Lissu: Nitarejea Tanzania endapo yafuatayo yatafanyika

Lissu: Nitarejea Tanzania endapo yafuatayo yatafanyika

..maelezo yako ni very thoughful.

..tukio lolote linalofanywa na wanadamu lina chances fulani za ku-fail.

..huwezi kuchukulia kufeli kwa tukio lile kama kigezo cha ku-rule out au kuwahusisha watu fulani fulani.

..hujawahi kusikia daktari mahiri bingwa anayesifika aliyeokoa magonjwa wa kila aina akafanya kosa lisilotarajiwa ktk kazi yake?

..hujawahi kusikia taasisi kubwa mahiri duniani kwa ufanisi zimefanya makosa ktk shughuli zake?

..maelezo ya Mama Samia yalilenga hadhira aliyokuwa akizungumza nayo. Mimi na wewe tuna uwezo wa kufikiria na kuchambua kwa mapana na marefu zaidi.

..waliohusika na tukio lile wanasutwa na FACT moja ndogo, lakini muhimu sana.

..Ni nani aliondoa walinzi wa area D? Alitumwa na nani? Kwanini anakingiwa kifua?

NB.

..kuhusu ndege kuruhusiwa kwenda Nairobi, walijua ule ni mzoga utawafia njiani, lakini MUNGU aliamua vingine.

Cc Mmawia

mkuu nashukuru kwa maelezo mazuri pia

Ila nimesema maada hii ni outdated now

CDM wanajua kila kitu na waweke wazi sasa kila kitu ...kuna demokrasia sasa sio? issue ya mwaka juzi tu

Ninaposema wanajua, sitanii waanike
 
Vilaza wa CCM ni kama marehemu na Katibu Mkuu wao Bashiru hawajui tofauti ya r&l
Kwa hiyo mtu akijua kutofautisha r&l ni kilaza? Vipi Baba yako asie jua hata kuandika vizuri ila akakupeleka shule ukapata hicho kidiploma au kidigree chako nae ni kilaza?
 
Kwa hiyo mtu akijua kutofautisha r&l ni kilaza? Vipi Baba yako asie jua hata kuandika vizuri ila akakupeleka shule ukapata hicho kidiploma au kidigree chako nae ni kilaza?
Anajua tofauti ya r&l hiyo tabia ipo CCM pekee
 
Halafu Watakuja Wahuni wachache tu wakuite Kamanda.

Pumbavu kabisa Kamanda gani Muoga namna hii.
 
Uko tayari kuambiwa mshaambiwa mwaka wa tatu sasa tatizo hamuelewi

Hata Lissu anajua ukweli wote kabisa na bado watamtafuta tu

Katika dunia ya forces duniani kuna clean cops na dirty cops

waliotaka kumuu Lissu ni wahuni waku kodiwa tu na baadhi ya viongozi wachafu ambao may be walitaka kujikomba kwa JPM na wakashindwa.JPM angetoa amri ya kuuawa yule asingepona...unless haujui capability ya polisi, TISS na jeshi letu...dont think too low kwa emotion

mbona samia nae ashawahi kusema hapa??




JPM anaweza kulaumiwa kukilea hiki kikundi na kutotaka kuchukua hatua, ila hakuna presidential order Lissu auawe, it was bad timing, na nani anaua vile? hakuna snipper?

Kuwa eti cctv ziliondolewa ni utoto sana kwa TZ ambako bado unaweza kwenda kagera ukajifanya daktari na ukapokelewa!!!

wewe unaona Tanzania tuna ulinzi wa maaba kwenye facilities zetu?

why JPM hakuchukua hatua??? hii iko kwa Lossu sasa na tabia zake za ajabu,alipopigwa tu risasi mkasema JPM hapo hapi sio? sasa mlitaka afanye nini tena na mtu alikuwa mbishi vile!!!!?

