Huyu Victoire ni mnafiki tena mnafiki mkubwa sana, usiwahi kuthubutu hata kidogo ukamuamini.Kwani hujamsikia mwenyekiti akisema wanabadili ratiba kwa leo ili kuongelea mstakabali mzima wa uchaguzi na enguaengua ya wapinzani?
Hawajazindua ilani ya uchaguzi kwa sababu ya kubadili ratiba ya kampeni.Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Sunami hiyo.Jazba zimemjaa watu hawajajitokeza wamempuuza, View attachment 1550843
Kumbe unamjua vyema, muogope kama ukoma.Achana na haya mataahira ya Lumumba
Nimemuelewa. Binafsi nilitaka kusikia pia yeye atafanya nini ili kuweka mazingira mazuri kwa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania ?Unless hamkumuelewa lissu kasema hivi hatuba yake ya pageb24 hajaisema wala hawez kuongelea kwa sasa hadi wagombea wote wa cdm watakaporudishwa ulingoni.
Wametaka watu waandamane kwa amani kudai wagombea wao. Na hata kesho atafanya hivyo hivyo.
Swala la yy kushambuliwa alikuwa anausifia ukuu wa MUNGU ulivyo mpigania na akatoa shukran. kibinadamu hana budi kushukuru
Duuu!Jazba zimemjaa watu hawajajitokeza wamempuuza, View attachment 1550843
Aisee point umeandika...hata ilani hawana, wanasubiri ya CCM itoke wakaandike kinyume chakeLissu hana sera bali anasubiri Magufuli kesho afungue kampeni, atakachokuwa anaongea Magufuli basi Lissu atakuwa na kazi ya kumjibu. Kimsingi Lissu bado viatu vya Urais havimtoshi
Kidogo nikutusi, ila Nilipoona ID ya mwanamke nmeamua kupoa.Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Nimemuelewa. Binafsi nilitaka kusikia pia yeye atafanya nini ili kuweka mazingira mazuri kwa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania ?
Kwani sera ni za lissu au za chama? Tuanzie hapoLissu hana sera bali anasubiri Magufuli kesho afungue kampeni, atakachokuwa anaongea Magufuli basi Lissu atakuwa na kazi ya kumjibu. Kimsingi Lissu bado viatu vya Urais havimtoshi
Basi labda online TV niliyokua naangalia itakuwa ndo pale iliishiwa charge. Sikusikia hapo.Kidogo nikutusi, ila Nilipoona ID ya mwanamke nmeamua kupoa.
Inamaana aliposema alikua kaandaa hotuba , lakn kwa kinachoendelea majimbon kaamua kutoisoma, ili ajikite na haya yanayoendelea... WEWE ULIKUA UNAMSIKILIZA KWA KUTUMIA NN???.
Walibadili ratiba mazima ngoja tusikilize mikutano inayofuataBasi hata wangegusia maana ndo lengo la mikutano. Kuweka sera zako juu ya Tanzania ya maendeleo.
Hawana ilani haoKasema hawezi kuzindua ilani wakati wagombea wote wamekatwa nani ataenda kuitetea iyo ilani kwenye vijiji kata au Majimbo by the way nimemuelewa.
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Yeah kuna sehemu matangazo yalikata hasa kule TBCBasi labda online TV niliyokua naangalia itakuwa ndo pale iliishiwa charge. Sikusikia hapo.
Futa uzi Sasa.Basi labda online TV niliyokua naangalia itakuwa ndo pale iliishiwa charge. Sikusikia hapo.
Una masikio lakini hausikii, una macho lakini hauoni. Yote hayo ni kwa sababu unauhusudu unafki. Hivi unafikiri Tanzania iendelee inahitaji ilani?! Mbona tumeona na kusikia ilani mara kibao, na bado tupo hapa tulipo.Nimemuelewa. Binafsi nilitaka kusikia pia yeye atafanya nini ili kuweka mazingira mazuri kwa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania ?