Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,204
- 3,277
Hawezi kwenda kirahisi, alizoea akipewa nafasi ya kuongea kanisani anasema, naona pale Ma sister hamjavaa barakoa, namuona yule mama pale hajavaa barakoa, safi sana. Sasa kaambiwa live kuwa Mapadre 26 na Masista 60 wamekufa kwa changamoto za kupumua