Ukishachagua kuwa mwanasiasa hakuna kupumzika kwa amani.Kila mtu atakufa .muacheni baba wa watu apumzike kwa amani
Kweli bwana!!BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
Muulize Kassim Majaliwa atakupa jibu.Naam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.
View attachment 1720084
Karibu sana kwenye Uhalisia wa jembo lenyewe!!kama mwanzo wachawi na wanga mlizusha amefariki.mkachinja na kuku kusherehekea na haikuwa kweli.
subirini kucheza matumbo ya uzazi kwa mara nyingine.rais ana mapumziko pia.
Aiseee!!Jamaa wanataka awe anatembea tembea kama ombaomba kama wao. Shame on you
Ndiyo imeshatokea!!Nafunga siku saba na maombi mazito,Rais apone haraka na kurejea majukumu yake mambo ya kuongozwa na waZanzibar hapana bora huyu huyu amalize muda wake.
Na ndiyo maana hata leo anaandikwa sana Timu yake wanachukia kweli na kusema marehemu huwa hasemwi vibaya.Ukishachagua kuwa mwanasiasa hakuna kupumzika kwa amani.
Utaandikwa andikwa tu, hata baada ya kufa.
Maana ni maisha uliyoyachagua mwenyewe.
Hakulazimishwa kuwa mwanasiasa.
Mambo mengine hatari sana!!Rais wetu Ni mwenye Afya Tele na hana tatizo lolote, ana miaka mingi Sana Mbele yake,
KIfua Mbereee!!Chuma nimekiota kimerudi mtaani na shombo la kufa mtu!
Hatumsemi vibaya, tunasema ukweli.Na ndiyo maana hata leo anaandikwa sana Timu yake wanachukia kweli na kusema marehemu huwa hasemwi vibaya.
Unasemaje?Member since 2009 wewe ni mkongwe humu kamanda tafuta hela achana na Magufuli leo kasali wapi
Tarehe wanaifahamu waliokuwa wakimzunguka na familia yake.Hivi alikufa tarehe ngapi? Maana mambo ni mengi hata hatukumbushani tena
Na yeye kawa kama mtangulizi wake?joyce banda yuko wapi?
Unataka umwone lilongwe Kariakoo anafanya shoping?joyce banda yuko wapi?