1. Utakuwa mshamba na hauna exposure yoyote.Lisu ni kiongozi mzuri na mwenye maono na anaeipenda nchi yake, lakini apunguze mdomo na ujuiaji mwingi, binaadamu hutakiwi kuropokaropoka kila unachokiwaza.
SahihiNa mimi kuanzia kesho panapo uzima eidha nitakuwa mwanachama mpya wa chadema au nitaacha kufuatilia siasa za Tanzania kabisa.
Mbowe ataamua niweje
Nina sikiliza audio ya Slaa, anamchana Mbowe hadi inakatisha tamaa.Sahihi
Haters mwaka huu mtaumaliza vibayaYeye mwenyewe ana matusi kama mtoto wa tandale
Ushahidi wa haya unayobwabwaja dhidi ya Lisu uko wapi?!Tofauti ya Mbowe na Lisu ni moja kubwa
Mbowe anaamini Chama ni taasisi sio jeshi la mtu mmoja wakati Lisu anaamini.kuw chama ni Jeshi la mtu mmoja ambaye ni yeye Lisu
Kifupi Lisu hafai kuwa kiongozi wa cheo chochote cha juu wala cha chini kwenye taasisi yeyote ikiwemo Chadema
Ni mtu asiyeamini kabisa lwenye collective responsibility.
Lissu chama kinamuhitaji, Mbowe bado pia chama kinamuhitaji, ila kubwa kuliko yote kila mmoja anahitajika ndani ya chama ili chama kufikia malengo yake ,aya ya kusema mtu flani ni taasis inayotembea ,we umeona wapi taasis inayotembea ikawa taasis, kumpamba mtu sana ndo kunazalisha uchawa.Uwa siandiki Mara nyingi
Kumbukeni wananchi
Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea, tumeanza kupona pona maumivu na makovu! Mauzauza yanaanza Tena kututonesha! Itakuwa tukio la pili la kukatisha wapiganaji tamaa!
Kuna wanaosema Lissu hana hela asigombee ni Hoja ya kijinga sana
SABODO alisaidia Vyama vya siasa, hakuwa na uongozi ndani ya chama chochote! kusema Mbowe ni Tajiri ili kusaidia chama lazima awe Kiongozi Hapana! Mnamkosea sana Mheshimiwa Mbowe! Kwamba asipokuwa mwenyekiti hawezi saidia? Tumchague kwa sifa zingine utajiri kisiwe kigezo kikuu
Na wengine wanasema kwamba Lissu hana sifa za kuwa mwenyekiti kwakweli
Lissu is not only suitable for the chairmanship of the party, but also for the presidency of the country! Currently in Tanzania, I don't see anyone approaching his qualities,
Soma Pia:
Behind the Curtain:Lissu is The most powerful CHADEMA’s Candidate of the modern era
- Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Lissu leo akasema anaondoka CHADEMA tutapoteza sana
Lwaitama
mkuu, umeni-pre-empty!Mimi nimeshaapa katu kwa kipindi hiki sitakuwa sehemu ya Chadema iliyo chini ya Mbowe. Nitastaafu rasmi haya mambo ya siasa japo bado sana ila ni bora kuendelea na mambo mengine kuliko kupoteza muda bila matokeo ya msingi.
Chawa wa Makonda hao watakupotezea mudaUshahidi wa haya unayobwabwaja dhidi ya Lisu uko wapi?!
Ni bora kuendelea na mambo mengine bila kupoteza muda kwa mambo yasiyo na msingiMimi nimeshaapa katu kwa kipindi hiki sitakuwa sehemu ya Chadema iliyo chini ya Mbowe. Nitastaafu rasmi haya mambo ya siasa japo bado sana ila ni bora kuendelea na mambo mengine kuliko kupoteza muda bila matokeo ya msingi.
HakikaKwa hali ya sasa, CHADEMA bila ya Lisu, itakuwa ni sawa na CUF na NCCR. Bila Lisu CHADEMA itakuwa ni chama cha kwenye makaratasi kama ilivyo vile 14.
Wapambe wasijidanganye kuwa eti Samia atawapa wabunge wa bure alivyomwahidi Mbowe. Lakini hata kama atawapa wabunge wa bure, hiyo itamaanisha chama kimekufa na sasa kimekubali kuwa kuwadi wa CCM.
Kwa hali ya sasa, CHADEMA bila ya Lisu, itakuwa ni sawa na CUF na NCCR. Bila Lisu CHADEMA itakuwa ni chama cha kwenye makaratasi kama ilivyo vile 14.
Wapambe wasijidanganye kuwa eti Samia atawapa wabunge wa bure alivyomwahidi Mbowe. Lakini hata kama atawapa wabunge wa bure, hiyo itamaanisha chama kimekufa na sasa kimekubali kuwa kuwadi wa CCM.