Tuache hii maada
lissu arudi tu sasa aache mashart

Na kama assumption ya dirty copy haiko sahihi, basi kuna third part, wanamsubiri...yeye anajua hilo, kuwa Lissu hana kabisa maadui wengine wa kutaka kumuua? mwanasheria? think

Mimi naishia hapa mkuu

Revisit your fact taratibu sio kwa muono wa wengi, watu wanakufa kwa risasi moja na sio 16....there was so many technique za kumuua mtu na sio mchana risasi 16..wauaji walitaka sifa kwa nani??? serikali inataka sifa?

Lissu akaenda hospitali, kisha ikulu ikaruhusu aende nairobi sio??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa sasa kwann alizuiwa ubunge wake na ukizingatia kipindi yuko mzima hajawahi kukosa ata siku moja na aile oda ni rais?
 
Sawa sasa kwann alizuiwa ubunge wake na ukizingatia kipindi yuko mzima hajawahi kukosa ata siku moja na aile oda ni rais?

maswali ya kitoto haya, alete ubishi wake na aje nchini
 
mkuu nashukuru kwa maelezo mazuri pia

Ila nimesema maada hii ni outdated now

CDM wanajua kila kitu na waweke wazi sasa kila kitu ...kuna demokrasia sasa sio? issue ya mwaka juzi tu

Ninaposema wanajua, sitanii waanike

..Thank you.

..Suala hili tulichukulie kiubinadamu.

..Tusitoe nafasi tena likachukuliwa kwa mitizamo ya vyama vya siasa.

..Nadhani njia sahihi ni kuunda Tume Huru kuchunguza kilichotokea na kutuletea majibu.
 
Wenye akili tuliona hilo wakati wa kampeni za urais, ni kama vile alikuwa anataka "aonewe" ili apate sababu za kurudi huko, watu wanajiuliza ilikuwaje Mh. Mbowe na uongozi wa Chadema hawakuushtukia mchezo aliokuwa nanacheza Lisuu na matokeo wakaambulia mbunge mmoja tu!
Nasikitika kukutaarifu kuwa mawasiliano baina yako na nafsi yako yamekatika hivyo ionee huruma nafsi yako kwa kuacha kusema uongo hapa! Unaamini kabisa kuwa 2020 kulikuwa na uchaguzi na ccm ilishinda? Ona aibu mtu mzima!
 
Nasikitika kukutaarifu kuwa mawasiliano baina yako na nafsi yako yamekatika hivyo ionee huruma nafsi yako kwa kuacha kusema uongo hapa! Unaamini kabisa kuwa 2020 kulikuwa na uchaguzi na ccm ilishinda? Ona aibu mtu mzima!
Mimi nawewe tunaangalia namba hii 9 tukiwa pande tofauti, yaani wewe unaiona ni sita na mimi naiona ni tisa!, Mbowe alimuachia mgombea akapambane kivyake, hata kumtangaza mgombea kwa kuchapisha vipeperushi, kulipa wasanii, matangazo kwenye tv mlishindwa mkitegemea "muujiza' utokee watu waone huruma ya matundu ya risasi wamzawadie kura sio? Mkagoma kuwapa mawakala waliojitolea semina elekezi mkawanyima posho mkitegemea kura wazilinde malaika kutoka mbinguni?....USHINDI NI MKAKATI NA MAANDALIZI, andaeni visingizio vingine kwa ajili ya 2025!
 
Wazungu ndio waliokupeleka huko walikua wanamuogopa magufuli sasaivi watakurejesha kwa nguvu Tanzania.
 
we kibaraka masharti hayo unampa nani? Kwa faida ya nani? Unaumuhimu gani kwa taifa wewe msaliti? Si ulitaka nchi iwekewe vikwazo ulidhani Ulaya ndo kwa baba zako?
Rudi tu uje unyee debe.
 
