Linda Joseph
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 462
- 863
Mimi pia napenda nijue baba yetu yuko wapi, maana mmmhHivi hii ya kwenda kanisani si la mtu na Mungu wake??... I'm dissapointed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia napenda nijue baba yetu yuko wapi, maana mmmhHivi hii ya kwenda kanisani si la mtu na Mungu wake??... I'm dissapointed
Dada mbona akiwa kanisani huwa mnatujulisha?Hivi hii ya kwenda kanisani si la mtu na Mungu wake??... I'm dissapointed
Kama ambavyo Hussein Mwinyi alivyokiri Covid19 ipo na inaua. Akiwa waziri hakuthubutu.Siasa ni vichekesho, Lissu ameanza lini kutambua kwamba Magufuli ni Rais
Mimi pia napendanijue baba yetu yuko wapi, maana mmmh
Kauli ya mwisho ya lissu kabla hajaondoka nchini ilikuwa ni ipi..??Kwani hatambui?
Tunamtambua Rais hata kama mchakato wa kumpata ulikuwa batili!Siasa ni vichekesho... Lissu ameanza lini kutambua kwamba Magufuli ni Rais
kama ni lake binafsi wanatutangaziaga ya nn sasaHivi hii ya kwenda kanisani si la mtu na Mungu wake??... I'm dissapointed
Kwenda kanisani ni la mtu, mungu wake na Media. Kutoenda kanisani ndio la mtu na mungu wake pekee...
Nadhani umenielewa hasa hapo kwenye mungu badala ya Mungu....
Kusema ukweli sijamuelewa, 😂Asipo kuelewa piga kofi
Hapana, nataka akienda kanisani asiambatane na Gerson, Azam TV, ITV et el. Kama ambavyo hajaenda na kina Azam TV hawajaenda.Mkuu wewe unaenda kanisani mwaka mzima?? Au mlitaka awe filmed nyumbani kwake kuona ana spend vipi jumapili yake bila kwenda kanisani? Watanzania nimewavulia kofia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]