GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,092
- 2,210
Akili zao hawa jamaa ni shida sanaMbona siku hizi mdogo wangu unajitoa ufahamu hivyo? Kama ulikuwapo tangu mwanzo hukusikia akieleza kwa nini hatazungumza kilichoandikwa kwenye hotuba yake ya uzinduzi? Kazi tunayo kwa kweli!! Umekuwa na akili ya ma-CCM!
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app