Waliwekwa ndani tangu awamu ya 4 ipo madarakani nadhani kuanzia 2012 (Kama nimekosea nirekebishwe) na kuhamishiwa huku bara.Hivi hii hoja Magufuli aliwahi kuijibu popote?
8years upelelezi gani huu?? Mental na Spiritual torture, wakitoka huko wameharibiwa kisaikolojia wawe na hatia wasiwe na hatia.Waliwekwa ndani tangu awamu ya 4 ipo madarakani nadhani kuanzia 2012 (Kama nimekosea nirekebishwe) na kuhamishiwa huku bara.
Kuna kipindi mahakama ya Zanzibar iliamuru warejeshwe huko wakajibu mashitaka (Kuna Uzi kuhusu hilo uliletwa humu) ila sikufatilia kujua kama walirejeshwa huko.
Anyway ni vyema upelelezi ukamilishwe (kama bado) ili kesi yao isikilizwe na kutolewa hukumu maana wamesota mahabusu muda mrefu sana.
Safi sana. Wanaonewa sana kama wana makosa iweje 6yrs hawajakutwa na hatia?View attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Lissu anawasha moto msitu wenye nyasi kavu kimasihara...ataujua mtiti wake.Mimi muumini wa sheria na kisheria walitakiwa wafunguliwe mashtaka hukumu itolewe ila kuwafunga watu miaka bila kesi hilo tatizo kubwa lakini nataka niende mbali kidogo tusitumie hii issue kisiasa zaidi kupatia kura ila iwe ni kwa wote ambao kwa sababu moja au nyingine wako ndani au mahabusu bila kuhukumiwa kinyume sheria wafanyiwe haki. Hapa angesema siku 100 za mwanzo nitahakikisha mahakama inasimama kama huru na sheria za kesi zinafuatwa maana sheria ziko na makosa yote kuwa na dhamana na sheria za dhamana ziko haki itendeke kwa wote.
Thubutu !Hivi hii hoja Magufuli aliwahi kuijibu popote?
Hivi hii hoja Magufuli aliwahi kuijibu popote?
Unaji contradict.Mimi muumini wa sheria na kisheria walitakiwa wafunguliwe mashtaka hukumu itolewe ila kuwafunga watu miaka bila kesi hilo tatizo kubwa lakini nataka niende mbali kidogo tusitumie hii issue kisiasa zaidi kupatia kura ila iwe ni kwa wote ambao kwa sababu moja au nyingine wako ndani au mahabusu bila kuhukumiwa kinyume sheria wafanyiwe haki. Hapa angesema siku 100 za mwanzo nitahakikisha mahakama inasimama kama huru na sheria za kesi zinafuatwa maana sheria ziko na makosa yote kuwa na dhamana na sheria za dhamana ziko haki itendeke kwa wote.
haswaa huyo mramba viatu vya mabeberuView attachment 1602884
Mtu kama huyu, hawezi kufanya chochote zaidi ya kujaza tumbo lake na kina Amsterdam.
mkuu hilo ndilo la muhimu kuliko huyo anayekuja nasera ya kuombea kura bila kuangalia uzito wa kituJe akijibu kuwa suala hilo aulizwe muislamu mwenzao aliyepita yeye halimuhusu kwani siku zote damu ni nzito kuliko maji...iweje leo mmumkomalie yeye wakati aliyelianzisha yupo?
Kwa vile Magufuli ni Rais wa wote nafikiri ni muhimu kumwomba atumie mamlaka aliyopewa atowe msamaha kwa hao mahabusu kama vile anavyotoa misamaha kwa wafungwa wengine au afuate nyayo za Mwalimu Nyerere alivyokuwa anatoa misamaha kwa wafungwa wa kisiasa kama Mzee Mapalala, Chief Fundikira, Kaselabantu, Ziota Humbi, Chris Kasanga Tumbo wote hao ni kutoka Tabora, na akina Seif Sharif Hamadi, Abdullahman Mohhamed Babu, Sheikh Muhhamad Nasor Abdullah, Chief Hussein M Makwaia na mdogo wake bila kuwasahau .....
" The detainees at Liwangula started questioning their detention for cattle raiding when those Maasai were not detained for stealing cattle and killing many people. They argued that Prime Minister Edward Moringe Sokoine, who had ordered their detention, was favouring members of his own ethnic group, the Maasai. They wrote to President Nyerere, who finally released them"
Kwa hiyo ukiangalia jambo hili kwa undani kabisa sio geni na linaongeleka pale palipo na nia ya dhati kabisa kumaliza uhasama unaotaka kujengeka bila sababu ya maana
Lissu kabla ya kushambuliwa alikua anazungumza ndani ya bungekwa nini kila uchaguzi wanasiasa wanatumia Mashek wa uamsho kama kete ya kutaka kura? kama hao mashee wana haki kwa nini hawapewi lkn ktk kila kipindi cha uchaguzi utasikiaa wagombea wana watumia kama kete....halafu uchaguzi ukiisha hakuna atakaye wazungumzia!! Lowasa aliiahidi hivyo hivyo ktk uchaguzi wa mwaka 2015 Lisu naye tena mwaka huu 2020...kuna jambo la kutafakari
Dah huyu mchumia tumbo huyuView attachment 1602838
Shekhe mkuu wa dsm kazi kulamba miguu ya watawala tu hawezi kuwatetea wenzie
Na maccm.!Hivi waliwekwa ndani na nani kweli?
Nadhani hujanielewa mimi nataka hao watoke na wengine sitaki hii itumike kama yale ya babu Seya. Hawa walifungwa toka wakati wa Kikwete na Kikwete ana mkono katika hili, huwezi kuwafunga watu bila kesi na hizi sheria zao za baadhi ya kesi kukosa dhamana mimi nataka aseme makosa yote yatakuwa na dhamana ili kuruhusu haki itendeke. Naunga mkono hilo na wengine wengi wanaosota ndani bila kesi, Haki ni msingi wa kila kitu.Unaji contradict.
Kama wamefungwa bila kufikishwa mahakqmqni, na wewe ni muumini wa sheria na watu kupelekwa mahakamani kabla ya kufungwa jela, basi walivyofungwa sasa bila kufikishwa mahakqmqni si sawa, na Tundu Lissu kubatilisha kifungo hicho ni sawa.
Tundu Lissu hajakataza mashehe kushitakiwa mahakamani, amekataa mashehe kufungwa bila kufikishwa mahakamani.
Kwani Lowassa alishinda uchaguzi? Hoja yako haina msingikwa nini kila uchaguzi wanasiasa wanatumia Mashek wa uamsho kama kete ya kutaka kura? kama hao mashee wana haki kwa nini hawapewi lkn ktk kila kipindi cha uchaguzi utasikiaa wagombea wana watumia kama kete....halafu uchaguzi ukiisha hakuna atakaye wazungumzia!! Lowasa aliiahidi hivyo hivyo ktk uchaguzi wa mwaka 2015 Lisu naye tena mwaka huu 2020...kuna jambo la kutafakari
Mgombea wetu anatetea magaidi? Maana wanatuhumiwa kufanya ugaidi Zanznibar, mwaka huu chama chetu kimechemka sana.View attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Je akijibu kuwa suala hilo aulizwe muislamu mwenzao aliyepita yeye halimuhusu kwani siku zote damu ni nzito kuliko maji...iweje leo mmumkomalie yeye wakati aliyelianzisha yupo?
Kwani babu seya na mwanae wilifungwa kipindi chá utawala WA magufuli?