Huna hata tusi moja jipya nikupongeze? Utoto pamoja na elimu duni iliyo nayo ndio chanzo Cha kuandika kifedhuli humu! Kaelimike kwanza ndio urudi hapa! Na siyo kwamba sijui kumproke mpuuzi Kama wewe, la! Ni suala la hekima na busara pamoja na heshima niliyo nayo hapa jf na Kwa jamii ya wasomi ndio inanibana. Vinginevyo pasingetosha na ungebadili hiyo avatar kunikimbia! Itoshe kukufunda kuwa uwezo wako wa kumuudhi mweñye akili timamu ni mdogo Sana! Kakojoe ulale Sasa, au mme wa dadako hajarudi? Maana wewe ni humfungulia mlango huyo kidume anayewaweka mjini wewe na dadako! Usiache kumpokea Kwa bashasha Mtakuja talikiwa na vile huna ujanja tukuoa mjini hapa!