Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

Kama mtu huyu ni bure kwa nini marehemu baba yenu alihangaika na uhai wake?

Mtu bure unamwacha afanye ubure wake...why not that way?
 
Hakuna mwana CCM anayeweza kujibu hoja za Lissu...instead wanabakia ni msaliti msaliti..

Kwa hiyo kutokuwa msaliti ni kutii kila jambo linaloanzishwa na CCM siyo!!
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu.Na ni very selfish huyu jamaa!!!


Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
Nchi yoyote isiyoheshimu haki za binadamu,sheria ni halali kunyimwa misaada na kuwekewa vikwazo vikali.
 
Kama ni kwenye masuala ya ubest student basi bado Hajafikia rekodi Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi aliyoacha hapo kwenye kitivo cha sheria🤣🤸🐒
 
Kama ni kwenye masuala ya ubest student basi bado Hajafikia rekodi Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi aliyoacha hapo kwenye kitivo cha sheria🤣🤸🐒
Sawa andaa thread uiweke tutajadili na ku appreciate Uwezo wake kwa Sasa tuache Tundu Lissu atamalaki.
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu.Na ni very selfish huyu jamaa!!!


Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
Mwalim mjinga huyu
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
Alibatizwa mwaka gani? Sifa za kisiasa zimekwisha sasa anaanza kukumbuka maisha ya chuo. Baadaye atasema shule ya msingi alikuwa mpiga kengele na baadaye akawa kilanja. Sekondari akawa kilanja wa chakula.
 
Lisu kiboko mapungufu sehemu ya mwanadamu

Lisu ndiye aliyetoa hoja yakupinga sheria iliyokua inazuia wanafunzi mwaka wa kwanza kuhusika kujadili mijadala mbali bali nkrumah Hall ila kua wasikilizaji mwaka 1992

Kumbuka hata akina samweli sita waliburuzwa Wakiwa mwaka wa kwanza lakini NGULI huyu alikataa kuhusika kwenye uburuzwaji

Baada ya kutoa hoja nakusikilizwa maprofesa ilibidi waone haya na kukubali kwamba kweli walikuwa wanafanya makosa kuzuia wanafunzi mwaka wa kwanza kujadili mijadala na kua wasikilizaji


Toka hapo nyinyi wote mliopitia hicho chuo hapo kutoka 1993 hadileo ukiona unatoa na kuchangia mijadala mwanafunzi mwaka wa kwanza tambua hayo nimatunda ya Lisu antpass

Jingine kwa faida yako

Lisu toka alivopata ufahamu tu akiwa darasa la tatu hajawahi wahi shule namba hadi anahitimu la saba (Ly),na kila alipokutana mkono wa mwalimu alijitetea hajawahi pigwa fimbo

Jiulize walimu wa miaka hiyo shule ya msingi!!!


Kwaleo hayo

Mchomoaji betri kitambo
Thanks gwiji
 
Best student siyo wa kukubaliana na kura za kwenye mabegi. Ukiwa best student halafu ukasimama upande wa udhalimu, u best student wako unakuwa hauna maana. Nyerere alikuwa na choice ya kuendelea kufundisha Pugu na kupata mshahara kwa ajili ya familia yake lakini Mwalimu alijiuzuru na kwenda kudai uhuru wa Tanganyika. Hivyo hivyo Mandela kwenye sheria kule South Africa. Lissu yuko kundi hilo. Hayuko katika kundi lenu la kuchumia tumbo.
Lissu ana aksi ubest kwenye maisha na maneno yake. He deserved that.
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu. Na ni very selfish huyu jamaa!!!

Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
Wewe funza wa ccm, hakuna mtu amesaidia watu wengi kwa kuwapa msaada wa kisheria bure zaidi ya Lissu.
Walimu mnachojua ni kuiba kura kwa ajili ya ccm, mlaaniwe na mtesekee chaki miaka yote.
 
Nasubili waliosoma na Tundu Lisu walete ushuhuda, Nipo pembeni na popcorn zangu.
Kidato cha 6 alihtimu waka 1990

1991 alivotaka kujiunga chuo akina mbatia walikuwa wamewasha moto chuo kikafungwa mwaka mzima

Akaenda kufundisha Mtwara girls kasoma makinda Ana spika mstaafu

1992 alijiunga mwaka wa kwanza balaa Lake alilofanya nkurumah hall akiwa ndo kaingia kusikiliza mjadala alipindua meza maprofesa walibaki mdomo wazo

Toka pale alihtimu ajira wakambania a kaingia kitaaa

2000 mkapa akatuma watu wamfungulie kesi ya uhaini walichokumbana nacho mahakamani siriyao akiwa anapambana kutete wizi wa madini huko North mara nyamongo huko

anamengi kweli kweli yote hiyo ni uwezo wake wakuchambua mambo yaan maswala
 
Kidato cha 6 alihtimu waka 1990

1991 alivotaka kujiunga chuo akina mbatia walikuwa wamewasha moto chuo kikafungwa mwaka mzima

Akaenda kufundisha Mtwara girls kasoma makinda Ana spika mstaafu

1992 alijiunga mwaka wa kwanza balaa Lake alilofanya nkurumah hall akiwa ndo kaingia kusikiliza mjadala alipindua meza maprofesa walibaki mdomo wazo

Toka pale alihtimu ajira wakambania a kaingia kitaaa

2000 mkapa akatuma watu wamfungulie kesi ya uhaini walichokumbana nacho mahakamani siriyao akiwa anapambana kutete wizi wa madini huko North mara nyamongo huko

anamengi kweli kweli yote hiyo ni uwezo wake wakuchambua mambo yaan maswala
Mkuu funguka plz plz
 
Alibatizwa mwaka gani? Sifa za kisiasa zimekwisha sasa anaanza kukumbuka maisha ya chuo. Baadaye atasema shule ya msingi alikuwa mpiga kengele na baadaye akawa kilanja. Sekondari akawa kilanja wa chakula.
Achaga ufaller basi?
Kwani ukiwa siasani huruhusiwi kuongelea historia?
Ccm nzima hakuna kama Lissu
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
Na appreciate uwezo wa Samia Hassan kwenye kuwabebsha watz mzigo mkubwa wa tozo zisizo na kichwa wala miguu
 
Back
Top Bottom