu wa kusema sasa kunyonywa basi. Lisu ni lijinga sana halina akili. Na aliyetaka kumuua ni mbowe na inajulikana mbowe ni gaidi na chinja chinja lililoonewa huruma na Dkt Samia lasivyo mpaka sasa lingekuwa limeshahukumiwa kunyongwa hadi kufa kabisa. Hata sasa umeona lisu mwenyewe kaibuka li mbowe lilitaka kumuua hahaha akajiwahi ila linaweza kumuua tu kwa sababu mbowe hataki kabisa kuachia uenyekitiNaona bado unatembelea nyota ya Kalamagamba.
Lissu aliwaambia kwa mikataba mibovu mliyoingia mkiivunja hakika mtashitakiwa, mliposhitakiwa MIGA mkataka kumuua aliyewaambia ukweli.
Kabudi si yupo muulize makinikia yalienda wapi.
Eti mpaka sasa makinikia hayaendi nje, basi endelea kuota hivyo.Mpaka leo makinikia hayaendi nje. Tulichotaka sisi ni uthubutu wa kusema sasa kunyonywa basi. Lisu ni lijinga sana halina akili. Na aliyetaka kumuua ni mbowe na inajulikana mbowe ni gaidi na chinja chinja lililoonewa huruma na Dkt Samia lasivyo mpaka sasa lingekuwa limeshahukumiwa kunyongwa hadi kufa kabisa. Hata sasa umeona lisu mwenyewe kaibuka li mbowe lilitaka kumuua hahaha akajiwahi ila linaweza kumuua tu kwa sababu mbowe hataki kabisa kuachia uenyekiti
Sasa wajinga ni kina nani ambao hawali na kipofu? Wazungu wa Italy ya Roma au?
Ndio maana nasema hajawahi kuwa na akili nyie punguani.
Aliyeruhusu lazima aje afungwe maana ni uhujumu uchumi. Yaani inauma sana sisi watanzania kuibiwa mali halafu kuna watu wanashangiliaEti mpaka sasa makinikia hayaendi nje, basi endelea kuota hivyo.
Hesabu zake ndio hesabu za serikali? 😆😆👇👇Kwa hesabu zangu Makusanyo ya DP World bado yapo chini kulinganisha na miaka ya nyuma 2019/20
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amedai DP World kwa miezi mitano tangu ianze kazi imekusanya Bilioni 325. Hii ni sawa na Bilioni 65 kwa wastani wa kila mwezi mmoja. Natuzingatie hii ni miezi yenye meli nyingi na mizigo mingi. Kwa mwaka wa 2019/2020 Serikali ilikusanya Bilioni 901 kwa mwaka...www.jamiiforums.com
jUzi kati nilikua naongea na jamaa yangu kama ulivyosema mkuu Lissu ni type ya meko sio wanasiasa hawa hawanaga unafiki wamenyooka kama rulerLissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.
Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.
Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.
Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.
Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.
WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Watanzania wa leo sio wajinga kama mnavyofikiri, unatuletea hesabu za kupika za kumfrahisa mama yenu.Hesabu zake ndio hesabu za serikali? 😆😆👇👇
The only difference waliyonayo ni ile sense of reasonability. Magufuli was so unreasonable to the extent alipoteza focus ya kile alichokuwa anasimamia au alichokuwa anakiamini kwenye uongozi wake. Aligeuka kutoka kiongozi na kuwa mtawala ikawa shidaLissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.
Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.
Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.
Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.
Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.
WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Kwa nini zipikwe? Kama sio wajinga weka Sasa hesabu zako ambazo umechemsha na zitakazokufudahisha wewe hater.Watanzania wa leo sio wajinga kama mnavyofikiri, unatuletea hesabu za kupika za kumfrahisa mama yenu.