Lissu kashakuwa ni mpumbavu na mpayukaji asiye maana!!
Kwani ni Lazima kila wiki mtu uende kanisani? kumwona kila jumapili akihubiri makanisani nilikuwa lazima hivyo wapumbavu tukaona ni vzr nimcheki au tutor taarifa hatumwoni mwenzetu kwenye font gape
Huyo ndio Lissu sasa, Mbeligiji halisi
Wewe inakubana sheria ganiLisu domokaya! Kabanwa na sheria za ukimbizi sasa anawashwawashwa!
Wazee wa dar nawaombeni mshikilie hapo hapo mpaka kieleweke.Wazee wa Dar,alikuja kuwavunjia Jiji lao.
Na mimi hapo ndo viongozi wangu wa upinzani wanavyokwaza kwa kutokuwa na msimamo thabiti. Mimi ninapoona matamko yao wantaja jina rais huwa naacha hata kusikiliza wanachoongea.Siasa ni vichekesho, Lissu ameanza lini kutambua kwamba Magufuli ni Rais
Wale wa mtaani kwako wao walifanya niniTakukuru walikuwa wapi wakati anahonga hizo buku mbili mbili?
Tena kama unapata na free time ya kupanda kwenye mimbari na kuzishutumu barakoaIbada hainaga mapumziko,labda kama unaumwa.
Kama angekuwa anapayuka kwa nini tweet yake fupi tu Lumumba nzima mnaijadili leo siku ya nne. Mjibuni Mzee wa kuhutubia kwenye mimbari yupo wapi??Lissu kashakuwa ni mpumbavu na mpayukaji asiye maana!!
Kwani ni Lazima kila wiki mtu uende kanisani??
👊👊Inawezekana Kanisa limemshtukia kwa maana alikuwa analitumia sana kusambaza conspiracy theories zake
Lolota linawezekanaPengine anapumua kwa shida
PostponedTunasubiri kesho tuone watachomoa mipira aende kuwapa nyota zao na kurudi
Kwani huwa anakuomba hela ya kula?Member since 2009 wewe ni mkongwe humu kamanda tafuta hela achana na Magufuli leo kasali wapi
Tuwaombe Viongozi wa dini wampe msamaha ..Lolita linawezekana
NdioKwani huwa anakuomba hela ya kula?
Mbona unavyoandika ni kama vile umekata tamaa,kulikoni mkuu?Wapinzani msifikirie kama akifariki utafanywa uchaguzi mtashinda,inaonekana mmekalia kifisifisi, tuseme ukweli kama ilivyo Zanzibar upinzani unashinda hata wakiweka tofali ndio hivyohivyo huku Tanganyika CCM inashinda hata wakiweka dodoki.