Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi namshauri Lisu arejee tu, sioni hayo madai yake yakitekelezwa. Ila nina uhakika hawezi kufanyiwa madhila yoyote, kwakuwa aliyekuwa anaagiza afanyiwe ule udhalimu alikuwa ni Magufuli kutokana na kiburi cha madaraka, na kutokutaka kukosolewa. Hayo madai yake mengine aje atayafuatilia akiwa hapa kwa yale yanayowezekana.
Fala ni wewe na yule bwana yako marehemu aliyesema corona imeisha huku watu wanateketea na mwishowe ikaja kumuua kwa aibu tena baada ya kupelekwa Kenya kwa uficho kama gunia la bangi. Mbona hakujifukiza kama alivyokuwa anadanganya watu?Wewe ndio fala kabisa
SI akae huko anakoona Kuna usalama
Chizi kabisa wewe na lissu wako
Wewe ulitaka amsifie... ...mungu mtuWenye akili tuliona hilo wakati wa kampeni za urais, ni kama vile alikuwa anataka "aonewe" ili apate sababu za kurudi huko, watu wanajiuliza ilikuwaje Mh. Mbowe na uongozi wa Chadema hawakuushtukia mchezo aliokuwa nanacheza Lisuu na matokeo wakaambulia mbunge mmoja tu!
Kijana Tundu anaishi dezo huko hawezi kuja huku,watoto wake wanasoma bure na yeye anadaka kila mwezi
Tuna ukatili kama wenu juu ya Hayat Magufuli Tena nyie ndio makatil balaa mme fanyia ukatili mpaka mait Sasa mambo ni bampa tu bampa huu ni wakat wa Tundulisu kukutana na maneno machungu kila sikuBado hali sio shwari.
Kumbuka watu wa meko bado wana ile mentality ya unyama na uuaji.
Itachukua muda kidogo hawa wauaji kubadiki misimamo yao.
Bado wanatembea kwenye kivuli cha meko na ukatili wake.
Angalia tu a hata baadhi ya wana JF kwenye hii thread.
Bado wana ukatili na roho mbaya ambayo walimezeshwa na meko na kina heri wa uvccm.
Kwa hio bafo haki si shwari
Inawezekana aliomba ukimbizi kwa sababu yakumwogopa Mmagufuli, ambaye ndiye aliyekuwa ejanda yake kwa miaka yote mtano iliyopita hata kabla hashambuliwa na magaidi. SasaMagufuli hayupo, huenda waliomfadhili wanaanza kugeuka.Sasa nani anamuhitaji huku, anapima upepo eeh,
Mwambieni akae huko huko Tz hatutaki wanafki, wachochezi na wachumia tumbo.
Empty head., nilijuwa una hoja kumbe kilaza
Iv iz propaganda mnazozileta humu huwa mnalipwa au ni free labour?Empty head., nilijuwa una hoja kumbe kilaza
Kokomoka em, which propaganda?Iv iz propaganda mnazozileta humu huwa mnalipwa au ni free labour?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mke mdogo was Lisu Katika ubora wakoFala ni wewe na yule bwana yako marehemu aliyesema corona imeisha huku watu wanateketea na mwishowe ikaja kumuua kwa aibu tena baada ya kupelekwa Kenya kwa uficho kama gunia la bangi. Mbona hakujifukiza kama alivyokuwa anadanganya watu?