Kabisa kabisa. TL ni shujaa.
Front page lisu ni nihabari yamjini...ukiona hadi MTU anasema mnashindwa kuweka picha yangu Mimi mnaweka ya mawakala yamabeberu ujue misumari ilikua inaingia..you are not free at that extent ,unamshangaa,imekua kinyume currently we are free at that extent ,haleluya
 
Sasa Lissu hat asiporudi kwani tunakosa Nini
HiviI anajionaje hasa
Mbona anajiona yeye NI Bora Sana kuliko watanzania wengine
Humjui Lisu vizuri....pekeake bila mabango ccm na magufuli natume ya uchaguzi ilibidi waongeze billion 28 nje yabajeti hela ya uchaguzi(soma lipoti ya kichere/CAG)...MTU hana mabango zaidi yakufika mkutanoni wewe unasema hata asipokuja wann....mkuu ongea vizuri tukuelewe.
 
Mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa Tundu Lissu lakini lazima niseme ukweli ulio moyoni mwangu huyu jamaa amefeli kisiasa kabisa hakuwa na mipango mizuri wala mshauri mzuri., Kwa sababu kama haya anayodai sasa kuhakikishiwa usalama wake ndio aje swali ni mbona uchaguzi alikuja hivyo hivyo kugombea hakujali kuhakikishiwa usalama wala chochote alikuja tu,

Ulipomaliza uchaguzi akadai anataka kuuliwa na mtu aliyemtumia sms akakimbilia ubalozi lakini mbona hakukua na na chochote ule mpango kama ulipita na upepo tu wala hakuna anayezungumza tena sio nje huko aliko wala Tz ni kama vile alijaribu kutaka kutengeneza issue lakini haikuwa na vidhibiti angalau vimuweke katika mazingira mazuri zaidi, alifeli

Umemaliza uchaguzi hakuvumilia ata wiki moja kuonyesha wapiga kura wake kote alikotembelea angalau kuwambia chochote, alienda ubalozi na kutimkia belgium na hata alipofika kule belgum hakuwambia chochote wanachadema ni kama vile alikuja kwa shida ya kusaka urais tu bas ndio iliyokuwa shida yake hakujali wananchi wake., sijuwi alifeli wapi angalau angemsoma maalim seif na vitisho alivyofanyiwa lakini hakuwa mbali na wazanzibari.

Ile kupigwa risasi ilitokea lakini je kwa dunia ilivyoliona lile kweli angepigwa tena marisasi kiongozi aliyetoka kugombea urais?

Huko youtube na twitter anaona ndio jukwaa lake la kisiasa anadhan inatosha? Watanzania wangap hawaelewi twitter wala youtube, jana tumeambiwa watu milioni 8 tu tanzania ndio wanaotumia internet hawa watu wengi waliobaki atawafikia vipi kwa twitter na youtube?

Ndio mana nimesema amefeli sana
Lisu ni debe tupu
 
Hiyo ni haki yake anastahili kupewa, alikuwa mbunge mpaka alivyoshambuliwa akalazwa, then Ndugai anamuondoa bungeni kwa utoro wakati anajua fika alikuwa hospital akitibiwa na Rais wa sasa ni shahidi wa hilo, Lissu kulipwa stahiki zake ni haki yake, kama sio shambulio dhidi yake angeendelea kuwa mbunge mpaka muda wake uishe.

Ndio maana nasema mwezi mtukufu huu, Mh. Rais afanyie kazi hili suala ni dogo sana kwake, ndani ya masaa tu anamaliza huo mchezo wote.
Ni Sawa ni haki yake

Lakini Hana haja ya kuweka masharti ya kurudi

It is his country and its his choice

His presence au absence adds nothing Kwa sasa

A very smart guy ambaye kajisahau sasa anajitwika thamani isiyo yake

He is losing it
 
Humjui Lisu vizuri....pekeake bila mabango ccm na magufuli natume ya uchaguzi ilibidi waongeze billion 28 nje yabajeti hela ya uchaguzi(soma lipoti ya kichere/CAG)...MTU hana mabango zaidi yakufika mkutanoni wewe unasema hata asipokuja wann....mkuu ongea vizuri tukuelewe.
Nami nauliza tena Lisu asiporudi sisi kama taifa tunapata hasara gani?
 
Back
Top Bottom