Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
..maelezo yako ni very thoughful.
..tukio lolote linalofanywa na wanadamu lina chances fulani za ku-fail.
..huwezi kuchukulia kufeli kwa tukio lile kama kigezo cha ku-rule out au kuwahusisha watu fulani fulani.
..hujawahi kusikia daktari mahiri bingwa anayesifika aliyeokoa magonjwa wa kila aina akafanya kosa lisilotarajiwa ktk kazi yake?
..hujawahi kusikia taasisi kubwa mahiri duniani kwa ufanisi zimefanya makosa ktk shughuli zake?
..maelezo ya Mama Samia yalilenga hadhira aliyokuwa akizungumza nayo. Mimi na wewe tuna uwezo wa kufikiria na kuchambua kwa mapana na marefu zaidi.
..waliohusika na tukio lile wanasutwa na FACT moja ndogo, lakini muhimu sana.
..Ni nani aliondoa walinzi wa area D? Alitumwa na nani? Kwanini anakingiwa kifua?
NB.
..kuhusu ndege kuruhusiwa kwenda Nairobi, walijua ule ni mzoga utawafia njiani, lakini MUNGU aliamua vingine.
Cc Mmawia
mkuu nashukuru kwa maelezo mazuri pia
Ila nimesema maada hii ni outdated now
CDM wanajua kila kitu na waweke wazi sasa kila kitu ...kuna demokrasia sasa sio? issue ya mwaka juzi tu
Ninaposema wanajua, sitanii waanike